Waziri Nape Nnauye, inakuaje unajisifu kuona Watanzania milioni 5 ndio wako online? Je, nia ya kutaka 100% wawe connected ni ya kweli au siasa?

Waziri Nape Nnauye, inakuaje unajisifu kuona Watanzania milioni 5 ndio wako online? Je, nia ya kutaka 100% wawe connected ni ya kweli au siasa?

Baada ya hapo watapanga mjamaa ya kuzima intanet kwanini?
 
Mheshimiwa Magufuli alimuona nape mapema na January kuwa ni walafi na wabinafsi. Mheshimiwa mama Samia watazame hawa watu wawili ni kansa kwako.
 
Mheshimiwa Magufuli alimuona nape mapema na January kuwa ni walafi na wabinafsi. Mheshimiwa mama Samia watazame hawa watu wawili ni kansa kwako.
Ndege wafananao huruka pamoja Mkuu.
Maana haiwezekani kila siku tunawalalamikia hao hao halafu hakuna chochote kinafanyika dhidi yao.
 
Mama amtafute mtu mwenye weledi na kazi ampe hiyo wizara huyu ampe japo kuwa DC kwani hapo alipo hafanani nako hata kwa 8%
 
Back
Top Bottom