KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 92
duh ! msimamo mkali huo ndugu kibunango !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
....... ....... ....... ..... .. . katafune bijigii dogo !! ..... .. ........ .
Kada
Umenichekesha...ila nadhani ulimaanisha bigijii.
mtetezi wa mafisadi na hiyo dhambi itakutafuna tu.........
heeeee, sasa nikifa ndio tatizo ???? wamekufa vipenzi vya Mwenyezi Mungu itakuwa Kada bana ??
kama nalala bila ya uoga why niogope kifo wakati kifo nacho ni usingizi vile vile, utakufa na ipo siku utaamka kwa imani yangu !
haya bana kama wee unataka kukesha macho milele, hiyo ni wewe !
kufa hautakufa ila cha moto utakiona kama hapo unapoweweseka wakati hizi ajari unazichangia mwenyewe. na kwa sababu umesema ukisikia kifo kwako ni hatari nitakujazia picha za miili ya watanzania unayochangia kuiua kwenye PM yako ili uendelee kuweweseka. Wenzako tumeshazoe tunazika kila siku baada ya nyie kuamua kutudhurumu hata ila ya kununua asprin
jamani hee wabongo tumezidi kuongea,huyu mama tumempa pole we sasa tumechoka sasa wengine washaanza kusema kuwa alikuwa anatetea ufisadi,mnaosema mna udhibitisho?
Tumwacheni mama wa watu apumzike kwa amani katika pumziko lake la milele,na hii mijadala inapoenda soon utasikia watu wanatuma post kuwa nae alikuwa mwana mtandao,JAMANI TUACHENI MAJUNGU,KULICHOBAKI TUMWOMBEENI
he was a very nice and potential lady
barabara ni mbaya...
Ok sikusoma hapa.. Hata hivyo picha umeshaiweka natumai ni kutokana na idadi kubwa ya waliomba kuona picha hiyo.
Zaidi msimamo wangu upo pale pale kuwa picha hiyo haifai kubandikwa.
jamani hee wabongo tumezidi kuongea,huyu mama tumempa pole we sasa tumechoka sasa wengine washaanza kusema kuwa alikuwa anatetea ufisadi,mnaosema mna udhibitisho?
Tumwacheni mama wa watu apumzike kwa amani katika pumziko lake la milele,na hii mijadala inapoenda soon utasikia watu wanatuma post kuwa nae alikuwa mwana mtandao,JAMANI TUACHENI MAJUNGU,KULICHOBAKI TUMWOMBEENI
1. Hili zimwi la ajali kwa vingozi hii awamu ya JK sasa imezidi. Why katika hii awamu ajali zimezidi? Sijafanya uchunguzi ...sioni kama kiwango cha ajali kwa viongozi wakati wa BMW na AHM kilikuwa kikubwa hivi. Kulikoni? Serikali inahitaji maombi maalum over ajali hizi?
jamani hee wabongo tumezidi kuongea,huyu mama tumempa pole we sasa tumechoka sasa wengine washaanza kusema kuwa alikuwa anatetea ufisadi,mnaosema mna udhibitisho?
Tumwacheni mama wa watu apumzike kwa amani katika pumziko lake la milele,na hii mijadala inapoenda soon utasikia watu wanatuma post kuwa nae alikuwa mwana mtandao,JAMANI TUACHENI MAJUNGU,KULICHOBAKI TUMWOMBEENI
Twendeni mbele turudini nyuma,na huyu zitto nae alikuwa anatoka wapi?,mana kwa ripoti,mama salome alikuwa kwenye kampeni za ccm za uchaguzi huu ujao,dr matayo alikuwa anatoka songea kukagua kilimo cha umwagiliaji,je zitto nae alikuwa anatoka wapi?
kwani wee hujui JF kila kitu kinahusishwa na siasa ! hata akiumwa wewe utaambiwa fulani kafanya hivi na hivi ndio maana unaumwa ! kwa kifupi watu washamsahau Mungu wao, kama wale waisrael baada ya Mussa kwenda kuchukua mari 10 za Mungu !
Mimi sijasema huyu mama ni fisadi ila nilikuwa namwambia huyo maskini kama mimi Kada kuwa tunapotaka kutokomeza ufisadi lengo ni kutaka kuleta maisha mazuri ikiwa ni pamoja na kuondoa hizi ajari zinazosababishwa kizembe. Kada yeye ni mtetezi wa hawa mafisadi na ndiye niliekuwa nampasha anapojifanya anaweweseka
Du unamjua Mungu wewe! at least kumbe kuna hope siku moja utabadilishwa kutoka sauli mpaka kuwa PAULO
siweweseki na wala siyumbi ! kwa lipi hasa ?
sawa, endelea na msimamo wako ndio uzuri wa JF.. misimamo haimaanishi lolote au hailazimishi lolote.