masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Akikusuta mzaramo utaachia ngazi tu.Mwizi alienda kuiba kwenye nyumba ya Mzaramo, bahati mbaya mwizi akakamatwa, alisemwa hadi akafa. Usifanye mchezo na Wazaramo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akikusuta mzaramo utaachia ngazi tu.Mwizi alienda kuiba kwenye nyumba ya Mzaramo, bahati mbaya mwizi akakamatwa, alisemwa hadi akafa. Usifanye mchezo na Wazaramo
Huyo si ndugu na Colman masawe? nadhani ni mteja huyoMkandarasi mlevi huyo!
Hapo kashagonga makonyagi hata kusimama hawezi!
Huyo ni Mkurugenzi ,halafu ccm mwenzao huyoMkandarasi wa kampuni gani hiyo ?
Hiyo kampuni wakurugenzi wote waleviHuyo mtu anaonekana mlevi hayuko stable kwny afya yake
Mkurugenzi wa kampuni ya SCOL Building Contractors Limited ameanguka na kuzirai mbele ya Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo baada ya kubanwa kuhusu ucheleweshaji wa ujenzi wa barabara ya Martin Luther hadi Swaswa mjini Dodoma.
Tukio hilo limetokea jana Jumatano Desemba 4, 2019 baada ya Jafo kutembelea ujenzi wa barabara hiyo yenye urefu wa kilomita nane iliyotakiwa kukamilika Agosti lakini ukaongezwa muda hadi Oktoba, 2019. Alizirai baada ya kuelezwa na Jafo kuwa kusuasua kwake kutasababisha asipewe kazi nyingine za ujenzi wa barabara
Huyu anaweza kukusema mpaka ukaacha sahani yenye msosi mess.Haka kajamaa bhana kana maneno mengi tangu school.
Kiranja wangu wa chakula huyu
Hehehe hii ibaki huku huku Wakenya tuijadili maana ni sababu kuu ya kwanini tunaongoza kuchumi, yani Kenya huwa full mzukaaaaa!!! Labda tukija kuajiriwa Bongo ndio kidgo huwa tunapumzika na kuhisi ni kama tuko likizo vile.....heheheJamiiForums unganisheni hii kitu
Ile ishu za MAKONDER...Je kama haya yanatokea, ni nini viongozi wetu wakuu wenye mamlaka wanapaswa wajifunze wanapotoa tamko/adhabu kama kutumbua au kumemea kiongozi aliye chini yake?
Mfano
1: Mwanri alimzimisha afisa Elimu baada ya kumtumbua
Majibu ya Mwanri baada ya mtu kuzimia - Kuzimia, yawezekana mtu amelala chini – is not an issue.
2: Jafo amzimisha mkurugezi baada ya kumpa muda mfupi ili kukamilisha mradi
Majibu ya Jafo - Eee bwana wee simama wewe.
Je ni wangapi walio pata shida walipo tumbuliwa na mkuu wanchi?
Je ni nini kifanyike ili kupunguza makali ya maneno kuepusha madhara zaidi?
Kiko wapi 😂😂😂Hehehe hii ibaki huku huku Wakenya tuijadili maana ni sababu kuu ya kwanini tunaongoza kuchumi, yani Kenya huwa full mzukaaaaa!!! Labda tukija kuajiriwa Bongo ndio kidgo huwa tunapumzika na kuhisi ni kama tuko likizo vile.....hehehe
Awamu hii !!Je kama haya yanatokea, ni nini viongozi wetu wakuu wenye mamlaka wanapaswa wajifunze wanapotoa tamko/adhabu kama kutumbua au kumemea kiongozi aliye chini yake?
Mfano
1: Mwanri alimzimisha afisa Elimu baada ya kumtumbua
Majibu ya Mwanri baada ya mtu kuzimia - Kuzimia, yawezekana mtu amelala chini – is not an issue.
2: Jafo amzimisha mkurugezi baada ya kumpa muda mfupi ili kukamilisha mradi
Majibu ya Jafo - Eee bwana wee simama wewe.
Je ni wangapi walio pata shida walipo tumbuliwa na mkuu wanchi?
Je ni nini kifanyike ili kupunguza makali ya maneno kuepusha madhara zaidi?
ha ha watu wa pwani haoHaka kajamaa bhana kana maneno mengi tangu school.
Kiranja wangu wa chakula huyu
Awamu hii haitaki watu walegevu, mh Waziri chap kazi 'KILA MMOJA ABEBE MSALABA WAKE"
Mkuu heshma imerudi 2020 ni Magufuli tenaRais Magufuli amefanya kila Mtanzania ajivunie Nchi yake