For how long shall they kill our economy, while we stand aside and look...!Emancipate yourselves from mental slavery..non but ourselves can free our minds -Bob Marley
Redemption song,
This song of freedom
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
For how long shall they kill our economy, while we stand aside and look...!Emancipate yourselves from mental slavery..non but ourselves can free our minds -Bob Marley
Wafanyakazi wanasubiri nyongeza za mshahara, hapo Mei mosi Kama alivyoahidi,...Acha wakope bhana....hata hiyo Zanzibar ni sehemu ya Tz.
mbona mmenyamaza? nyie si wasomi? is that health?-NdugaiSisi wa kukopa sisi kweli? Ni lini tutatumia pesa zetu kufanyaa maendeleo? Ipo siku nchi itapigwa mnada- ndugai
Mikopo ikipita bungeni sio SiriKukopa kwa siri kunatia shaka.
Chadema wanamkumbuka kwa mabaya!Mkuu ndiyo maana wanasema tenda mema ukiwa hai ili ukisepa watu wakuongelee mazuri. Hata Nyerere mpaka leo anaongelewa, ishu ni kuwa unaongelewa kwa mabaya au mazuri. Jiwe alikuwa muuaji na muongo sana ndiyo maana anaongelewa kwa mabaya.
Aisee, hoja ya swali lako ni nyeti Sana inahitaji tuliweke kwenye Katiba mpya Kama tunu ya TaifaKwahio inabidi tukope sasa sababu ya haya..
Tunaongelea kwamba amejenga nchi zaidi ya JK aliyekaa madarakani kwa miaka 10Na Magufuli ambae ndani ya miaka mitano amekopa kiasi sawa na alichokopa Jakaya kwa miaka kumi nalo unaliongeleaje?
Mkopo uliowazi una nguvu ya kujenga uchumi kuliko mkopo ambao hauko wazi?Kwa upande wa makusanyo kushuka chanzo cha data zako ni nini?
Acha uongo.
TRA wanazungumzia kuvunja record wewe nae unakuja na yako.
Zungumzia kukopa labda utakuwa na ufahamu maana mama Hana siri anaweka wazi mikopo yake.
Miradi yote ilioachwa na hayati ameiacha ikiwa bado hatua za awali kabisa,mind you hayati hakuacha pesa ya hii miradi,hemu eleza mpaka sasa ni mradi gani mfano kwenye hii miradi mikubwa miwili ie umeme wa nyerere na treni ya umeme ni upi umekwama kwasababu ya pesa?Mzee tulikuwa hatuna shaka nae…maana aliingia kwa sera ya kubana matumizi ili tujenge nchi alifanya hivyo kwa vitendo na maneno makali na tulipomtizama machoni tukamuamini…kwahio alipokopa tuliamini inaenda kutumika ipasavyo…
Nazo ataenda kukopa ama tozo ndo atawapa ili ajikuze kwa wananchi 2025.Wafanyakazi wanasubiri nyongeza za mshahara, hapo Mei mosi Kama alivyoahidi,
Wangeacha wakatafuta mkopo kumalizia reli yetu na umeme wetu fasta, tukaanza kula Bata huku uchumi unapanda taraatiiiibuZile pesa zilikua za covid relief fund na hazina riba, sasa tr 1 utajenga reli kilometa ngapi alafu utakua umemsaidia vipi mwananchi kuondokana na athari za covid? Bwawa la umeme umesha ambia malipo yalisha kamilika. Watanzania daa
Kama Jakaya angekuwa na kasi ya ukopaji kama hayati hakuna jambo lingeshindikana.Sasa kwa muhula mmoja amekopa pesa ambazo mtangulizi wake amekopa kwa mihula miwili kipi cha ajabu?Tunaongelea kwamba amejenga nchi zaidi ya JK aliyekaa madarakani kwa miaka 10
Hakuacha pesa ya miradi hiyo, huyu alikuta inaendelea ama imesimama sababu hakuna hela?! Kama ilikuwa ikiendelea, Walikuwa wanaendelea bila pesa?? Fikiri kabla ya kusemasema.Miradi yote ilioachwa na hayati ameiacha ikiwa bado hatua za awali kabisa,mind you hayati hakuacha pesa ya hii miradi,hemu eleza mpaka sasa ni mradi gani mfano kwenye hii miradi mikubwa miwili ie umeme wa nyerere na treni ya umeme ni upi umekwama kwasababu ya pesa?
Hivi wewe ukipewa nchi uiongozr utaweza ? Kwani ukikaakimya uache wafanye wanavyotaka unatumia nini maana hata ukisema hawakusikiluzi nakulipa wao ndiyo wanaumiza kichwa kulipa ulishaombea Hela yakulipa deni wewe?Mwigulu anajaribu kuepusha lawama, hizo pesa naamini ni za mkopo lakini kwasababu anajua walishaambiwa kukopa sio sifa wakamsuta aliewaambia, matokeo yake ndio haya anachanganya maneno "mkopo" na "msaada" kwenye sentensi moja.
Haya ndio matokeo ya kujibu hoja kwa mipasho, kama ile hoja ya Ndugai ingejibiwa vizuri watu waridhike leo Mwigulu asingekuwa na hiki kigugumizi cha kuandika, lakini kwasababu waliamua kumsuta, sasa ndio wanaishi kwa hofu, mwisho wa ubaya....
Nimesahau kumbe watoto mpo likizo,Mkopo uliowazi una nguvu ya kujenga uchumi kuliko mkopo ambao hauko wazi?
JK alikuta fedha hadhina ambazo Mkapa aliacha, ikamsaidia kutokopa SanaKama Jakaya angekuwa na kasi ya ukopaji kama hayati hakuna jambo lingeshindikana.Sasa kwa muhula mmoja amekopa pesa ambazo mtangulizi wake amekopa kwa mihula miwili kipi cha ajabu?
Huo uchumi wa kati wa chini unajua ni shilingi ngapi iliongezeka toka alipotuacha jk?ongezeko halizidi tsh.20!!!Awamu ya 5 iliua uchumi gani? Si ndo tulishuhudia kufikia uchumi wa kati!!
Wazee akili zinashuka Sasa, hayo yote ni tatizo la uchawaNimesahau kumbe watoto mpo likizo,
Jiandae tar 17 mnarudi shuleni.
kama tunalipa kwa kukopa tozo inatokeaje? Kazi ya tozo nini na imekaaje kikatiba na itaenda mpaka lini au ndo sheriaMungu alipokasirika juu ya uovu wake na kumuondosha akaacha deni kubwa kwa Taifa. Sasa ndiyo tunalipa