CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anayeichukia CCM ni mchawi tuuHakika serikali ya CCM ni serikali inayowajali watu wake mno,
Pamoja na uharaka na umuhimu wa zoezi hili bado Rais naona ipo haja ya wafugaji kuongezewa muda zaidi
TubadilikeTatizo letu wapongo tunapenda deadlines tu bora wasingeoza tu
Napenda staili ya Uongozi ya Huyu Waziri, Hapendi majigambo anapenda kazi tu
Mikopo yetu ya ufugaji wa samaki bado hamjaruhusu itoke, tatizo nini? Muda unazidi kwenda huu, Juni 30, 2023 mmepanga kutoa tathimini za kupika, sivyo?
Acha uchawa wewe. Waziri ameshindwa kuruhusu mikopo ya mradi wa ufugaji samaki kwa vizimba hadi leo hii, anapaswa kupigwa kalamu haraka sanaNapenda staili ya Uongozi ya Huyu Waziri, Hapendi majigambo anapenda kazi tu
Aruhusu ili muibe?Acha uchawa wewe. Waziri ameshindwa kuruhusu mikopo ya mradi wa ufugaji samaki kwa vizimba hadi leo hii, anapaswa kupigwa kalamu haraka sana
Au ni bongo lala, Kazi ya CCM kwenye Taifa hili ni ya kutukuka, angalia mabarabara, angalia Viwanda, angalia mashuleAnayeichukia CCM ni mchawi tuu
Kama hawawezi kujenga tu Ofisi haya yote watayajuaje?Au ni bongo lala, Kazi ya CCM kwenye Taifa hili ni ya kutukuka, angalia mabarabara, angalia Viwanda, angalia mashule
Mashimba Ndaki ni Waziri MzuriNapenda staili ya Uongozi ya Huyu Waziri, Hapendi majigambo anapenda kazi tu
Mifugo ni kitega uchumi, kuna kuuza na kuna kuongeza, sio kitu kiko cha kudumu. Pia kuna kufa, hivyo huwezi kuwa na idadi hiyo kila wakati. Haya ni matumizi mabovu ya rasilimali.
Nimecheka sana aisee!!Njooni na sensa ya Mifugo kama hii
View attachment 2404528
Makarani mnatisha Sana,ifanyike sensa. Makarani tupo standby 😎