kichongeochuma
JF-Expert Member
- Jan 21, 2024
- 1,669
- 2,864
Kwani hawaoni kuna hajabya kupunguza matumizi? Serikali ina matumizi makubwa sana tenanyasiyo na tija yeyoteAmezungumza leo Bungeni wakati akijibu hoja za Wabunge na kinachoendelea nchini kwa sasa Ikiwahusu wafanyabiashara kuendeleza mgomo wakidai kuchoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Hadi sasa mikioa ya Iringa,Dar es salaam,Mwanza,Mbeya na Mtwara
Mgomo wa Wafanyabiashara kutokufungua maduka nchini ulianza Juni 24, 2024 jijini Dar es Salaam
View attachment 3026702
Mwigulu anachofikiri ni Kuongeza Kodi tu na si kushusha hiyo 18% na ile 25% sijui waliitoa wapi aisee...Nchi nyingi ni 14% na 15% VAT..
Amezungumza leo Bungeni wakati akijibu hoja za Wabunge na kinachoendelea nchini kwa sasa Ikiwahusu wafanyabiashara kuendeleza mgomo wakidai kuchoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Hadi sasa mikioa ya Iringa,Dar es salaam,Mwanza,Mbeya na Mtwara
Mgomo wa Wafanyabiashara kutokufungua maduka nchini ulianza Juni 24, 2024 jijini Dar es Salaam
View attachment 3026702
Amezungumza leo Bungeni wakati akijibu hoja za Wabunge na kinachoendelea nchini kwa sasa Ikiwahusu wafanyabiashara kuendeleza mgomo wakidai kuchoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Hadi sasa mikioa ya Iringa,Dar es salaam,Mwanza,Mbeya na Mtwara
Mgomo wa Wafanyabiashara kutokufungua maduka nchini ulianza Juni 24, 2024 jijini Dar es Salaam
View attachment 3026702
View attachment 3026958
Zinanunuliwa kama baiskeli hawana huruma na fedha zetu
Wanasamehe Kwa nani kama sio Kwa wafanyabiashara?Wanaogopa kupoteza bilioni600 wakati wanasamehe Kodi ya bilioni 500 Tena inaingia mifukoni mwao
Kwani hayo magari yanatumia bil.600 na yananunulowa Kila mwaka? Hamnaga akili nyieKabisa wanatembelea wakuu wa taasisi zote ,makatibu wa wizara ,Nk,DED ,RC,DAS,DC,RAS,W ,N/W ,viongozi wa Chama na serikali hatari kwa kila mwaka wanateketeza 580B.....Juzi Juzi LC 300 ya RAS kilimanjaro imesambaratika.
Wewe unapewa tisheti na ubwabwa Unatuona hatuna akili lakini kodi yetu ndio inawapa jeuriKwani hayo magari yanatumia bil.600 na yananunulowa Kila mwaka? Hamnaga akili nyie
Tsheti na ubwabwa hawezi shida jf hana bandoWewe unapewa tisheti na ubwabwa Unatuona hatuna akili lakini kodi yetu ndio inawapa jeuri
Tundu la panya unaliziba na karatasi, tume ya uchunguzi wa ufisadi tajwa inatangazwa nyuma ya mikamera majibu ya tume nyuma ya pazia hahaha 🤣 tabulele!Kitakacho athirika ni mifuko yao mafisadi ambao hua wanatajwa na Cag kukwapua mabilioni kila mwaka, kama wangedhibiti matundu ya upigaji ambayo waliyatoboa wenyewe alafu wakayaziba kwa mkate kupunguza utitiri wa Kodi inawezekana kabisa na hakuna ambae angewaza kukwepa kodi
Kuna ubaya? Waheshimiwa wanahitaji gari kubwa na zenye nafasi580B zinapotea kila mwaka kununua LC300
Kila mwaka?Kuna ubaya? Waheshimiwa wanahitaji gari kubwa na zenye nafasi
Ikibidi kila mweziKila mwaka?
Hahaha kama dose kutwa Mara tatuIkibidi kila mwezi
CAG hutangaza upotevu wa bilioni ngapi kila mwaka?Amezungumza leo Bungeni wakati akijibu hoja za Wabunge na kinachoendelea nchini kwa sasa Ikiwahusu wafanyabiashara kuendeleza mgomo wakidai kuchoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Hadi sasa mikioa ya Iringa,Dar es salaam,Mwanza,Mbeya na Mtwara
Mgomo wa Wafanyabiashara kutokufungua maduka nchini ulianza Juni 24, 2024 jijini Dar es Salaam
View attachment 3026702
Naam. Maiti zimetulia tuHahaha kama dose kutwa Mara tatu
Zimetulia tuli!Naam. Maiti zimetulia tu
Wameshindwa kupanuwa wigo wa walipa kodi pia matumizi ya kifisadi ya kila mwaka ni fikirishi, akili zao zinawatuma kuwakamua walewale walioko kwenye 18Ukishusha, watu wengi zaidi watalipa. Tena wangeishusha zaidi ili wapate zaidi.
Amandla...