Waziri Mwigulu Nchemba: Deni la Taifa lafikia Tsh Trilion 69.44


Hii speed ya kukopa ni disaster kwa nchi. Juzi tena wamekopa TZS 2.4 trillion kutoka World Bank.

Sijui hili deni litakuwa limefikia wapi by the time huyu ombaomba anamaliza hii term. Ipo siku, when it’s too late, Watanzania watajuta kuipotezea ile warning ya Ndugai!
 
Acha porojo wewe.

Hizo hesabu za Trillion 1.8 uliona wapi?

Nadi ya Mwaka Mkopo Trillion 9... Mara sita ni Trillion 54. Tuaisoma namba wote..huku wachache wakilamba asali.
Samia sio wa level za wachunga Ng'ombe ni corporate leader 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220406-164902.png
    90.3 KB · Views: 7
  • Screenshot_20220406-163449.png
    53.8 KB · Views: 6
Inauma sana
 
Turuhusu kilimo cha bhangi, mirungi, Coke na opium, Serikali ikope ianzishe na kuboresha mashamba, ndani ya mwaka tu Tanzania itakuwa ni nchi ambayo haina deni kabisa..
 
Turuhusu kilimo cha bhangi, mirungi, Coke na opium, Serikali ikope ianzishe na kuboresha mashamba, ndani ya mwaka tu Tanzania itakuwa ni nchi ambayo haina deni kabisa..
Hizo ndumu mtakuwa mnawauzia nchi gani?
 
Unaleta vipeperushi na akili yako inaishia hapo?

Hakikisha kwanza kama kichwa hakijatobolewa.. usije kuta umemwaga ubongo.

Hadi 2025 - Tuaandika TANZANIA SOLD.
Kaandike kwenye sebule yako mke wako na watoto watakuwa wanasoma kila siku itawasaidia kupata pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…