Boniphace Bembele Ng'wita
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 3,475
- 1,860
Kunasehem kunatazo kwenye viongoz wetu, naona think tank ya nchi maji yamekauka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kunasehem kunatazo kwenye viongoz wetu, naona think tank ya nchi maji yamekauka.
Wengi nima-snitch baada ya mfumo kuwatema Kuna siku hata yule full-tank wa Bunge la saccos ya CCM atakuja kusema katiba mpya ni muhimu Kama anavyo badilika kuhusu bandari ya BagamoyoKabisa mzee yani kabisa mwenye njaa ndio anaelewa au aliye nje ya madaraka! Nimeskiliza clip moja ya werema aliekuwa mwanasheria wa serikali! Anadai katiba mpya ni muhimu sababu madaraka ya raisi ni makubwa hatukatai ila mbona hajasema hilo akiwa mwanasheria mkuu wa serikali!
Yani mtu akitolewa kwenye sinia la menu ndio anaona misingi ya katiba imevunjwa ila akiwepo kwenye sinia humwambii kitu! Kuna haja ya kuondosha wanafiki katika systemWengi nima-snitch baada ya mfumo kuwatema Kuna siku hata yule full-tank wa Bunge la saccos ya CCM atakuja kusema katiba mpya ni muhimu Kama anavyo badilika kuhusu bandari ya Bagamoyo
Mkapa,Membe,jk, Lowasa, sumayi nao wamesema baada ya kutoka madarakani, hata mama akitoka nae ataona umuhimu wake. Ukiwa madarakani huwezi ona.Kabisa mzee yani kabisa mwenye njaa ndio anaelewa au aliye nje ya madaraka! Nimeskiliza clip moja ya werema aliekuwa mwanasheria wa serikali! Anadai katiba mpya ni muhimu sababu madaraka ya raisi ni makubwa hatukatai ila mbona hajasema hilo akiwa mwanasheria mkuu wa serikali!
Sababu ni kula kulala KILA kitu wanapata bure.Mfano watoto wao wangekuwa wanasaoma kata au kupanda daladala elimu Ingekuwa bora na tatizo la usafiri kwa wanafunzi lisingekuwepoKunasehem kunatazo kwenye viongoz wetu, naona think tank ya nchi maji yamekauka...
Hivi mtu anayepanga kodi yetu waitumieje anaweza kuwa na akili kweli ya kujua 500 ni bajeti nzima ya familia ya mtu kwa siku.Hali mwanae upewa elf 10 ya shule kwa siku.CCM ni balaa tupu,hii mijitu sijui wanaitolea wapi?
Huo ndio ufafanuzi kweli?
We una wivu n chukiKwanini wasireduce mshahara wa wabunge
Ndugu hiyo ya uwazi matumizi sahau, kosa walifanya wabunge wako walipogonga zile meza bungeni wakichekelea na kupitisha kwa 100% bajeti.....muwe wapole tu.Hizo fedha zetu tunaomba zitumike kwa uwazi ... tupewe updates ya kiasi kinachopatikana na kinakwokwenda msije mkatumia kuhongea malaya DODOMA
Hizi hela ziende kweli kwenye maendeleo. Naogopa sana zisitumike watu kusafiria kutoka Dar Dodoma na Dodoma Dar, eti wanasafiri kikazi.Solidarity fund na majizi, wahuni na mafisadi!?
Unavyosema wabunge wangu una maanisha nini ?mana mimi nilimchagua mmoja nakumbuka.Ndugu hiyo ya uwazi matumizi sahau, kosa walifanya wabunge wako walipogonga zile meza bungeni wakichekelea na kupitisha kwa 100% bajeti.....muwe wapole tu.