Waziri Uingereza atimuliwa kazi kwa tuhuma za ushoga!!!

Waziri Uingereza atimuliwa kazi kwa tuhuma za ushoga!!!

January Makamba
Mkuu kuwa makini, humu hatujajificha kiasi unachofikiri,
Bora ungetaja kwa code, umetaja jina kamili, huyo jamaa ni mmoja wa mahacker hatari, unaweza kukutana nae bila kutarajia, au ukajikuta Kisutu,
Sikutishi mkuu, lakini usijiamini kupitiliza utakuja kulia kwa vitu vidogo.

HAO NDIO WENYENCHI KWA SASA
 
kwa sababu alikuwa anaosha miguu saloon, na kusugua kucha au kuna lingine??? lkn Mtangamuhaya yule mjue ooohhh!
Kuweni makini guys af Mtanagamuhaya kivip? Hakuna muhaya Kwanza wahaya na ushoga wap na wap Wahaya mwanamke aliezaa Tu nyumbani huwez kumtambulisha wazee hawampokei kama mkwe wao ndo umpeleke mwanaume mwenzako??
 
Mkuu kuwa makini, humu hatujajificha kiasi unachofikiri,
Bora ungetaja kwa code, umetaja jina kamili, huyo jamaa ni mmoja wa mahacker hatari, unaweza kukutana nae bila kutarajia, au ukajikuta Kisutu,
Sikutishi mkuu, lakini usijiamini kupitiliza utakuja kulia kwa vitu vidogo.

HAO NDIO WENYENCHI KWA SASA
Amini mwanangu hao watu ni wakubwa aisee humu tunazungumza Tu ila tupo vulnerable Sana unaweza ukapotezwa af Kwa nin tutaje majina ya watu Aaah Jaman ni risky sana
 
Chama. Ni conservatives.

Wahafidhina hao

They believe in nature in all ways
 
Mkuu kuwa makini, humu hatujajificha kiasi unachofikiri,
Bora ungetaja kwa code, umetaja jina kamili, huyo jamaa ni mmoja wa mahacker hatari, unaweza kukutana nae bila kutarajia, au ukajikuta Kisutu,
Sikutishi mkuu, lakini usijiamini kupitiliza utakuja kulia kwa vitu vidogo.

HAO NDIO WENYENCHI KWA SASA
January Makamba ni kilaza tu therefore stop threatening that guy.
 
So sad aisee, nadhani hao watu wa dizaini hio wako wengi sana aisee,kama huyu jamaa mwenye maduka ninaekwambia na yeye ana familia kabisa na mkewe hua anauza Kwny hayo maduka yao, lkn yule maza hanaga furaha kabisa pamoja na mandinga na majumba yote wanayomiliki.
Mkuu kama hautojali nipe connection kwa huyo maza asiye na furaha
 
Tatizo la huyo jamaa siyo kuwa shoga, mwanzisha thread kashindwa kuelezea. Tatizo ni namna anavyo-approach wenzake. Ni kama unavyosikia mwanaume kafukuzwa kazi kwa sababu ya kuwasumbua kina mama. BTW watanzania wengi hawajui hata kuwa ''basha'' ni ushoga. Wao wanadhani kile kitendo cha kuwa ''bwabwa'' au ''choko'' tu ndiyo ushoga.
Yeah...kwangu mimi hata kufira demu ni ushoga
 
huyo jamaa ni mmoja wa mahacker hatari, unaweza kukutana nae bila kutarajia, au ukajikuta Kisutu,
Sikutishi mkuu, lakini usijiamini kupitiliza utakuja kulia kwa vitu vidogo.
Duuu!! amekuwa hivo siku hizi???.......basi wata mulilia Jiwe wao tu, aje kuwaokoa, make yule ndo kiboko yake, mpaka aliomba msamaha! live!! uongo??...alishikwa utamuu anamteta jamaa! akawa mdogooo km priton,

unasema nikuwekee Kilipuu!...atakuja jiwe mwingine mutaona maajabu
 
najiulizaga kama mtu yupo timamu , ushoga wake unampunguzia nn kweny ufanis wa kuiongoza jamii ?
Mtazamo wa jamii ni kwamba Hana maadili, na hivyo haiwezekani asiye na maadili aongoze jamii kwa ufanisi, kama amekubali kuwa shoga. Kesho atakubali ufisadi, au usagaji. Your values and attitutes matter so much in anything you do!
 
Mkuu kuwa makini, humu hatujajificha kiasi unachofikiri,
Bora ungetaja kwa code, umetaja jina kamili, huyo jamaa ni mmoja wa mahacker hatari, unaweza kukutana nae bila kutarajia, au ukajikuta Kisutu,
Sikutishi mkuu, lakini usijiamini kupitiliza utakuja kulia kwa vitu vidogo.

HAO NDIO WENYENCHI KWA SASA
Ah wapi pumbavu zake January Makamba.

Aje anikamate.
 
Back
Top Bottom