Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna Jimbo Lililo Wazi
Kumuengua Musukuma mwenye pesa sio rahisi kihivyo.Huyo Peneza ataishia kwenye viti maalumu..Dr.Stergomena Tax jimbo la Magu.
..Upendo Peneza jimbo la Geita vijijini.
..Joseph Musukuma anakwenda kuenguliwa.
..
Magu yupo Nani Kwa sasa..Dr.Stergomena Tax jimbo la Magu.
..Upendo Peneza jimbo la Geita vijijini.
..Joseph Musukuma anakwenda kuenguliwa.
..
Kumuengua Musukuma mwenye pesa sio rahisi kihivyo.Huyo Peneza ataishia kwenye viti maalumu
mkatolikiKwani yeye ni dhehebu gani?
amAsili yake ni MaguKwan huyu mama asili yake kabisa ni wapiii? Natamani sana kujua.
Baba yake ni mgiriki alikuwa anaishi kirumba Mwanza..Baba Mgiriki wa Mwanza, Mama Msukuma.
Kuna jamaa anaitwa Kiswaga, kasimika mizizi kumng'oa labda kwa gredaMagu yupo Nani Kwa sasa
Hii nayo ni habari?
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax, tarehe 31 Machi, 2024 ameungana pamoja na waumini wa Dini ya Kikristu katika ibada ya kusherekea Sikukuu ya Pasaka katika Kigango cha Shishani kilichopo Parokia ya Mtakatifu Kizito Kabila, Magu, chini ya Jimbo Kuu la Mwanza.
Akitoa salamu za Pasaka Parokiani hapo Waziri Dkt. Tax ameshukuru kupata wasaa wa kujumuika na Waumini katika Sikukuu hiyo muhimu kwa Wakristu duniani kote kukumbuka ufufuo wa Yesu Kristu.
Waziri Stergomena amechukua fursa hiyo kumshukuru Mungu kwa baraka anazoendelea kulipatia taifa letu ikiwa ni pamoja na mshikamano, amani na maendeleo katika sekta mbalimbali za kijamii na kiuchumi.
Aidha, ametoa rai kwa waumini wa Parokia ya Mtakatifu Kizito kuendelea kuiombea Tanzania pamoja na Serikali inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, pamoja na viongozi wanaomsaidia katika nafasi mbalimbali. Waziri Tax ameshiriki ameahidi kuendelea kuchangia kwenye ujenzi wa kanisa unaoendelea kila apatapo nafasi kuwa yeye ni sehemu ya Kata ya Shishani.
Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Kizito Kabila, Padri Andrea Buhembo, amemshukuru Waziri Stergomena Tax kwa moyo wa upendo na ukarimu aliounyesha wa kujiwekea utaratibu wa kukumbuka kwao katika hali zote amekuwa akishiriki kwa namna moja ama nyingine katika shughuli za kijamii na kiimani.
Ili ikusaidie nini, mnawashwa na ukabilaKwan huyu mama asili yake kabisa ni wapiii? Natamani sana kujua.
Waziri wa ulinzi hanaga mambo mengi, mambo mengi wanafanya makamandaKwani bado ni waziri yupo kimya sana sijamsikia akisema tunamshukuru mama!
Mwanamke akiingia katika siasa huvuruga mambo mengi, mifano iko wazi, hata Bona, mumewe alikesha akimtafutia kura, akatumia na mali zake, akaishia kukamata live pale DodomaKwanini huyu mama aliachana na jina la Bamwenda?
Hawezi kumshukuru amiri jeshi mkuu kwa kulinda mipaka na kutupatia chai watanzania wote!Waziri wa ulinzi hanaga mambo mengi, mambo mengi wanafanya makamanda
Sasa mtoto mzuri kama Stregomena Tax anagombea maubunge ya nini? Miaka yote aliofanya kazi ajapiga hela za kutosha tu kujiwekeza? au anatafta kufa tu kifo cha ajabu ajabu.Eminza......kuna mpambano mkubwa unakuja hapo Magu dhidi ya mbunge wa sasa, nadhani pia unga wa miti utatumika sana, Tax awe makini tu asipigwe na locally made rocket propelled grenades, maana Magu miksa bariadi si haba, Japo Tax ni mtoto pendwa wa dola
Mwanamke ukimpa power ya kiuchumi tayari umemkosa. Wachache sana wanaweza himili kupata fedha nyingi kwa ghaflaMwanamke akiingia katika siasa huvuruga mambo mengi, mifano iko wazi, hata Bona, mumewe alikesha akimtafutia kura, akatumia na mali zake, akaishia kukamata live pale Dodoma
Mkuu, unauliza asili yake, unataka mwende mkatambike?Kwan huyu mama asili yake kabisa ni wapiii? Natamani sana kujua.
Msukuma na Bakawenshoni wapi na wapi?Kwanini huyu mama aliachana na jina la Bamwenda?