Waziri Selemani Jafo ashauri kuanzishwa kwa wiki ya nyungu katika kupambana na Corona

Waziri Selemani Jafo ashauri kuanzishwa kwa wiki ya nyungu katika kupambana na Corona

Mkuu, huu ni ubashirii au ndivyo ilivyo?

Thibitisha mkuu
Maiti zingekuwa zinasema basi Ndassa angetoa ushuhuda muhimu sana. Laiti angemsikiliza Ndugulile basi muda huu angekuwa ameshapiga supu yake ya mbuzi asubuhi hii tayari kwa kuingia mjengoni ila ndo hivyo leo anazikwa.
 
Nimeguundua hili swala la kujifukiza ni mpango na tusishangae kuona masufuria hospitali na wagonjwa kuanza kufukizwa
 
Toka kumuomba Mung had kujifukiza nyungu, mbona watanzania tunamtania Mungu hivyo?
 
Mkuu, Jana nilimsikiliza Mtalamu wa tiba asili simkumbuki vizuri jina Ila alikuwa na mahojiano maalumu na starTv tarifa ya saa mbili usiku

Alishauri hivi, usijifukize ikiwa joto la mwili litakuwa limepanda Sana, kufanya hivyo ni kujiuwa huku unajiona

Na pengine kama ni kweli kuhusu mbunge, labda alitumia joto la mwili wake likiwa liko ktk kiwango cha hatari
Maiti zingekuwa zinasema basi Ndassa angetoa ushuhuda muhimu sana. Laiti angemsikiliza Ndugulile basi muda huu angekuwa ameshapiga supu yake ya mbuzi asubuhi hii tayari kwa kuingia mjengoni ila ndo hivyo leo anazikwa.
 
Waziri wa TAMISEMI Mh Seleman Jaffo amependekeza itengwe wiki maalumu ya kujifukiza maarufu kama kupiga Nyungu

Mh. Jaffo ameshauri wanaume ndio waongoze kwenye hilo zoezi la kupiga Nyungu

"Wanaume, wanawake na watoto wote tupige Nyungu huenda tukaokoa Taifa"

Kama Kuna wiki ya Wanawake,wiki Maleria Basi kuwe na Wiki ya kupiga Nyungu Kitaifa.

NB. inaonekana huu ndio msimamo wa serikali watu kujifukiza...

Angalia kuanzia dakika ya 18


Ushauri wa Mkemia umefanya kazi kweri kweri.
 
CCM haya tafuteni siku mjifukize,
iiteni CCM mfukizo day!!
 
Anayejua mahitaji yanayotakiwa wakati wa kuandaa nyungu, msaada tafadhali.
Majani yoyote unayohisi ni dawa, Muarobaini,mlingoti,mpera, mchaichai nk. Piga mix ya maana humo
download.jpg
 
Jafo ni Mzaramo kwa hiyo haishangazi kwa hayo aliyoyasema. Mzaramo na mambo ya uganga ni kama chupa na kizibo
 
Na yule wa upupu na pili pili kichaa msisahau kumtengea siku.
 
Back
Top Bottom