National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Itavyokuwa ila siingii palipo ingiliwa 😃😃😃Hajawahi guswa ila anataka akupe au hio pisi utaishawishi wewe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itavyokuwa ila siingii palipo ingiliwa 😃😃😃Hajawahi guswa ila anataka akupe au hio pisi utaishawishi wewe?
Halafu mtafute na yule wa laki 2.5[emoji2][emoji2][emoji2] Ila mwaka huu nitajaribu kwa pisi moja kali ambayo haijawai guswa nione kama inanoga au vipi..
Mm nilichoelewa hapo wewe ndio umeliwa, au nasema uongo ndugu zangu?Nakumbuka 2013 hapa hapa JF, kuna mtu kanifata PM kajieleza in positive way, aliniambia ni afisa TRA piga piga stor tukawa kama washakaji, siku kaniomba tuonane..
Kaniambia tukutane magomeni pale kwenye ile hotel ipo road ( ya ghorofa) jina limetoka, ulikuwa msimu wa ligi ya uingeleza.
Nikasema powa naenda pale ananiambia nipo room najiandaa andaa nishuke kama hutojali panda juu, ( 2013 - ushoga haikuwa sanaaa) mie kujiamini nikapanda, namkuta jamaa ana midevu kajaa [emoji16][emoji16] kipande cha mtu kama Rick Ross ( moyoni nikasema kama mtu mmbaya ndio nimeisha leo) kavaa kataulo.
Kanikaribisha story hapa na hapa, jamaa naona anatoa mafuta na condom ana tune on channel ya ngono [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ( moyoni nikasema ohooo jamaa anataka nini nikakaa kwa hesabu za kujihami) akaweka kitandani akajieleza ( alinipa short story).. Anataka nimfire atanipa hela yoyote, mshikaji alikuwa yuko powa alikuwa anaishi upanga na anafamilia yake, kipindi hicho na mie nimeajiriwa hela hadi mwisho wa mwezi.. Nikasema ebu tusubiri kwanza nione kama naweza, huku natetemeka.
Badae likaja anza shika pipe, linaniambia mbona unatetemeka ( jitu linatisha kwanza) jamaa alivyo ona naogopa sana, akaniomba iwe siri yangu na yake, akaniruhusu kuondoka akanipa na hela.. nilipotoka nilibadirisha line ya simu, change id yangu ya jf. hela yake aliyonia kama ilikuwa na baraa tupu ilienda yote kuishia meridian pale kinondoni [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].. Tokea hapo JF nina ishi kwa machale sana
Sio mbunge tena, 2020 alipigwa chini kura za maoni.Tuanze na yule wa tabora anayeweka dau la 1.5M kufi*wa
Dah aibuuWatajwe tu!
Mashoga ni Kama wauza madawa ya kulevya, ni wale watu ambao wewe huwezi kuwadhania. Wakitajwa utaona kama wameonewa. Wanajulikana vizuri tuWatajwe tu!
Sio TanzaniaMbona bongo kuna wabunge na mawaziri wengi mashoga?
Aione mzabzab for more consultation.😃😃😃 Ila mwaka huu nitajaribu kwa pisi moja kali ambayo haijawai guswa nione kama inanoga au vipi..
Mbona tunakuwa waoga pamoja na fake ID, watz kunguru sanaTuanze na yule wa tabora anayeweka dau la 1.5M kufi*wa
So sad aisee, nadhani hao watu wa dizaini hio wako wengi sana aisee,kama huyu jamaa mwenye maduka ninaekwambia na yeye ana familia kabisa na mkewe hua anauza Kwny hayo maduka yao, lkn yule maza hanaga furaha kabisa pamoja na mandinga na majumba yote wanayomiliki.Nakumbuka 2013 hapa hapa JF, kuna mtu kanifata PM kajieleza in positive way, aliniambia ni afisa TRA piga piga stor tukawa kama washakaji, siku kaniomba tuonane..
Kaniambia tukutane magomeni pale kwenye ile hotel ipo road ( ya ghorofa) jina limetoka, ulikuwa msimu wa ligi ya uingeleza.
Nikasema powa naenda pale ananiambia nipo room najiandaa andaa nishuke kama hutojali panda juu, ( 2013 - ushoga haikuwa sanaaa) mie kujiamini nikapanda, namkuta jamaa ana midevu kajaa 😁😁 kipande cha mtu kama Rick Ross ( moyoni nikasema kama mtu mmbaya ndio nimeisha leo) kavaa kataulo.
Kanikaribisha story hapa na hapa, jamaa naona anatoa mafuta na condom ana tune on channel ya ngono 🤣🤣🤣 ( moyoni nikasema ohooo jamaa anataka nini nikakaa kwa hesabu za kujihami) akaweka kitandani akajieleza ( alinipa short story).. Anataka nimfire atanipa hela yoyote, mshikaji alikuwa yuko powa alikuwa anaishi upanga na anafamilia yake, kipindi hicho na mie nimeajiriwa hela hadi mwisho wa mwezi.. Nikasema ebu tusubiri kwanza nione kama naweza, huku natetemeka.
Badae likaja anza shika pipe, linaniambia mbona unatetemeka ( jitu linatisha kwanza) jamaa alivyo ona naogopa sana, akaniomba iwe siri yangu na yake, akaniruhusu kuondoka akanipa na hela.. nilipotoka nilibadirisha line ya simu, change id yangu ya jf. hela yake aliyonia kama ilikuwa na baraa tupu ilienda yote kuishia meridian pale kinondoni 🤣🤣🤣🤣.. Tokea hapo JF nina ishi kwa machale sana
Nishakumbia huna akili mbuzi wa wewe.. Toka lini asie na akili akaelewa jambo,Mm nilichoelewa hapo wewe ndio umeliwa, au nasema uongo ndugu zangu?
Kuna imani pia za kishirikina sana kwa haya mambo kuna wengine walipigwa kipapai wakaanza gawa ndogo wengine wanataka utajiri wanatoa ndoa. Hatari sanaSo sad aisee, nadhani hao watu wa dizaini hio wako wengi sana aisee,kama huyu jamaa mwenye maduka ninaekwambia na yeye ana familia kabisa na mkewe hua anauza Kwny hayo maduka yao, lkn yule maza hanaga furaha kabisa pamoja na mandinga na majumba yote wanayomiliki.
Naona kwa Arusha na Kilimanjaro,vijana wadogo wadogo wa kiume wanapigwa sana pumbuh kwa kutaka urahisi wa Maisha,na kwa watu wazima wengi Ni kwasababu za masharti ya waganga(kibiashara).Kuna imani pia za kishirikina sana kwa haya mambo kuna wengine walipigwa kipapai wakaanza gawa ndogo wengine wanataka utajiri wanatoa ndoa. Hatari sana
Hatimaye umekuja kukiri umefukuliwa tope.Nishakumbia huna akili mbuzi wa wewe.. Toka lini asie na akili akaelewa jambo,
Ebu shusha hiyo storyNa ni hatari sana. Jamaa nilibaki namsikitikia sana baada ya kutoka pale hasa alinipa story yake kwa ufupi.
Una viashiria vyote vya kuwa wewe ndio mmbuge wa ccm wa jimbo flani anae toa 1.5 mill ili afukuliwe, maana unapenda sana hayo mamboHatimaye umekuja kukiri umefukuliwa tope.
najiulizaga kama mtu yupo timamu , ushoga wake unampunguzia nn kweny ufanis wa kuiongoza jamii ?Wenye kuelewa tuliona hatari kuu kwa dunia baada ya kuona mashoga wanashika madaraka ya kisiasa nchi za magharibi. Mabasha na wasenge wako kwa wingi wakiongoza serikali za nchi za magharibi.
ukiwa na akili fupi ngumu kuwaelewq wenye akili kubwwhawa watu mbona hawaeleweki
wao si wanaupigia chapuo ushoga mpaka kwenye kwenye vilabu vyao vya mpira waziri wanamfukuza kwann sasa
Ila hivi vitu ni vigumu sana kuepuka bruh hasa kwa teens mpaka waje kupata uelewa mtu kashapata madhara ndio maana nchi nyingine kwa kujua hivi wanazuia tu hakuna kuonekana moja kwa moja na wana mitandao yaoWanaeleweka sana tu, tatizo mnashindwa kuelewa lengo lao kuu ni kuiharibu Africa tusizaliane sana pia miongoni mwao ni mawakala wa shetani kuendeleza inshu zilizokatazwa na Mungu.
Pornography (video za X na picha za uchi ), muvi, tamthilia, mitandao ya simu kama Telegram, Instagram Facebook, Badoo, WhatsApp n.k hutumika vibaya sana kuchochea vijana wengi washawishike kutamani kufanya ufiraji/ufirwaji, usagaji, kujichua, kujamiiana kupitia dildos au Ke kujitomba kwa uume bandia.
Kijana mwenye hekima hatakiwi kabisa kuwa limbukeni wa hiyo mitandao la sivyo awe na nidhamu kubwa sana kutohemukwa na huo upumbavu napo ni vigumu sana.
Nina miaka 9 hadi sasa hivi natumia JF, Goal.Com, WhatsApp, Konde TV(football games) Google, YouTube na namshukuru sana Mungu nina mipaka ya matumizi nayo kwa vitu muhimu sana na sina Rafiki mzuri yeyote muhimu zaidi ya Mke wangu pekee.
Si kila kitu ni cha kuiga hapa duniani, ni heri upitwe na vingine uonekane mshamba kwa faida ya maisha yako we mwenyewe na familia yako ya sasa na baadaye.
KUPANGA NI KUCHAGUA NA MAISHA NI WEWE MWENYEWE.