Waziri Ndalichako better late than never; Mikopo ya elimu ya juu hailipiki sababu ya Value Retention fee ya 6%

Waziri Ndalichako better late than never; Mikopo ya elimu ya juu hailipiki sababu ya Value Retention fee ya 6%

Rudia kusoma alichoandika mkuu, pengine unaweza kuelewa na ukchangia kwa hoja nzuri na yenye mashiko.

Mleta mada hajakataa kulipa huo mkopo, anazungumzia changamoto ya retention fee na riba inayoongezeka kila mwaka kadri unavochelewa kuanza kurejesha mkopo, pamoja na ile Asilimia waliyopandisha kutoka 8% hadi 15%. Hivo vitu ni maumivu sana

Nadhani ungekuwa na mtoto anapata mateso ya huo mkopo usingeandika kwa kejeri namna hiyo.

Kuwa mstaarabu ndugu huenda wew ni mnufaika wa utawala huu kaa ukijua kuna wahitim wa vyuo vikuu wanasota kurudisha mkopo wa Bodi ya mikopo.

Kiufupi huo mkopo haulipiki, basi tu hujui adha tunayoipata.
 
Lipa madeni ya serikali na wengine wakope ili wasome kama wewe ulivyo someshwa. Kwani kuomba mkopo ulilazimishwa? Kama ulijua huo mchanganuo, kwanini hukukataa kuchukua huo mkopo? Umeanza kuleta michanganuo ya deni na ukali wake baada ya kuhitimu shahada yako. Unafahamu kuwa wapo ambao wamesitisha masomo baada ya kukosa huo mkopoo? Dawa ya deni nikulipa.
Acha 'kiherehere cha kijani' wewe!! Hujui sheria zilipitishwa na zikaanzia toka miaka yanyuma wakati makubaliano ya awali yamkopo hayakuwa hivyo?

Wapo hata walimu walokatwa mshahara ukabaki 90,000 wakaacha kazi.
 
Physics
Chemistry
Biology
BAM
GS
HISTORIA
Hawa vijana hawatalisoma hilo somo
Nawaza sasa wale wa HKL,HGL hili somo litaitwaje itwaje? Naona Kuna mpango wa kupiga pesa kwa mwamvuli wa hili somo jipya na ndo tunakuja kulekule kufungua kwa mbwembwe mahakaman ya mafisadi mwisho wake sasa nahisi mnalo jibu.
 
Ukute alishia form two hasira za kutotaka kusoma anapeleka kwa wengine sasa.
 
nawaza sasa wale wa HKL,HGL hili somo litaitwaje itwaje?naona Kuna mpango wa kupiga pesa kwa mwamvuli wa hili somo jipya na ndo tunakuja kulekule kufungua kwa mbwembwe mahakaman ya mafisadi mwisho wake sasa nahisi mnalo jibu

Ukweli ndio huo hili somo la history ni ufisadi mwingine ktk kuandaa mitaala, kutengeneza vitabu. Ni heri nguvu kubwa ingekuwa ktk mtaala wa sayansi na teknolojia.
 
Kwanini ucherewe kulipa nawakati ulikopa mwenyewe? Hiyo michanganuo hamkuiona? Siku zote kopa ukijua kuwa nimateso kulipa. Na hiii iwefundisho, watu wanadhani ule mkopo wa chuo kikuu ni msaadaa, na ndio maana hata zile fedha za kujikimu yaaani boom wanazitumia kwa anasa saana na wengine hadi zimewaua. Na wapo wengine tulikuwa tunawapa tahadhali ya matumizi mabaya ya zile fedhaa.

Hakuna kulia lia hapa tujiandae kulipa deni na wengine wakopeee. Ni memwelewa vizuri saaana mleta maada, kinachotafutwa hapa nikutaka wala kupunguziwa ukali wa deni. Tulipe madeni ya mkopo na wengine walipe.
 
Lipa madeni ya serikali na wengine wakope ili wasome kama wewe ulivyo someshwa. Kwani kuomba mkopo ulilazimishwa? Kama ulijua huo mchanganuo, kwanini hukukataa kuchukua huo mkopo? Umeanza kuleta michanganuo ya deni na ukali wake baada ya kuhitimu shahada yako. Unafahamu kuwa wapo ambao wamesitisha masomo baada ya kukosa huo mkopoo? Dawa ya deni nikulipa.
Acha longolongo wewe, kuwa mzalendo ulitazame kwa mapana.
HALILIPIKI HILO.
 
Tatizo ni Magu Mkuu..
Kilio hiki kila siku kinaletwa hapa.

Magu kaziba masikio.

Mi5 tena
 
Tatizo la nchi hii ni katiba mbovu alioiacha Mwalimu huku akijua ikipata kiongozi asiye na hekima yeye ndie atakuwa executive, judiciary na parliamentary. Na si hivyo tu, bsli atakuwa mungu mtu na asihojiwe na yeyote. Katiba hii inaruhusu yeye awe kila kitu. Hata wanaotakiwa kumshughulikia kiongozi anayeharibu nchi (mavipenyo) yeye ndie anawachagua na wanamuogopa. Fikiria nchi kama Marekani ingekuwa na katiba bomu kama hii, nakuhakikishia Trump angewatesa sana na asingetoka madarakani. Maskini wee, Mwalimu alifikiri wote huwa wana hekima, hakujua hata wasio na hekima (wapumbafu) huwa wana fluke na kupata vyeo vikubwa!
 
Inawezekana wanaangalia kipi ni kikubwa . either 100,000 au 10% ya kodi. Itakuwa wanachukua kikubwa kati ya hivyo. Labda.
 
Tatizo ni Magu Mkuu..
Kilio hiki kila siku kinaletwa hapa.

Magu kaziba masikio.

Mi5 tena
Raisi wa wanyonge Yuko busy kujenga stiglers gorge sijui na kununua ndege huku wananchi wakiteseka na Hali mbaya tena anazidisha mikodi kila corner mbaya kuna wapambe wanataka aongezewe mda Ili tuwe Kama zimbabwe ya mugabe
 
Mlifurahia mlipopewa zirudisheni wenzenu wazitumie
 
Umeeleza vizuri; na ninakupongeza kwa juhudi hiyo ya kujituma na kufungua biashara.

Ila kuna mahala umeamua nawe kdanganya, nadhani kwa maksudi tu ili kulinda hoja yako:

Hii biashara yako ya 'stationary' hutaraji ikue mwaka hadi mwaka ili ikuongezee kipato?

Na utaendelea tu na biashara hii hii hata kama haileti mabadiliko yoyote katika kipato chako?

Unaanzisha mada nzuri, lakini unaamua mwenyewe kuivuruga!
 
Back
Top Bottom