Waziri na mbunge, Juma Aweso atinga na wake zake wawili bungeni, shangwe latawala. Kumbe wabunge wanapenda wake wengi kiasi hiki!

Waziri na mbunge, Juma Aweso atinga na wake zake wawili bungeni, shangwe latawala. Kumbe wabunge wanapenda wake wengi kiasi hiki!

Swala la mwanaume kuwa na wake wengi linazingatia zaidi uchumi, rejea mfalme Suleiman alikuwa nao mia saba.......kwa hiyo hakuna jipya hapo.
 
Mbunge wa Pangani na waziri wa maji, Juma Aweso leo amefika bungeni na wake zake wawili, wametambulishwa na spika Tulia wakiwa wamekaa pamoja kwa bashasha tele. Meza za Bunge zimegongwa mpaka zinataka kupasuka zikichagizwa na vigelegele kutoka kwa wabunge wanawake, nikajiuliza waheshimiwa wabunge ndio wanapenda ndoa za wake zaidi ya mmoja kwa kiasi hiki[emoji1787]

Ukiweza kuwa Rais natarajia Taifa kuwa na 'First ladies'

View attachment 2221483
Wake wa Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, kushoto ni Bi. Zainabu Abdallah na Kauthari Tarimo wakifuatilia mjadala wa hotuba ya Wizara ya Maji kwa mwaka wa fedha 2022/2023.

View attachment 2221446
Ila huyo Zainab hapana kwa kweli niwe muwazi mniwie radhi.
 
Mkuu
Hongera kwa bandiko zuri
Wenye maono watajiuliza hiyo sio ziara/utambulisho wa kimkakati!!?
Kwanini!!?
Siku kadhaa nyuma bandiko la makada wawili wa chama tawala watakaomrithi Mama lilikuja humu jamvini tukachangia mmoja wapo wa Hao wawili ni huyu uliemfungulia uzi wake hapa!!
Je ni co incidence!!?TUSUBIRI
Duh ! Watu kwa kuunganisha dots ni hatariii !!
 
Aongeze wawili wafike wanne kwa mujibu wa dini
 
Hakuna chochote cha maana zaidi ya kujiongezea possibility ya kukusanya mapepo Mengi. Maana kadiri unavyoongeza wanawake kila mmoja ana mipepo yake maana hawana Yesu hao. Akamuulize mfalme Sulemani kilochomkuta kwa wanawake 1,000!
 
Mbunge wa Pangani na waziri wa maji, Juma Aweso leo amefika bungeni na wake zake wawili, wametambulishwa na spika Tulia wakiwa wamekaa pamoja kwa bashasha tele. Meza za Bunge zimegongwa mpaka zinataka kupasuka zikichagizwa na vigelegele kutoka kwa wabunge wanawake, nikajiuliza waheshimiwa wabunge ndio wanapenda ndoa za wake zaidi ya mmoja kwa kiasi hiki[emoji1787]

Ukiweza kuwa Rais natarajia Taifa kuwa na 'First ladies'

View attachment 2221483
Wake wa Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, kushoto ni Bi. Zainabu Abdallah na Kauthari Tarimo wakifuatilia mjadala wa hotuba ya Wizara ya Maji kwa mwaka wa fedha 2022/2023.

View attachment 2221446
Huyu tarimo ndo kaingilia ndoa ya bi zainabu bila shaka
 
Hongereni wachaga na wapemba

Huyo mmoja anaitwa kauther Tarimo mtoto wa mzee Tarimo tajiri la kichaga huyo mwingine mtoto wa mama Raisi Samia Suluhu Hassan ambaye pia ni mwanilishi wa baraza la wawakilishi kule zanzibar

Jamaa kaoa familia zote Bora

Wabunge wengine na nyie leteni wake zenu tuwaone
MTT wa tajiri unaenda kuolewa mke wa pili?
Huyo tarimo nina wasiwasi nae!
Wachaga naowajua Mimi[emoji848]
 
Hongereni wachaga na wapemba

Huyo mmoja anaitwa kauther Tarimo mtoto wa mzee Tarimo tajiri la kichaga huyo mwingine mtoto wa mama Raisi Samia Suluhu Hassan ambaye pia ni mwanilishi wa baraza la wawakilishi kule zanzibar

Jamaa kaoa familia zote Bora

Wabunge wengine na nyie leteni wake zenu tuwaone

Mtoto wa tajiri kawa mke mwenza nadhani ipo shida hapo.
 
Wamekuja kukaba wameshtuka dogo anataka kuongeza wa tatu.
 
Back
Top Bottom