ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Nashangaa inakuwaje Nape kwanini yupo ofsini hadi Leo.
Yaani ametoa kauli chafu na kuharibu amani yetu Bado anaona utani?
Utani Gani au uhuni amekuwa akirudia hii kauli.
Me ni mwana CCM ili siwezi kufurahishwa na ushindi wa wizi na kunajisi democracy. Tushindane Kwa sera na vyama vingine atakaeshinda ndo huyo
Hivi waziri tunaekuheshimu kujisifu ati ni mtaalamu wa kuiba kura na kunajisi democracy unasema ni utani
Nape amejivunjia heshima au anataka tuandamane kama Kenya?
Ametuona Watanganyika wapumbavu.
Rais Samia mtoe huyu jamaa ofsini haraka, ili tukuamini tuone kweli hii kauli ya mtendaji wako ilikuchukiza.
Kwani yeye ndo alizaliwa kuwa waziri.
Moderators msifute huu Uzi.
Maana naona nyuzi za kumhusu Nape mnafuta
Yaani ametoa kauli chafu na kuharibu amani yetu Bado anaona utani?
Utani Gani au uhuni amekuwa akirudia hii kauli.
Me ni mwana CCM ili siwezi kufurahishwa na ushindi wa wizi na kunajisi democracy. Tushindane Kwa sera na vyama vingine atakaeshinda ndo huyo
Hivi waziri tunaekuheshimu kujisifu ati ni mtaalamu wa kuiba kura na kunajisi democracy unasema ni utani
Nape amejivunjia heshima au anataka tuandamane kama Kenya?
Ametuona Watanganyika wapumbavu.
Rais Samia mtoe huyu jamaa ofsini haraka, ili tukuamini tuone kweli hii kauli ya mtendaji wako ilikuchukiza.
Kwani yeye ndo alizaliwa kuwa waziri.
Moderators msifute huu Uzi.
Maana naona nyuzi za kumhusu Nape mnafuta