Waziri Selemani Jafo ashauri kuanzishwa kwa wiki ya nyungu katika kupambana na Corona

Waziri Selemani Jafo ashauri kuanzishwa kwa wiki ya nyungu katika kupambana na Corona

Yani mkuu wewe unachoongea na mambo uliyosoma tofauti na uhalisia ukisha aminisha na waupe kwamba virus si rahisi kutibika ukaamini hivyo hivyo kwani virus havikuwepo mwanzo biblia imecombain magonjwa kama haya kwa jina la "Tauni" sasa kama uonavyo tayari magonjwa kama haya yashakuwepo kabla mapya chini ya dunia ni machache..
Virus gani ambayo Tanzania imewahi kuugua wakatumia hii njia wakapona,hivi unajua ugonjwa unaosababishwa na virus kweli au unaongea,ingekuwa bakteria sawa,usicheze na virus ambao kisayansi wana tabia ya kubadilika

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona kuna dawa za kutibu maralia lakini ilihali malaria bado inaua..!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu hufa kutokana na kuchelewa kupata tiba mpaka ugonjwa unakuwa irreversible!Ila most cases wanapona na imekuwa scientifically proved kuwa wadudu huuwawa kwa kutumia dawa hizo!Ndio maana nami nataka tufanye utafiti wa kujifukiza na iwe rasmi na sio suala la kubahatisha!
 
Mkuu kwani waliokufa na wanao ambukizwa hawatumii huo ushsuri
mkuu hii kitu tunalichukulia easy easy sana lakini ni sawa unaweza kujifukiza endepo tu virus bado havijaingia ndan ya mwil yan vikiwa nje lakn vikiingia ndani ya pua mdomo Ata ujifukize pipa Zima unafanya patapotea
 
Me ndio kila siku napiga lecture sababu we jiulize yan dunia nzima wanapambana na corona tanzania wao wanaugonjwa wao mpya wa tatizo la kushindwa kupumua, kila siku nawaambia wazazi na nawaaambia ukweli sababu bila hivyo ni itakuwa shida


Sent from my iPhone using JamiiForums
Ni hatari..
Tuisaidie jamii yetu
 
1588243506613.png
fukiza ukimaliza kunywa hii mkitu maralia, tonsil, utaona kabisa, hata ukiumwa na nyuki wekaa wikiya vikombe ndio inakuja kuweka miil sawa
 
black sniper,
Bleach (chlorine) imemwagwa kwa ajili ya kuua virus na wananchi kulalamika ni kawaida hata USA hawataki kufungiwa japokuwa wanapewa pesa za kukidhi mahitaji kwa wasiojiweza.

Mkuu kuuwa virus sawa ila tatizo hizo tractors zilizopita kumwaga dawa zimevunja mayai ya ndege na pia kuna viimbe wengine wametaga mayai mengi sana yamevunjiliwa mbali
Pia ni sumu ambayo inauwa viumbe
Hayo ni kutokana na habari zao huko

Ila manisipaa imeomba msamaha kwa kosa walilolifanya




Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Back
Top Bottom