Duh...!, nimeona kweli jamaa kazirai!, ila tuelezane ukweli, jamaa alikuwa na matatizo mengine ya kiafya, hivyo kauli ya Jafo ikawa ni kama tuu kumsukuma mlevi, kinachomwangusha mlevi akisukumwa ni kilevi na sio kusukumwa, tena hapo Joffo anaongea kistaarabu sana, angekuwa ni yule anayefanya bullying?, jamaa si ingekuwa hapo hapo!.
Ila pia kiukweli Waziri Jafo na viongozi wote waliokuwepo hapo, wamekosa utu, ubinaadamu, mtu ameanguka ameziarai, that was emergence, ilibidi kila kitu kisimame, mgonjwa apatiwe huduma ya kwanza, lakini waziri aliendelea tuu, na DC wa Dodoma naye akafuatia as if nothing happened!. Tuchape kazi, yes, lakini pia tuwe na utu!, kunapotokea emergency kama ile, no one knows tatizo ni nini, kama ni pressure, asipopata msaada wa haraka in split of seconds, anything can happen!, utu kwanza, kazi baadae!.
P