Waziri Uingereza atimuliwa kazi kwa tuhuma za ushoga!!!

Waziri Uingereza atimuliwa kazi kwa tuhuma za ushoga!!!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
1665214270153.png

Conor Burns, kushoto, akiwa na Boris Johnson aliyekuwa Waziri Mkuu Uingereza.

Waziri wa Biashara, Conor Burns wa Uingereza ambaye vile vile nalikuwa Chief Whip wa chama chake cha Conservatives, katimuliwa kazi.

Kisa na mkasa inaelekea alianza kumtongoza mwanaume mwenziwe akiwa amelewa katika bar , jioni moja wakati wa kikao cha mwaka cha chama cha Conservatives, huko Birmingham.

Tetesi zimeanza kujitokeza sasa kuwa Conor Burns vile vile kumbe aliwahi kuwa mlezi wa mashoga ndani ya chama cha Conservatives(LGBT+ Conservatives).

Hao sasa ndo viongozi wa Uingereza, ppttuufff...........!

 
Inawezekana hilo, hivyo visa nimevisikia sanq, wafiraj wana jichimbia kaburi wenyewe
Kuna mwana aliwahi kupewa lift na huyo jamaa,huyo mwana anafahamiana na huyo jamaa Maana nae alikua na kaofisi kake kadogo pembeni ya maduka ya huyo punga.

Alipopewa lift(ilikua usiku) njiani jomba likaanza kupapasa machine ya mchizi mwana anasema alifanikiwa kuchomoka Salama(Sasa Kama aliipiga au la sijui) lkn naamini alichomoka Salama Maana huyo punga alikua hataki kabisa kumuona msela/anamkwepa kwepa.
 
hawa watu mbona hawaeleweki
wao si wanaupigia chapuo ushoga mpaka kwenye kwenye vilabu vyao vya mpira waziri wanamfukuza kwann sasa
 
Kuna mwana aliwahi kupewa lift na huyo jamaa,huyo mwana anafahamiana na huyo jamaa Maana nae alikua na kaofisi kake kadogo pembeni ya maduka ya huyo punga.

Alipopewa lift(ilikua usiku) njiani jomba likaanza kupapasa machine ya mchizi mwana anasema alifanikiwa kuchomoka Salama(Sasa Kama aliipiga au la sijui) lkn naamini alichomoka Salama Maana huyo punga alikua hataki kabisa kumuona msela/anamkwepa kwepa.
Nakumbuka 2013 hapa hapa JF, kuna mtu kanifata PM kajieleza in positive way, aliniambia ni afisa TRA piga piga stor tukawa kama washakaji, siku kaniomba tuonane..

Kaniambia tukutane magomeni pale kwenye ile hotel ipo road ( ya ghorofa) jina limetoka, ulikuwa msimu wa ligi ya uingeleza.

Nikasema powa naenda pale ananiambia nipo room najiandaa andaa nishuke kama hutojali panda juu, ( 2013 - ushoga haikuwa sanaaa) mie kujiamini nikapanda, namkuta jamaa ana midevu kajaa 😁😁 kipande cha mtu kama Rick Ross ( moyoni nikasema kama mtu mmbaya ndio nimeisha leo) kavaa kataulo.

Kanikaribisha story hapa na hapa, jamaa naona anatoa mafuta na condom ana tune on channel ya ngono 🤣🤣🤣 ( moyoni nikasema ohooo jamaa anataka nini nikakaa kwa hesabu za kujihami) akaweka kitandani akajieleza ( alinipa short story).. Anataka nimfire atanipa hela yoyote, mshikaji alikuwa yuko powa alikuwa anaishi upanga na anafamilia yake, kipindi hicho na mie nimeajiriwa hela hadi mwisho wa mwezi.. Nikasema ebu tusubiri kwanza nione kama naweza, huku natetemeka.

Badae likaja anza shika pipe, linaniambia mbona unatetemeka ( jitu linatisha kwanza) jamaa alivyo ona naogopa sana, akaniomba iwe siri yangu na yake, akaniruhusu kuondoka akanipa na hela.. nilipotoka nilibadirisha line ya simu, change id yangu ya jf. hela yake aliyonia kama ilikuwa na baraa tupu ilienda yote kuishia meridian pale kinondoni 🤣🤣🤣🤣.. Tokea hapo JF nina ishi kwa machale sana
 
Back
Top Bottom