Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Kwahiyo hao wengine waliobaki ndio wanastahili kuongezewa Some jipya la historia?Mwanafunzi wa PCB unamuongezea somo la history daaah!! Hii nchi hii?!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo hao wengine waliobaki ndio wanastahili kuongezewa Some jipya la historia?Mwanafunzi wa PCB unamuongezea somo la history daaah!! Hii nchi hii?!!
Acha 'kiherehere cha kijani' wewe!! Hujui sheria zilipitishwa na zikaanzia toka miaka yanyuma wakati makubaliano ya awali yamkopo hayakuwa hivyo?Lipa madeni ya serikali na wengine wakope ili wasome kama wewe ulivyo someshwa. Kwani kuomba mkopo ulilazimishwa? Kama ulijua huo mchanganuo, kwanini hukukataa kuchukua huo mkopo? Umeanza kuleta michanganuo ya deni na ukali wake baada ya kuhitimu shahada yako. Unafahamu kuwa wapo ambao wamesitisha masomo baada ya kukosa huo mkopoo? Dawa ya deni nikulipa.
Nawaza sasa wale wa HKL,HGL hili somo litaitwaje itwaje? Naona Kuna mpango wa kupiga pesa kwa mwamvuli wa hili somo jipya na ndo tunakuja kulekule kufungua kwa mbwembwe mahakaman ya mafisadi mwisho wake sasa nahisi mnalo jibu.Physics
Chemistry
Biology
BAM
GS
HISTORIA
Hawa vijana hawatalisoma hilo somo
nawaza sasa wale wa HKL,HGL hili somo litaitwaje itwaje?naona Kuna mpango wa kupiga pesa kwa mwamvuli wa hili somo jipya na ndo tunakuja kulekule kufungua kwa mbwembwe mahakaman ya mafisadi mwisho wake sasa nahisi mnalo jibu
Acha longolongo wewe, kuwa mzalendo ulitazame kwa mapana.Lipa madeni ya serikali na wengine wakope ili wasome kama wewe ulivyo someshwa. Kwani kuomba mkopo ulilazimishwa? Kama ulijua huo mchanganuo, kwanini hukukataa kuchukua huo mkopo? Umeanza kuleta michanganuo ya deni na ukali wake baada ya kuhitimu shahada yako. Unafahamu kuwa wapo ambao wamesitisha masomo baada ya kukosa huo mkopoo? Dawa ya deni nikulipa.
Hawasomi ng'ooo...Physics
Chemistry
Biology
BAM
GS
HISTORIA
Hawa vijana hawatalisoma hilo somo
Raisi wa wanyonge Yuko busy kujenga stiglers gorge sijui na kununua ndege huku wananchi wakiteseka na Hali mbaya tena anazidisha mikodi kila corner mbaya kuna wapambe wanataka aongezewe mda Ili tuwe Kama zimbabwe ya mugabeTatizo ni Magu Mkuu..
Kilio hiki kila siku kinaletwa hapa.
Magu kaziba masikio.
Mi5 tena
Umepeleka fedha wamekaataaa???Acha longolongo wewe, kuwa mzalendo ulitazame kwa mapana.
HALILIPIKI HILO.
Wanapokea lakini badala deni lipungue linaongezeka......Umepeleka fedha wamekaataaa???