Waziri Mwigulu: Makato ya Miamala ya Simu tunatunisha mfuko, ni 'Solidarity Fund'

Viongozi nao walipe Kodi kulinganana na vipato vyao na hii itie ndani mapato yote halali ikiwamo posho na kiinua mgongo.
 
huyu ndie mtu aliekuwa akitangaza nia ya kugombea uraisi tuna raisi mchumi tuna makamu wake tunawaziri pia alafu mwisho wasiku wanakuja na mawazo mufilisi kama haya juu ya namna ya kumuibia mwananchi ukiangalia hizo nchi jirani anazozungumzi kwenye uuzji wa mafuta kuongeza sh mia vip rea sjui madudu kibao wamejilimbikizia % kubwa serikli mwekezaji na mlaji hawafaidiki kwa usawa hiyo ndo ccm
 
Miwatu kama hiyo ni ya kucharazwa viboko mia moja ili akili zimrudie,

Na mbona aongea kama anatusuta vile? Tumemkosea nini sisi wananchi wanyonge
Kwenye magari ni balaa gari ukiagiza milioni Tano,kigari kidogo tu cc 1500 andaa milioni saba ya kukomboa bandarini jamaa wanapiga pesa ndefu kuzidi hata makampuny ya kutengeza magari
 
Asanteni sana CCM kwa kuendelea kutunyonya, tunawashukuru sana your time is coming.
 
Kwahio ILANI YA CCM imekosa sources of funds wameishia kurudi kutukamua tena
 
Yanamwisho huu ni uwizi ulio halalishwa lazima tuchukue hatua.
Hakuna dhambi kama kuongozwa ni viongozi wapumbavu
 
😂😂😂😂😂😂Wananchi tunapigwa nyuma kisaikolojia😂😂😂😂😂😂
 
Kwenye magari ni balaa gari ukiagiza milioni Tano,kigari kidogo tu cc 1500 andaa milioni saba ya kukomboa bandarini jamaa wanapiga pesa ndefu kuzidi hata makampuny ya kutengeza magari
Na hapo bado haziwatoshi wanakuja na uhuni wa solidarity fund, hawa watu kuna namna wanatuona hamnazo, si bure......
 
Solidarity fund inatumika kulipana posho za kuzunguka na mi vieitee!!??
Yaani tunachangia hawa viongozi kula keki ya taifa peke yaoo!!?
Solidarity fund ya kuendesha viieite la madelu, ama kweli hakuna nchi rahisi kuongoza kama nchi ya wadanganyika.....
 
Upo Msemo mmoja unasema, KWA KUNWI HAKULIWI BALI KWA MWALI...

MR WAZIRI
Wazo lako ni brilliant yaani mwaaa. Tatizo ni kwamba huo mfuko hauna baraka za wachangiaji hivyo hata kama hamta chotamo ila hamuaminiki kwakuwa hamjawahi kuwa waaminifu.

Mtego wenu:
Iwapo reflection haitakuwa vivid ndicho kitakua kichinjio chenu 2025 na mkileta ujanja tutajua namna gani tutawashuhulikia ila YOU SHALL NEVER GET AWAY WITH IT. Hiyo sio ahadi bali wajibu.
 
Halafu huyu #Mwigulu Nchemba ndio
Anataka kua presidential material Kwa akili zake hizi dedeq
Hebu aweke salary slip yake hapa huyu mpuuzi kisa yeye anawekewa vocha na bundle Kwa Kodi zetu ndio anakuja na wazo la kipuuzi Kama Hilo aiseee

CCM mmelaaaniwa Kwa kutuwekea mawaziri wenye akili dizaini ya mtu pori jiwe!
 
Kwenye magari ni balaa gari ukiagiza milioni Tano,kigari kidogo tu cc 1500 andaa milioni saba ya kukomboa bandarini jamaa wanapiga pesa ndefu kuzidi hata makampuny ya kutengeza magari
mkuu unajua hili swala linanishangaza Sana yaani Kodi inazidi Bei ya gari aiseee huuu upumbavu wa serikali ya haya maCCM hauvumiliki
Hua napata hasira Sana nikifikiria Hilo swala Hivi inashindikana vipi Kodi ikawa hata million Moja raia hasa wakulima wakawa na magari ya kubebea mazao Huko vijijini yakaongeza chachu ya maendeleo?

Inaudhi Sana mkuu!
 

 
Tatizo ni MTU analipa kodi zote stahiki na kubaki na hela yake stahiki!! Akitaka kumtumia mwanae ada, au kumtumia ndugu, jamaa au kulipia chochote anaambiwa lipa hela ya solidarity!! Hii ni double taxation!! Kodi inayotakiwa hapa ni gharama ya biashara ya mtoa huduma (ie Tigo au Airtel) achangie kodi kwa kuwezesha hii huduma na sio kukata hela ya Mteja!!
 
Nafikiri ni wakati wananchi wote kutozwa kodi.Ingekuwa busara na wale wa mjengoni wakatwe kodi na kuchangia kwenye mifuko ya mafao.Hapo kila mmoja wetu angejua maumivu ya kulipa kodi.Hivyo kila mtu angehakikisha hakuna hata kodi itakayotumika tofauti na mipango tuliyojiwekea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…