Waziri Mwigulu Nchemba: Deni la Taifa lafikia Tsh Trilion 69.44

Waziri Mwigulu Nchemba: Deni la Taifa lafikia Tsh Trilion 69.44

Attachments

  • Screenshot_20220614-121729.png
    Screenshot_20220614-121729.png
    119.4 KB · Views: 5
Ile trillion 1.5 aliyoikwapua yule baba wa Chato kwanini hairudishwi hadhina
 
Mama Kwa mwezi ni 1.8Til..
Vyanzo ni vipi sasa? Maana hali halisi huku mtaani, ukiacha Filling stations na Malls, hakuna mwingine anayetoa receipts, na hata hizo za Filling stations, nyingi hazipo kwenye mfumo hivyo ni geresha!

Nimewahi kujipinda kuripoti receipt moja, kimyaaaaa!

Vyanzo vipya ni vipi?
 
Pesa ndogo Sana hiyo yaani Nchi itachekewa Sana kuendelea kama tunaogopa Kukopa..

Tuna Uchumi mkubwa kuliko Nchi nyingi za Africa lakini wenzetu wamekopa na Wana deni kubwa kuliko hilo na wako mbali kwenye ustawi wa maisha.
Umeongea kitu cha mingi sana mkuu, "ustawi wa maisha". Utaogopaje madeni, mapesa yako huko duniani ni ya kuchukua tu. Kesho itajisumbukia yenyewe.


Yesu ni Bwana
 
Vyanzo ni vipi sasa? Maana hali halisi huku mtaani, ukiacha Filling stations na Malls, hakuna mwingine anayetoa receipts, na hata hizo za Filling stations, nyingi hazipo kwenye mfumo hivyo ni geresha!

Nimewahi kujipinda kuripoti receipt moja, kimyaaaaa!

Vyanzo vipya ni vipi?
Wewe ndio hutoi tisiti usisingizie vingine..

Pia serikali inategemea Kodi kwa walipaji wakubwa sio nyie machinga,wale wakubwa wasipotoa risiti ndio serikali itakosa pesa..

Pia elewa kwamba biashara zimeongezeka Sana,mama sio sawa na yule mshamba.
 
Umeongea kitu cha mingi sana mkuu, "ustawi wa maisha". Utaogopaje madeni, mapesa yako huko duniani ni ya kuchukua tu. Kesho itajisumbukia yenyewe.


Yesu ni Bwana
Ni wajinga na wasiojielewa na maskini ndio huogopa Kukopa na ndio maana wanaishia kuwa maskini wasio na nidhamu ya pesa..

Nchi isipokopa itaendeleaje Sasa?
 
Wewe ndio hutoi tisiti usisingizie vingine..

Pia serikali inategemea Kodi kwa walipaji wakubwa sio nyie machinga,wale wakubwa wasipotoa risiti ndio serikali itakosa pesa..

Pia elewa kwamba biashara zimeongezeka Sana,mama sio sawa na yule mshamba.
Wakubwa wanapiga simu moja tu na kuachiwa
 
Turuhusu kilimo cha bhangi, mirungi, Coke na opium, Serikali ikope ianzishe na kuboresha mashamba, ndani ya mwaka tu Tanzania itakuwa ni nchi ambayo haina deni kabisa..
Halafu hayo mazao tuyafanye "for export only" sio? good idea.

JESUS IS LORD
 
Naomba Serikali ika float EuroBond walau tupate Til.5 Kati ya hizo Tuchukue Til.2.5 tuu tuziingize kwenye barabara za kimkakati hapo tunaweza pata wastani WA km 1,500 na zingine ziende kwenye reli ya kuunganisha Nchi za jirani...

Huwezi endelea bila Kukopa,hilo.deni ni pesa ndogo Sana kama Nchi..Angalia Ghana,Angola nk wameendelea kwenye uwekezaji wa miundombinu kwa Kukopa..
 
Nimependa hiyo idea ya serikali kunfliat bond Ili kupata pesa za kulipia madeni ya mifuko ya jamii vinginevyo ingekolapse na kushindwa kulipa mafao..

Jiwe alitufanya vibaya sana hapa Tanzania.
Jiwe hahusiki na uchafu huu..Hizo ni hera za deni la serikali ililloacha kuchangia pspss miaka ya nyuma..Soma uelee
 
Mkopo mdogo sana huu! Mama akope kwenye mabenki makubwa sio hizi Saccoss.
 
Huo uhimilivu ambao Huwa unasemwa na wataalam wetu Huwa siuelewi kabisa,

Makusanyo kwa mwezi 1.3t, kuhudumia deni la taifa ni zaidi ya 700b, MISHAHARA ni 600b na zaidi, Bado fedha ya maendeleo, na matumizi mengineyo. Hivi hatuoni kwamba Kuna kipindi makusanyo yote yataenda kuhudumia deni la taifa na kutuacha bila hata ya vitumbua na ya kula kwa urefu wa kamba hizi tulizofungwa...........!
Ndio ujue wavuta bangi huwa tunaona mbali i mean sisi na ndugai
 
Utakuta deni Ni kubwa kuliko kias kilichotajwa,, watanzania tunajuana
 
Nasikiliza hapa mchambuzi wa TBC anaeleza kuhusu DENI LA TAIFA na DENI LA UMMA! Naona giza giza tu kwenye maelezo.
 
Back
Top Bottom