Mwanamwaiche
JF-Expert Member
- Apr 13, 2022
- 665
- 968
Ukweli au majungu tu!! Taja hata Kwa codeIkiwekwa orodha utalia machozi bwashee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli au majungu tu!! Taja hata Kwa codeIkiwekwa orodha utalia machozi bwashee
HayaUkweli au majungu tu!! Taja hata Kwa code
Uliingia Bondeni Hotel au Travertine hotel ? Alikupa sh.ngapi kibaharia?Nakumbuka 2013 hapa hapa JF, kuna mtu kanifata PM kajieleza in positive way, aliniambia ni afisa TRA piga piga stor tukawa kama washakaji, siku kaniomba tuonane..
Kaniambia tukutane magomeni pale kwenye ile hotel ipo road ( ya ghorofa) jina limetoka, ulikuwa msimu wa ligi ya uingeleza.
Nikasema powa naenda pale ananiambia nipo room najiandaa andaa nishuke kama hutojali panda juu, ( 2013 - ushoga haikuwa sanaaa) mie kujiamini nikapanda, namkuta jamaa ana midevu kajaa 😁😁 kipande cha mtu kama Rick Ross ( moyoni nikasema kama mtu mmbaya ndio nimeisha leo) kavaa kataulo.
Kanikaribisha story hapa na hapa, jamaa naona anatoa mafuta na condom ana tune on channel ya ngono 🤣🤣🤣 ( moyoni nikasema ohooo jamaa anataka nini nikakaa kwa hesabu za kujihami) akaweka kitandani akajieleza ( alinipa short story).. Anataka nimfire atanipa hela yoyote, mshikaji alikuwa yuko powa alikuwa anaishi upanga na anafamilia yake, kipindi hicho na mie nimeajiriwa hela hadi mwisho wa mwezi.. Nikasema ebu tusubiri kwanza nione kama naweza, huku natetemeka.
Badae likaja anza shika pipe, linaniambia mbona unatetemeka ( jitu linatisha kwanza) jamaa alivyo ona naogopa sana, akaniomba iwe siri yangu na yake, akaniruhusu kuondoka akanipa na hela.. nilipotoka nilibadirisha line ya simu, change id yangu ya jf. hela yake aliyonia kama ilikuwa na baraa tupu ilienda yote kuishia meridian pale kinondoni 🤣🤣🤣🤣.. Tokea hapo JF nina ishi kwa machale sana
Wanaeleweka sana tu, tatizo mnashindwa kuelewa lengo lao kuu ni kuiharibu Africa tusizaliane sana pia miongoni mwao ni mawakala wa shetani kuendeleza inshu zilizokatazwa na Mungu.hawa watu mbona hawaeleweki
wao si wanaupigia chapuo ushoga mpaka kwenye kwenye vilabu vyao vya mpira waziri wanamfukuza kwann sasa
Bondeni hotel hiyo, jina limekuja. Alinipa laki mbili na nusu mzee. Nilipotoka likaniambia siku ingine litaniita ila niache uoga, au nitumie kilaji. Maana nililimbia mie situmii kilevi aina yoyoteUliingia Bondeni Hotel au Travertine hotel ? Alikupa sh.ngapi kibaharia?
Hakuna utetezi wowote kwa kosa lolote kwa kigezo cha kunywa pombe na kulewa, soma vizuri sheria ili uongeze maarifa.No...nadhani mleta mada hujaelewa unalolizungumza...ni kwamba alipolewa alijaribu kumtongoza mwanaume mwenzake....
Hapo kuna starting point "POMBE"
huo u lesbian umemtafutia...
Unauacha mpunga kirahisi sasa hivi ungekuwa don mjini, acha uoga kamua shoo.Bondeni hotel hiyo, jina limekuja. Alinipa laki mbili na nusu mzee. Nilipotoka likaniambia siku ingine litaniita ila niache uoga, au nitumie kilaji. Maana nililimbia mie situmii kilevi aina yoyote
Mfiraji ni Mfirwajii wa badae ni swala la mda tuu 😀😀😀😀Unauacha mpunga kirahisi sasa hivi ungekuwa don mjini, acha uoga kamua shoo.
Hahahahaaa haipogo hivyo ni episode au chapters za fursa mfano fursa matekaMfiraji ni Mfirwajii wa badae ni swala la mda tuu 😀😀😀😀
Nahisi hiyo dhambi hata niweje siwezi itenda 😃😃😃😃 kuchokonoa choo kama natapisha nyaa siwezi
😁😁😁 Dah hiyo fursa ilinipita aisee, nimepata fursa ingine asahivi. Ila huwa na mazari sana hata mademu wanaotaka kunitunukia ndogo wengi sana, sijui nafail wapi tu..Hahahahaaa haipogo hivyo ni episode au chapters za fursa mfano fursa mateka
Hahahahaa sio poa kbsa unaacha fursa, sambaza upendo ikibidi fursa zizioze zikaenda Kwa wakongo😁😁😁 Dah hiyo fursa ilinipita aisee, nimepata fursa ingine asahivi. Ila huwa na mazari sana hata mademu wanaotaka kunitunukia ndogo wengi sana, sijui nafail wapi tu..
😃😃😃 Ila mwaka huu nitajaribu kwa pisi moja kali ambayo haijawai guswa nione kama inanoga au vipi..Hahahahaa sio poa kbsa unaacha fursa, sambaza upendo ikibidi fursa zizioze zikaenda Kwa wakongo
Daah haya mambo mazito SanaNakumbuka 2013 hapa hapa JF, kuna mtu kanifata PM kajieleza in positive way, aliniambia ni afisa TRA piga piga stor tukawa kama washakaji, siku kaniomba tuonane..
Kaniambia tukutane magomeni pale kwenye ile hotel ipo road ( ya ghorofa) jina limetoka, ulikuwa msimu wa ligi ya uingeleza.
Nikasema powa naenda pale ananiambia nipo room najiandaa andaa nishuke kama hutojali panda juu, ( 2013 - ushoga haikuwa sanaaa) mie kujiamini nikapanda, namkuta jamaa ana midevu kajaa 😁😁 kipande cha mtu kama Rick Ross ( moyoni nikasema kama mtu mmbaya ndio nimeisha leo) kavaa kataulo.
Kanikaribisha story hapa na hapa, jamaa naona anatoa mafuta na condom ana tune on channel ya ngono 🤣🤣🤣 ( moyoni nikasema ohooo jamaa anataka nini nikakaa kwa hesabu za kujihami) akaweka kitandani akajieleza ( alinipa short story).. Anataka nimfire atanipa hela yoyote, mshikaji alikuwa yuko powa alikuwa anaishi upanga na anafamilia yake, kipindi hicho na mie nimeajiriwa hela hadi mwisho wa mwezi.. Nikasema ebu tusubiri kwanza nione kama naweza, huku natetemeka.
Badae likaja anza shika pipe, linaniambia mbona unatetemeka ( jitu linatisha kwanza) jamaa alivyo ona naogopa sana, akaniomba iwe siri yangu na yake, akaniruhusu kuondoka akanipa na hela.. nilipotoka nilibadirisha line ya simu, change id yangu ya jf. hela yake aliyonia kama ilikuwa na baraa tupu ilienda yote kuishia meridian pale kinondoni 🤣🤣🤣🤣.. Tokea hapo JF nina ishi kwa machale sana
Na ni hatari sana. Jamaa nilibaki namsikitikia sana baada ya kutoka pale hasa alinipa story yake kwa ufupi.Daah haya mambo mazito Sana
Utetezi upo ila siyo bongo ndiyo maana umekaririHakuna utetezi wowote kwa kosa lolote kwa kigezo cha kunywa pombe na kulewa, soma vizuri sheria ili uongeze maarifa.
Vipi ikiwa Mtu flani alidhamiria kuua kisha akaenda kulewa ndipo akaua, napo utasingizia pombe?
Msalie mtumee....!!!Nakumbuka 2013 hapa hapa JF, kuna mtu kanifata PM kajieleza in positive way, aliniambia ni afisa TRA piga piga stor tukawa kama washakaji, siku kaniomba tuonane..
Kaniambia tukutane magomeni pale kwenye ile hotel ipo road ( ya ghorofa) jina limetoka, ulikuwa msimu wa ligi ya uingeleza.
Nikasema powa naenda pale ananiambia nipo room najiandaa andaa nishuke kama hutojali panda juu, ( 2013 - ushoga haikuwa sanaaa) mie kujiamini nikapanda, namkuta jamaa ana midevu kajaa 😁😁 kipande cha mtu kama Rick Ross ( moyoni nikasema kama mtu mmbaya ndio nimeisha leo) kavaa kataulo.
Kanikaribisha story hapa na hapa, jamaa naona anatoa mafuta na condom ana tune on channel ya ngono 🤣🤣🤣 ( moyoni nikasema ohooo jamaa anataka nini nikakaa kwa hesabu za kujihami) akaweka kitandani akajieleza ( alinipa short story).. Anataka nimfire atanipa hela yoyote, mshikaji alikuwa yuko powa alikuwa anaishi upanga na anafamilia yake, kipindi hicho na mie nimeajiriwa hela hadi mwisho wa mwezi.. Nikasema ebu tusubiri kwanza nione kama naweza, huku natetemeka.
Badae likaja anza shika pipe, linaniambia mbona unatetemeka ( jitu linatisha kwanza) jamaa alivyo ona naogopa sana, akaniomba iwe siri yangu na yake, akaniruhusu kuondoka akanipa na hela.. nilipotoka nilibadirisha line ya simu, change id yangu ya jf. hela yake aliyoniau kama ilikuwa na baraa tupu ilienda yote kuishia meridian pale kinondoni 🤣🤣🤣🤣.. Tokea hapo JF nina ishi kwa machale sana
Hajawahi guswa ila anataka akupe au hio pisi utaishawishi wewe?😃😃😃 Ila mwaka huu nitajaribu kwa pisi moja kali ambayo haijawai guswa nione kama inanoga au vipi..