Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inashangaza sanaHawa ndiyo wasomi tulio nao! Hakuna ushahidi wa kisayansi kuwa kujifukizia ni tiba ya Coronavirus bali kuna ushahidi wa kisayansi kuwa kujifukizia kunaua mapafu. Taifa ambalo haliwekezi katika tafiti, sayansi na technolojia ni Taifa mfu
Hii serikali ni washirikina kabisa. Hakuna tena ubishi
Wamemdanganya Ndasa masikini badala ya kuwahi hospital yeye kakomaa kujifukiza. Matokeo yake mnayajua
Huyo ni Mjinga Mwingine kama Jiwe ..sasa hivi mambukizi USA ni zaidi ya 1 million..USA taifa kubwa mnakowasabikia, walipendekeza watu wanywe klorokwin
Kwa kupotosha ujambo. Ni trump ndio alisema.. lakin wataalam wao walikataa. Ni hoax tu na hwakuitumia hiyo dawa sababu mamlaka husika walikataa.USA taifa kubwa mnakowasabikia, walipendekeza watu wanywe klorokwin
Taja mmoja aliyeenda Loliondo?Kwa Watanzania tunaweza kufanya lolote lile litakalo tupa imani ya kuishi maisha marefu. Hata kama ni la uongo au kufikirika.
Mbona watanzania kibao tu na wengine picha zao zipo humu mpaka leo, walienda mpaka Loliondo kunywa kikombe cha babu miaka ile huku wakiwa hata hawajui wanaumwa nini.
Una uhakika na unachoandika?Kwa kupotosha ujambo. Ni trump ndio alisema.. lakin wataalam wao walikataa. Ni hoax tu na hwakuitumia hiyo dawa sababu mamlaka husika walikataa.
( kwa mfumo wa utawala wao.. mamkaka za kiserikal zinaweza kumgomea rais kwenye jambo fulani.)
Lakin wanalifanyia uchunguzi hilo suala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Taja mmoja aliyeenda Loliondo?
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE
Hata Waziri wa Ujenzi wa wakati huo wa nchi ya Puerto Rico, ni mmoja wao. Na kuna picha yake ya ushahidi ipo humu kitambo tu.
Siku mkiona akina Pompeo wameshuka kuja kuchukua nyungu sijui mtasemaje!?Afrika tunawekeza kwenye nyungu![emoji2211][emoji2211][emoji2211] Taifa ambalo haliwekezi kwenye tafiti, sayansi na technologia ni Taifa mfu