Waziri Mwigulu: Tukishusha 2% ya VAT tutapoteza Bilioni 600, Bajeti ya Serikali itaathirika

Waziri Mwigulu: Tukishusha 2% ya VAT tutapoteza Bilioni 600, Bajeti ya Serikali itaathirika

Amezungumza leo Bungeni wakati akijibu hoja za Wabunge na kinachoendelea nchini kwa sasa Ikiwahusu wafanyabiashara kuendeleza mgomo wakidai kuchoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Hadi sasa mikioa ya Iringa,Dar es salaam,Mwanza,Mbeya na Mtwara
Mgomo wa Wafanyabiashara kutokufungua maduka nchini ulianza Juni 24, 2024 jijini Dar es Salaam
View attachment 3026702
Ukishusha, watu wengi zaidi watalipa. Tena wangeishusha zaidi ili wapate zaidi.

Amandla...
 
Kama hali ngumu Serikali ibane matumizi sioni haja ya kununua magari ya kifahari V8(mkurugenzi, mkuu wa Wilaya, DAS, mkuu wa mkoa, RAS, waziri, N/w, Makatibu n.k) vipuli, service na mafuta ni gharama kubwa, harafu tunalundikiwa kodi. Nashauri vikao vya bunge vipunguzwe kuokoa mabillion.
 
Amezungumza leo Bungeni wakati akijibu hoja za Wabunge na kinachoendelea nchini kwa sasa Ikiwahusu wafanyabiashara kuendeleza mgomo wakidai kuchoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Hadi sasa mikioa ya Iringa,Dar es salaam,Mwanza,Mbeya na Mtwara
Mgomo wa Wafanyabiashara kutokufungua maduka nchini ulianza Juni 24, 2024 jijini Dar es Salaam
View attachment 3026702
Pumbavu punguza matumizi ya serikali kufidia hilo pengo
 
Kwa kiwango cha madini kilichopo na yanayochimbwa nchini yangetosha zaidi ya kutosha.
Waambie kudi watazipata kwenye ufisadi wanaofanya
 
Kitakacho athirika ni mifuko yao mafisadi ambao hua wanatajwa na Cag kukwapua mabilioni kila mwaka, kama wangedhibiti matundu ya upigaji ambayo waliyatoboa wenyewe alafu wakayaziba kwa mkate kupunguza utitiri wa Kodi inawezekana kabisa na hakuna ambae angewaza kukwepa kodi
 
Amezungumza leo Bungeni wakati akijibu hoja za Wabunge na kinachoendelea nchini kwa sasa Ikiwahusu wafanyabiashara kuendeleza mgomo wakidai kuchoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Hadi sasa mikioa ya Iringa,Dar es salaam,Mwanza,Mbeya na Mtwara
Mgomo wa Wafanyabiashara kutokufungua maduka nchini ulianza Juni 24, 2024 jijini Dar es Salaam
View attachment 3026702
WAKATI MWINGINE SEREKALI NI LAZIMA IFANYE BIASHARA KATIKA KUZIBA BAADHI YA MAPENGO, MFANO, IAGIZE YENYEWE SUKARI KUPITIA JESHI ILI KUZIBA BAADHI YA MAPENGO!, AIDHA BIDHAA FULANI ADIMU!, SEREKALI NYINGI TU HUFANYA HILI, KATIKA KU RESCUE HALI FULANI, IACHANE NA KUTUMIA WAFANYABIASHARA MAANA HUMO NDIMO WIZI HUFANYIKA.
 
Amezungumza leo Bungeni wakati akijibu hoja za Wabunge na kinachoendelea nchini kwa sasa Ikiwahusu wafanyabiashara kuendeleza mgomo wakidai kuchoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Hadi sasa mikioa ya Iringa,Dar es salaam,Mwanza,Mbeya na Mtwara
Mgomo wa Wafanyabiashara kutokufungua maduka nchini ulianza Juni 24, 2024 jijini Dar es Salaam
View attachment 3026702
Kwanini hagusii suala la wao kupunguza matumizi waanze kupanda SGR Dar Dodoma hakuna mashangingi tena wapande economy class sio kuendelea kuoandisha kodi ambazo wao binafsi hazilipi kwakua wanahudumiwa bure kwanini wao wakandamize tu wananchi halafu baadae lawama wanawapa TRA
 
Ukishusha, watu wengi zaidi watalipa. Tena wangeishusha zaidi ili wapate zaidi.

Amandla...
Kitu watu hawajui ni hakuna mfanyabiashara anatakiwa kulipa Kodi ya ongezeko la thamani ,anayelipa ni mlaji(final consumer)ni ajabu badala kupambana service levy ifutwe wanahangaika Kodi isiyowahusu,wafanya biashara ni mawakala wa kukusanya Kodi hiyo na ndio maana vat wanayolipa wanaponunua bidhaa za kuuza wanarudishiwa na zile walizokusanya toka kwa waliowauzia bidhaa wanatakiwa kuwasilisha kwa Mamlaka za serikali,vat iwe 20%au 18%au12%si yao.wao wapambane na withholding tax,service levy,income tax na nyingine kama tozo tozo,business licence,billboard fee na ongeza...,.
 
580B zinapotea kila mwaka kununua LC300
images (18).jpeg

Zinanunuliwa kama baiskeli hawana huruma na fedha zetu
 
Mwigulu anachofikiri ni Kuongeza Kodi tu na si kushusha hiyo 18% na ile 25% sijui waliitoa wapi aisee...Nchi nyingi ni 14% na 15% VAT..
 
Punguzeni mishahara ya mawaziri na wabunge. Pia mpunguze matumizi ya serikali kwenye vitu vya anasa. Kwani waziri na viongozi wengine kama wa kuu wa mikowa na wilaya wapewe magari na serikali huku walimu, wanajeshi , police, wauguzi, na watumishi wengine wote wanatumia daladala au magari yao binafusi. Ifike mahali kazi ya siasa iwe kazi wito wa kutumikia watu na sio kuibiq watu.
Nakubaliana na hatua za kubana matumizi, wabunge waslishwe upepo na waziri Mwiguru. kukusanya bila austerity measures za matumizi ni kazi bure. Pia wawe wabunifu fedha nyingi iko informal sector wanaiachia kisiasa
 
Back
Top Bottom