Shiiiiiiiii, acha kuhoji hoji we jua tu ni utalii, hata kama hao watalii hawaendi huko...ebo[emoji23] [emoji23] [emoji23]Daaah,Chato tena kwenye headlines!Huo mjengo sio wakitoto aisee,na hiyo ni ofisi tu ya miti!?[emoji16][emoji16][emoji16]
Utalii wa mashamba ya misitu maana yake nini?
Waziri wa maliasili na utalii Dkt. Damas Ndumbaro leo January 12 akizindua jengo la utalii wa mashamba ya misitu Biharamulo-Chato ameiagiza bodi ya utalii nchini kuhaakikisha kuwa inapeleka watalii wa kutosha kwenda kujionea maajabu ya msitu mnene wa Biharamulo-Chato hivyo kuongeza mapato ya serikali
Picha: Waziri Ndumbaro akiwa na bodi ya utalii nje ya jengo alilozindua leo Biharamulo-Chato
"---tumeleta maendeleo", tafsiri yake bado huijui mkuu wangu 'Rebecca83'?Ningekua mimi ninge-step down nafasi yangu ya uwaziri, huwezi kusimama pale mbele na kujidai tumeleta maendeleo wakati clearly hata kwenu maendeleo hayajaletwa! Unaona kabisa intrest ni za mtu mmoja mwenye ego na sio interest za Tanzanian public. Magufuli hana mshipa wa aibu anawadhalilisha sana kwa kuwafanya muonekane vituko mbele ya jamii
Aliagize tu hili hili waziri la utalii lihamishe mlima Kilimanjaro liupeke Chato! Ninavyojua litaondoka kwenda kujaribu kuuhamisha!Mzee inatakiwa atengeneze na mlima pia
Unafiki mbaya sana.Moyo unaamini huku,akili inasema kile.After 2025 utabadilika tena.Asante sana waziri kwa sasa Chato aka chatu inapaa kama jet. Mungu mbariki rais JPM
Aibu tupuAliagize tu hili hili waziri la utalii lihamishe mlima Kilimanjaro liupeke Chato! Ninavyojua litaondoka kwenda kujaribu kuuhamisha!
itaanza watumishi wote lazima wafanye utalii buricha ili wabaki na ajira,next mikutano yote ya mambo ya utalii italazimishwa kufanyika huo,then wafanyabiashara wataambiwa wakafanye utalii kama hujaenda urgency note,Makampuni ya utalii yatapewa target ya kupeleka watalii hata kama hawataki then tutapewa data za watalii waliotembelea Over.Hivi na nyie mnaamininbodi ya utalii ndio inapeleka watalii? Umeshaona wazungu wanalazimishwa kufanya kitu? Hakuna mzungu atakayeenda chato. Mtu aache serengeti, ngorongoro, eti aende mbali huko chato? Majibu mtayapata baada ya muda tu. Sad jinsi pesa ya umma inavyowekezwa vibaya wakati ajira kwa vijana hakuna.
Daaah,Chato tena kwenye headlines!Huo mjengo sio wakitoto aisee,na hiyo ni ofisi tu ya miti!?πππ
Utalii wa mashamba ya misitu maana yake nini?
Hivi siku hizi Biharamulo ipo mkoa wa Chato?
Sasa kwann iwe ni Biharamulo-chato na si Biharamulo-Kagera?Biharamulo ni wilaya kama ilivyo Chato-Mkoa ni Geita. Ni baada ya Geita kumegwa kutoka wilaya(mkoa-Mwanza) na kuwa mkoa.
Biharamulo ni wilaya kama ilivyo Chato-Mkoa ni Geita. Ni baada ya Geita kumegwa kutoka wilaya(mkoa-Mwanza) na kuwa mkoa.
Kuna wilaya kama ngara tupa kule haimo kwenye ramani anymore.mizigo ya kwenda Rwanda inapatabshida sanaWilaya ya Biharamulo bado hipo Mkoa wa Kagera - lakini mambo yanavyo elekea tusishangae siku moja tuka ambiwa B'mulo amehamishiwa kwenye Mkoa mwingine muda si mrefu kuanzia sasa.