Waziri Mwigulu: Makato ya Miamala ya Simu tunatunisha mfuko, ni 'Solidarity Fund'

Waziri Mwigulu: Makato ya Miamala ya Simu tunatunisha mfuko, ni 'Solidarity Fund'

Kuna siku nilisikia huyu mama anasema alisoma uchumi, mpaka unashangaa pamoja na taaluma yake hiyo ameshindwa kutambua kuwa kuongeza kodi ya dhuruma kwenye miamala ya simu ni kuuwa uchumi wa mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla.

Serikali na wachumi uchwara wanakaa wanaweka jumla yakodi tatu kwenye muamala mmoja wa simu hizi si dharau za waziwazi nakutuona mazuzu ,wanapandisha kwa makusudi bei ya mafuta kitu ambacho ni kichocheo namba moja cha ushughuli za kiuchumi nchini.

Jambo la kuchekesha zaidi nikaona hapa hakuna kiongozi nikupunguza kodi kwenye vitu ambavyo havina tija kwenye uchumi wa nchii, yaani mtu anapunguza kodi kwenye betting/gambling ,pombe halafu anapandisha tozo kwenye gharama ya mafuta.

Yaani mama katika vipaumbele vyako vyote kwenye shughuli za kiuchumi nikuchochea kamali na unywaji pombe, vingine vyoote umepiga chini. Watu wanasema mwigulu anakufanyia hujuma sio kweli vitu vidogo kama hivyo havihitaji mpaka usome macro economics yaani umepwaya kweli kweli.

Oky kodi mmeshaanza kuchukua jee zitasaidia vipi wananchii kama sio kuibia masikini, Mama ebu rejea bajeti ya ofisi ya waziri mkuu ya mwaka 21/22 asilimia 80 ya bajeti yote ni matumizi binafsi asilima 20 ndio inapelekwa kwenye shughuli za maendelea.
Matumizi binafsi wanalipana posho mara mbili mbili, vikao visivyo na tija, wanakula bata huku wakiaacha raia kwenye janga la umasikini.

Uongozi mbovu,, muundo wa serikali mbovu, bunge bovu, katiba mbovu



Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 1855593
shida kubwa ya taifa letu ni ssm na mfumo wake ,umechoka kama mtoa mada ya makato tunaambiwa mara ya mwisho alishika daftari mwaka 1973 ,nini anaweza changia jipya kuendeleza taifa hili,hapa inaonyesha jinsi ngani wamechoka ,kama mtu aliyeingia darasani kwa mara ya mwisho 1973 anachangia jambo kama hili ndani ya bunge na wengine wote bila kulichuja wanalipitisha tukichelewa kutoa mfumo huu wa ssm hakikia tutavuna mabuwa ndani ya taifa letu
 
Kama nchi tulipita kipindi kigumu sana. Biashara zilifungwa, watu walifilisiwa, kodi nyingi za haramu zilibambikwa kwa wafanyabiashara. Aliyejaribu kufungua mdomo wake kulalamikia hayo labda asijulikane. Vinginevyo angetekwa kisha ama akapotea kabisa au akabambikiwa kesi itakayomuweka mahabusu muda mrefu au angehujumiwa kwa namna yoyote

Inashangaza kuona Wabongo ni wasahaulifu kiasi hiki. Angalau sasa kuna japo kauhuru ka kulalamikia hayo hadharani na usiwe na hofu ya kupotezwa. Au labda wanaotoa maneno makli dhidi ya awamu ya sita ni wale wachache sanasana waliokua wafaidika wa utawala ule!


Kodi hizi za miamala ni mbaya lakini haiondoi ukweli kwamba awamu iliyopita ilikua ya kidhalimu sana. Lakini kutamani eti ile hali ya mambo ya awamu ya tano irudie tena kwa Watanzania ni roho mbaya na utovu wa shukrani kwa Mungu wetu. Angalau Mama na serikali yake hamkamati mtu kwa kupinga sheria mbaya.

Mimi naamini ni suala la muda tu kodi kandamizi zitafutwa kutokanana na usikivu wa awamu ya sita. Lakini kutamani kurudi tulipotoka HAPANA
Wewe ni mpumbavu.Kutokamatwa mtu kutaleta chakula mezani kwako?? Huna akili kabisa watu kama nyie ni hasara kwa taifa.
 
Unajua unajiaibisha ,you fool go n fu**ck yourself

Sent using Jamii Forums mobile app
kinywa cha nanii....hunena yaujazayo moyo!! Ilitabiliwa na manabii.. miaka mingi sana.
soma Methali yote!!

Jibu swali Ukali haukufanyi uwe na akili mingi km mimi dogo. pasua hiyo computer basi!! Ni kweli hujui maana ya historia...
Umekusudua kuropoka tu....
 
Wewe ni mpumbavu.Kutokamatwa mtu kutaleta chakula mezani kwako?? Huna akili kabisa watu kama nyie ni hasara kwa taifa.
Ndiyo kutaleta chakula mezani.. Kwani si yuko nje anatafuta??

Km mtu hajakamatwa si atalima shambani kwake kwa uhuru??? Atavuna.atakula!!

Wewe ndo huna akili!! Unajazba km za mleta mada.amepasua computer.kasusa!!
 
kinywa cha nanii....hunena yaujazayo moyo!! Ilitabiliwa na manabii.. miaka mingi sana.
soma Methali yote!!

Jibu swali Ukali haukufanyi uwe na akili mingi km mimi dogo. pasua hiyo computer basi!! Ni kweli hujui maana ya historia...
Umekusudua kuropoka tu....
I cant argue with u, you are not my level ,ndio ujinga wa dude zima kusoma masomo ya wanawake, f**k u


Sent using Jamii Forums mobile app
 
I cant argue with u, you are not my level ,ndio ujinga wa dude zima kusoma masomo ya wanawake, f**k u


Sent using Jamii Forums mobile app
To hell!! Primitive nosense am not arguing.am offerin' free education for all!!.

It's true, u'r not at ma level of understanding.
If u can't give simple explanations like dat' u'r totally nigger from de forest!!

Stop dat behaviour!
 
Tatizo tulishangilia sana gia yake ya kwanza tu ya kupunguza kodi kwenye pombe na sigara, sasa kaingiza ya pili kwenye miamala, ya tatu itakuwa vifaa vya ujenzi, ya nne kwenye usafirishaji wa chakula na mazao, tano maji na umeme, sita itakuwa kubana kende za watu hadi waite maji 'mma'
 
Kumbea machawi mko mengi humu??!! Na badoOOOOO.

Tutawapeleka puta!! mpaka gujiwe gwenu gusikie ahera!! UKITAKA RIFUATE.utoweke

Kenge kabisa!!
Itakuwa unatoka Kijiji kimoja nae wewe si kwa ujinga unaouandika hapa.
 
To hell!! Primitive nosense am not arguing.am offerin' free education for all!!.

It's true, u'r not at ma level of understanding.
If u can't give simple explanations like dat' u'r totally nigger from de forest!!

Stop dat behaviour!
Who told you to do that..?? If u want to provide your bullish go n start your own thread. Batman head

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Itakuwa unatoka Kijiji kimoja nae wewe si kwa ujinga unaouandika hapa.
we ropoka tu eti ujinga!! mtatia akili tu subirini. Sisi hatuwafungi ila fanyeni kazi.

Mtasema wenyewe kwa hiari yenu kuwa tuna akili.siku moja.

Hatuangalii sura!! Jua kuwa ngoma bado mbichi hamueleweki mnataka nini sasa....eb subiri.....arrohooo!! mwita weeee....nj!!oooo huku kuna majitu.....
 
Mama anaupiga mwingi

Kapunguza 1% may mosi

Kalipizia kwenye mafuta na miamala mnapiga kelele

Miaka 100 kwa mama akeeeeeee[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom