Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Ukishusha, watu wengi zaidi watalipa. Tena wangeishusha zaidi ili wapate zaidi.Amezungumza leo Bungeni wakati akijibu hoja za Wabunge na kinachoendelea nchini kwa sasa Ikiwahusu wafanyabiashara kuendeleza mgomo wakidai kuchoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Hadi sasa mikioa ya Iringa,Dar es salaam,Mwanza,Mbeya na Mtwara
Mgomo wa Wafanyabiashara kutokufungua maduka nchini ulianza Juni 24, 2024 jijini Dar es Salaam
View attachment 3026702
Kwebye keybord??Ngoja tuliamshe kama jirani ndio wataelewa wapi hela zipo sio kwa kodi
Pumbavu punguza matumizi ya serikali kufidia hilo pengoAmezungumza leo Bungeni wakati akijibu hoja za Wabunge na kinachoendelea nchini kwa sasa Ikiwahusu wafanyabiashara kuendeleza mgomo wakidai kuchoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Hadi sasa mikioa ya Iringa,Dar es salaam,Mwanza,Mbeya na Mtwara
Mgomo wa Wafanyabiashara kutokufungua maduka nchini ulianza Juni 24, 2024 jijini Dar es Salaam
View attachment 3026702
Hata kule ilianza kwenye keyboardKwebye keybord??
Tena ufisadi unatangazwa nyuma ya mikamera majibu ya tume nyuma ya paziaMbona huwa tunatangaziwa UFISADI WA KUTISHA na CAG?
WAKATI MWINGINE SEREKALI NI LAZIMA IFANYE BIASHARA KATIKA KUZIBA BAADHI YA MAPENGO, MFANO, IAGIZE YENYEWE SUKARI KUPITIA JESHI ILI KUZIBA BAADHI YA MAPENGO!, AIDHA BIDHAA FULANI ADIMU!, SEREKALI NYINGI TU HUFANYA HILI, KATIKA KU RESCUE HALI FULANI, IACHANE NA KUTUMIA WAFANYABIASHARA MAANA HUMO NDIMO WIZI HUFANYIKA.Amezungumza leo Bungeni wakati akijibu hoja za Wabunge na kinachoendelea nchini kwa sasa Ikiwahusu wafanyabiashara kuendeleza mgomo wakidai kuchoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Hadi sasa mikioa ya Iringa,Dar es salaam,Mwanza,Mbeya na Mtwara
Mgomo wa Wafanyabiashara kutokufungua maduka nchini ulianza Juni 24, 2024 jijini Dar es Salaam
View attachment 3026702
Hela ya bashe ya sukari tu hiyo iathiri bajeti mimi nikisema huyo jamaa anakera sana sieleweki ipo sikuWanaogopa kupoteza bilioni600 wakati wanasamehe Kodi ya bilioni 500 Tena inaingia mifukoni mwao
Kwanini hagusii suala la wao kupunguza matumizi waanze kupanda SGR Dar Dodoma hakuna mashangingi tena wapande economy class sio kuendelea kuoandisha kodi ambazo wao binafsi hazilipi kwakua wanahudumiwa bure kwanini wao wakandamize tu wananchi halafu baadae lawama wanawapa TRAAmezungumza leo Bungeni wakati akijibu hoja za Wabunge na kinachoendelea nchini kwa sasa Ikiwahusu wafanyabiashara kuendeleza mgomo wakidai kuchoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Hadi sasa mikioa ya Iringa,Dar es salaam,Mwanza,Mbeya na Mtwara
Mgomo wa Wafanyabiashara kutokufungua maduka nchini ulianza Juni 24, 2024 jijini Dar es Salaam
View attachment 3026702
Kitu watu hawajui ni hakuna mfanyabiashara anatakiwa kulipa Kodi ya ongezeko la thamani ,anayelipa ni mlaji(final consumer)ni ajabu badala kupambana service levy ifutwe wanahangaika Kodi isiyowahusu,wafanya biashara ni mawakala wa kukusanya Kodi hiyo na ndio maana vat wanayolipa wanaponunua bidhaa za kuuza wanarudishiwa na zile walizokusanya toka kwa waliowauzia bidhaa wanatakiwa kuwasilisha kwa Mamlaka za serikali,vat iwe 20%au 18%au12%si yao.wao wapambane na withholding tax,service levy,income tax na nyingine kama tozo tozo,business licence,billboard fee na ongeza...,.Ukishusha, watu wengi zaidi watalipa. Tena wangeishusha zaidi ili wapate zaidi.
Amandla...
580B zinapotea kila mwaka kununua LC300
Nakubaliana na hatua za kubana matumizi, wabunge waslishwe upepo na waziri Mwiguru. kukusanya bila austerity measures za matumizi ni kazi bure. Pia wawe wabunifu fedha nyingi iko informal sector wanaiachia kisiasaPunguzeni mishahara ya mawaziri na wabunge. Pia mpunguze matumizi ya serikali kwenye vitu vya anasa. Kwani waziri na viongozi wengine kama wa kuu wa mikowa na wilaya wapewe magari na serikali huku walimu, wanajeshi , police, wauguzi, na watumishi wengine wote wanatumia daladala au magari yao binafusi. Ifike mahali kazi ya siasa iwe kazi wito wa kutumikia watu na sio kuibiq watu.