Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii si ishara nzuri kwa future ya Waziri.
Ninayanena haya katika nguvu ya roho mtakatifu!
Mkuu heshma imerudi 2020 ni Magufuli tena
hamna utu kabisa inasikitisha kwakweli hata kama ndo huo uchapakazi. nimeona hii habari sehemu na kuna mtu alicomment anamfahamu huyo mkurugenzi kuwa ana kisukari.😟😟
Usimchukulie poa, huyu ni jirani yangu! Financially yuko vizuri sana!!! Mwaka 2016 alilipa fine ya 12b kama fine ya kukwepa kodi!FRANCIS DA DON,
Wacheni utani huyu bwana sidhani hata elfu tano alikuwa nayo mfukoni, kachoka mno, hizi kazi Bora tukapime matikiti tukauze barabarani Kama JPM alivyoshauri
Hata mi nilikuwa nahisi.Mkandarasi mlevi huyo!
Hapo kashagonga makonyagi hata kusimama hawezi!
Hila amfikii Mwanri,sijui hiyo wizara ingekuwa chini ya Mwanri ingekuwaje.Jafo kweli Mzaramo, Mzaramo anakusema mpaka unakufa.