Pyaar
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 16,078
- 77,186
Wilaya ya Biharamulo bado hipo Mkoa wa Kagera - lakini mambo yanavyo elekea tusishangae siku moja tuka ambiwa B'mulo amehamishiwa kwenye Mkoa mwingine muda si mrefu kuanzia sasa.
Ndyo Biharamulo bado ipo Kagera ila naona hapo wameweka sintofahamu, ni sawa na kusema Nzega-Kahama.