Waziri Selemani Jafo ashauri kuanzishwa kwa wiki ya nyungu katika kupambana na Corona

Waziri Selemani Jafo ashauri kuanzishwa kwa wiki ya nyungu katika kupambana na Corona

Nasema na nassisitiza kauli yangu nchi kama nchi imeshakwama...
Kama hawa(akili hizi) ndizo tunazotegemea zituvushe kwenye janga hili.
Tumekwisha

Narudia Tena kama una ndugu zako jaribu kuwa balozi na waambien ukweli kwamba nchi ishakwama yan hakuna kitu hapo kabisa na uwape ushauri wa namna ya kukaa kitaalam haina mana we ubaki pekeako alafu ndugu zako wapukutike wote na TATIZO LA KUSHINDWA KUPUMUA 🤣🤣🤣🤣🤣


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
IMG_2020.JPG


NILIJUA TUU HUU UGONJWA UTAPEWA JINA JIPYA "TATIZO LA KUSHINDWA KUPUMUA " 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

WAKUU TUTAKUFA KAMA KUKU KAMA U MZIMA KUWA BALOZI WA NDUGU ZAKO BASI, Magu kakimbia, mama samia kakimbia na majaliwa yupo kwao huko 🤣🤣


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
View attachment 1435020
Katika harakati za kupambana na janga la virusi vya corona, Waziri Selemani Jafo amependekeza kuanzishwa kwa wiki ya nyungu kitaifa. Wiki hiyo itatimiza upigaji wa nyungu asubuhi, mchana ma usiku. Amewaasa watanzania kuto kebehi upigaji wa nyungu kwa kuuita kama uganga wa kienyeji na kusisitiza ulaji wa vyakula asili kama mapapi,ubuyu na kisamvu ambavyo vinaweza kuimarisha kinga ya mwili.

Fahamu zaidi kuhusu nyungu na faida zake
Majani ya Mvuje kiboko ya wachawi na majini, mfunge mwanao - JamiiForums
Kwa hiyo CCM wanataka kusema kuwa Mungu ameshindwa Sasa wanahamia kwa shetani, sivyo?
 
Narudia Tena kama una ndugu zako jaribu kuwa balozi na waambien ukweli kwamba nchi ishakwama yan hakuna kitu hapo kabisa na uwape ushauri wa namna ya kukaa kitaalam haina mana we ubaki pekeako alafu ndugu zako wapukutike wote na TATIZO LA KUSHINDWA KUPUMUA 🤣🤣🤣🤣🤣


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kama leo nimetembeza lecture kwa maza na faza hatari maaana wao ni kijani ilembaya.
Upuuzi kama huu wa Jafo wanweza kuutilia maanani.
 
Spain watakosa watalii mwaka huu

Yaani Utalii ndio kwisha tena kwa Ulaya mwaka huu, maana sasa ni summer ambapo walikuwa wanaingiza pato kubwa sana kwenye utalii
Mpaka waje kufungua mipaka ni September na summer itakuwa inaishia
Kweli mwaka huu ni mtihani kila mahali


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Yaani Utalii ndio kwisha tena kwa Ulaya mwaka huu, maana sasa ni summer ambapo walikuwa wanaingiza pato kubwa sana kwenye utalii
Mpaka waje kufungua mipaka ni September na summer itakuwa inaishia
Kweli mwaka huu ni mtihani kila mahali


Sent from my iPhone using Tapatalk
Bora uhai uwepo
 
Mungu wangu.. Kama huu ndio msimamo wa viongozi wetu... TUMEKWISHA

Jr[emoji769]
 
Kwani hapo mwanzo tanzania ilikuwa haiugui magonjwa jamii ya haya na watu walitumia njia za asili kutibiwa na walipona sasa cha ajabu kwa waziri Jafo ni nini..!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna ushahidi kuwa Corona inatibiwa kwa kujifukiza?Kwanini tusiiprove kisayansi kama inafanya kazi na ipitishwe na wizara ya afya?Ndassa kafa huku akiwa anajifukiza hotelini!
 
Kwani hapo mwanzo tanzania ilikuwa haiugui magonjwa jamii ya haya na watu walitumia njia za asili kutibiwa na walipona sasa cha ajabu kwa waziri Jafo ni nini..!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Virus gani ambayo Tanzania imewahi kuugua wakatumia hii njia wakapona,hivi unajua ugonjwa unaosababishwa na virus kweli au unaongea,ingekuwa bakteria sawa,usicheze na virus ambao kisayansi wana tabia ya kubadilika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waziri wa TAMISEMI Mh Seleman Jaffo amependekeza itengwe wiki maalumu ya kujifukiza maarufu kama kupiga Nyungu

Mh. Jaffo ameshauri wanaume ndio waongoze kwenye hilo zoezi la kupiga Nyungu

"Wanaume, wanawake na watoto wote tupige Nyungu huenda tukaokoa Taifa"

Kama Kuna wiki ya Wanawake,wiki Maleria Basi kuwe na Wiki ya kupiga Nyungu Kitaifa.

NB. inaonekana huu ndio msimamo wa serikali watu kujifukiza...

Angalia kuanzia dakika ya 18

 
Back
Top Bottom