Waziri Ndaki : Wizara imeridhia wafugaji wote nchini kuongezewa muda wa Usajili na Utambuzi wa Mifugo kielectronic Mpaka desemba 31

Hakika serikali ya CCM ni serikali inayowajali watu wake mno,

Pamoja na uharaka na umuhimu wa zoezi hili bado Rais Kaona ipo haja ya wafugaji kuongezewa muda zaidi
Wafugaji sasa tumieni hii fursa msajili Mifugo yenu yote
 
Tatizo letu wapongo tunapenda deadlines tu bora wasingeoza tu
 
Napenda staili ya Uongozi ya Huyu Waziri, Hapendi majigambo anapenda kazi tu
Acha uchawa wewe. Waziri ameshindwa kuruhusu mikopo ya mradi wa ufugaji samaki kwa vizimba hadi leo hii, anapaswa kupigwa kalamu haraka sana
 
Acha uchawa wewe. Waziri ameshindwa kuruhusu mikopo ya mradi wa ufugaji samaki kwa vizimba hadi leo hii, anapaswa kupigwa kalamu haraka sana
Aruhusu ili muibe?

Mkopo ni haki ya mkopaji mwenye vigezo sijui kama na Wewe unavigezo
 
ifanyike sensa. Makarani tupo standby 😎
 
waachane na hilo zoezi kwa sasa, ni kuwaongezea stress wafugaji wanaopoteza ng'ombe kwa sasa kutokana na mifugo kukosa maji na malisho ya kutosha. Kule kenya ng'ombe mil. 2.5 tayari wamekufa kwa njaa......unamwekea heleni ng'ombe ambaye kabaki mbavu tupu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…