"Moja ya hoja iliyokuwa inatolewa ni kushushwa kwa VAT kutoka 18% kwenda 12%, na mimi ningetamani iwe hata 10% lakini hatujaacha tu kuishusha sababu ya kiburi cha Wizara au Serikali tu imekataa, hatujashusha kwasababu kuna nambo mengi ya msingi tunatekeleza."
"Ukishusha 2% ya VAT unapoteza bilioni 600 kwa pamoja. Ukishusha hivyo na tuna miradi mikubwa tunatekeleza inaathiri bajeti. Ukishusha kwa kiasi hicho unakuwa na 10%, bajeti ya Serikali itaathirika. Tumesema twende nayo hatua kwa hatua"
Waziri Mwigulu amezungumza haya leo, Juni 26, 2024 Bungeni wakati akijibu hoja za Wabunge na kinachoendelea nchini kwa sasa ikiwahusu wafanyabiashara kuendeleza mgomo wakidai kuchoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
Hadi sasa mikioa ya Iringa, Dar es salaam, Mwanza, Mbeya na Mtwara. Mgomo wa Wafanyabiashara kutokufungua maduka nchini ulianza Juni 24, 2024 jijini Dar es Salaam.
Amezungumza leo Bungeni wakati akijibu hoja za Wabunge na kinachoendelea nchini kwa sasa Ikiwahusu wafanyabiashara kuendeleza mgomo wakidai kuchoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Hadi sasa mikioa ya Iringa,Dar es salaam,Mwanza,Mbeya na Mtwara
Mgomo wa Wafanyabiashara kutokufungua maduka nchini ulianza Juni 24, 2024 jijini Dar es Salaam View attachment 3026702
Amezungumza leo Bungeni wakati akijibu hoja za Wabunge na kinachoendelea nchini kwa sasa Ikiwahusu wafanyabiashara kuendeleza mgomo wakidai kuchoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Hadi sasa mikioa ya Iringa,Dar es salaam,Mwanza,Mbeya na Mtwara
Mgomo wa Wafanyabiashara kutokufungua maduka nchini ulianza Juni 24, 2024 jijini Dar es Salaam View attachment 3026702
Punguzeni mishahara ya mawaziri na wabunge. Pia mpunguze matumizi ya serikali kwenye vitu vya anasa. Kwani waziri na viongozi wengine kama wa kuu wa mikowa na wilaya wapewe magari na serikali huku walimu, wanajeshi , police, wauguzi, na watumishi wengine wote wanatumia daladala au magari yao binafusi. Ifike mahali kazi ya siasa iwe kazi wito wa kutumikia watu na sio kuibiq watu.
Amezungumza leo Bungeni wakati akijibu hoja za Wabunge na kinachoendelea nchini kwa sasa Ikiwahusu wafanyabiashara kuendeleza mgomo wakidai kuchoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Hadi sasa mikioa ya Iringa,Dar es salaam,Mwanza,Mbeya na Mtwara
Mgomo wa Wafanyabiashara kutokufungua maduka nchini ulianza Juni 24, 2024 jijini Dar es Salaam View attachment 3026702
Punguzeni mishahara ya mawaziri na wabunge. Pia mpunguze matumizi ya serikali kwenye vitu vya anasa. Kwani waziri na viongozi wengine kama wa kuu wa mikowa na wilaya wapewe magari na serikali huku walimu, wanajeshi , police, wauguzi, na watumishi wengine wote wanatumia daladala au magari yao binafusi. Ifike mahali kazi ya siasa iwe kazi wito wa kutumikia watu na sio kuibiq watu.
Halafu ukiangalia unakuta kitu halina kazi yoyote ya maana hayo mambo ndio yatawakost tunahitaji usawa kuna makundi yanafanya kazi ngumu mno Nchi hii na wanaonekana maku tu
Kabla hatujaongelea mambo ya creativity kwenye ukusanyaji tupitie kwanza accountabiliy kwenye kilichokusanywa. Nina uhakika kabisa matumizi ya serikali yakipangwa vizuri kwa kuanza na kupunguza wabunge na wakuu wa wilaya na mikoa ambao hawana kazi pamoja na msururu wa wateuliwa wengine wengi, matumizi ya anasa kama magari, kusafiri kwa madaraja ya business class na kupunguza safari na kila aina ya ufisadi, basi tutaweza kupunguza nusu ya kodi za sasa.
Kenya Rais Ruto kasalimu amekubali mswada urudi bungeni,hapa Tanzania tupo Kama maiti wafanyabiashara wanachezewa na mwenyekiti wao Massawe na chalamila badala ya wabunge kuiwajibisha serikali.
Kabla hatujaongelea mambo ya creativity kwenye ukusanyaji tupitie kwanza accountabiliy kwenye kilichokusanywa. Nina uhakika kabisa matumizi ya serikali yakipangwa vizuri kwa kuanza na kupunguza wabunge na wakuu wa wilaya na mikoa ambao hawana kazi pamoja na msururu wa wateuliwa wengine wengi, matumizi ya anasa kama magari, kusafiri kwa madaraja ya business class na kupunguza safari na kila aina ya ufisadi, basi tutaweza kupunguza nusu ya kodi za sasa.