Waziri Mwigulu: Tukishusha 2% ya VAT tutapoteza Bilioni 600, Bajeti ya Serikali itaathirika

Waziri Mwigulu: Tukishusha 2% ya VAT tutapoteza Bilioni 600, Bajeti ya Serikali itaathirika

Amezungumza leo Bungeni wakati akijibu hoja za Wabunge na kinachoendelea nchini kwa sasa Ikiwahusu wafanyabiashara kuendeleza mgomo wakidai kuchoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Hadi sasa mikioa ya Iringa,Dar es salaam,Mwanza,Mbeya na Mtwara
Mgomo wa Wafanyabiashara kutokufungua maduka nchini ulianza Juni 24, 2024 jijini Dar es Salaam
View attachment 3026702
Kwani hawaoni kuna hajabya kupunguza matumizi? Serikali ina matumizi makubwa sana tenanyasiyo na tija yeyote
 
Huyu kiumbe na wenzake ni vilaza sana:- FIKIRI
  • kiongozi analipwa salary nono,
  • Analipwa nyumba
  • Analipwa simu
  • Analipwa maji
Analipwa umeme. Sasa hapo ondoa kuanzia # kiongozi abaki na Mshahara tu!

Again:-
  • Ununuzi wa magari ya kifahari
  • Huduma ya mafuta kila wiki
  • Kugawana OC kila mwezi. Hapa napo kuna shida.

Lkn pia:-
* Kuteua na kutengua asubuhi na jioni - aliyetenguliwa huendelea kulipwa Mshahara wa kiongozi wkt yuko kando. Hii husababisha wage bill ya serikali kuwa kubwa.

Hatuwezi!
 
Amezungumza leo Bungeni wakati akijibu hoja za Wabunge na kinachoendelea nchini kwa sasa Ikiwahusu wafanyabiashara kuendeleza mgomo wakidai kuchoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Hadi sasa mikioa ya Iringa,Dar es salaam,Mwanza,Mbeya na Mtwara
Mgomo wa Wafanyabiashara kutokufungua maduka nchini ulianza Juni 24, 2024 jijini Dar es Salaam
View attachment 3026702

Kwenye kuzikusanya hawasemi za Mama .... ila kwenye matumizi zinageuka kuwa PESA ZA MAMA....!!

Anyway, wanaweza kupunguza kwenye VAT wakakamua upande mwingine.
 
Amezungumza leo Bungeni wakati akijibu hoja za Wabunge na kinachoendelea nchini kwa sasa Ikiwahusu wafanyabiashara kuendeleza mgomo wakidai kuchoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Hadi sasa mikioa ya Iringa,Dar es salaam,Mwanza,Mbeya na Mtwara
Mgomo wa Wafanyabiashara kutokufungua maduka nchini ulianza Juni 24, 2024 jijini Dar es Salaam
View attachment 3026702

Yeye za kununulia Mabasi anazitoa wapi kama siyo humo humo kwenye bajeti yetu ....!!
 
Kabisa wanatembelea wakuu wa taasisi zote ,makatibu wa wizara ,Nk,DED ,RC,DAS,DC,RAS,W ,N/W ,viongozi wa Chama na serikali hatari kwa kila mwaka wanateketeza 580B.....Juzi Juzi LC 300 ya RAS kilimanjaro imesambaratika.
Kwani hayo magari yanatumia bil.600 na yananunulowa Kila mwaka? Hamnaga akili nyie
 
Kitakacho athirika ni mifuko yao mafisadi ambao hua wanatajwa na Cag kukwapua mabilioni kila mwaka, kama wangedhibiti matundu ya upigaji ambayo waliyatoboa wenyewe alafu wakayaziba kwa mkate kupunguza utitiri wa Kodi inawezekana kabisa na hakuna ambae angewaza kukwepa kodi
Tundu la panya unaliziba na karatasi, tume ya uchunguzi wa ufisadi tajwa inatangazwa nyuma ya mikamera majibu ya tume nyuma ya pazia hahaha 🤣 tabulele!
 
Amezungumza leo Bungeni wakati akijibu hoja za Wabunge na kinachoendelea nchini kwa sasa Ikiwahusu wafanyabiashara kuendeleza mgomo wakidai kuchoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Hadi sasa mikioa ya Iringa,Dar es salaam,Mwanza,Mbeya na Mtwara
Mgomo wa Wafanyabiashara kutokufungua maduka nchini ulianza Juni 24, 2024 jijini Dar es Salaam
View attachment 3026702
CAG hutangaza upotevu wa bilioni ngapi kila mwaka?
 
Back
Top Bottom