Mleta mada Lord denning una matatizo Huyu mzee mbona kaeleweka hapo, kwa mtu yoyote ambaye hatumii kingereza mara kwa mara lazima Ata Pata shida ya kuwa sharp na choice of grammar, pronouncing pia hakuna cha ajabu hapo kaongea vizuri tuLugha ni kuongea mtu ueleweke basi
Waziri alichoongea mbona kinaeleweka vizuri tu hata mchina kaelewa
Clip hii hapa nini kisichoeleweka hapo?
View: https://youtu.be/HllqNd7sDIg?si=D2HBw2B2V1K8NlFQ
Na upumbafu unao kichwani! Lugha si kipimo cha utendaji wa kazi, hizi timu za mpira unakuta wapo wachezaji wa mataifa mbali mbali hawajui kingereza kocha anatumia kingereza na wanaelewanani mbunge wetu huku mkuranga siku alioteuliwa nikajuwa hii serikali kweli inatumia vigezo gani kupata mawaziri maana ulega ni kiraza haswa kwa nyazfa kubwa kama hio nilipata picha ya serikali nzima ilivyo kupitia yeye..!!
Hii Nchi itadhalilishwa hadi lini?
Home boy hakuna sababu ya kutumia hizi lugha za mataifa, lakini fanyia marekebisho hizi sentensi zako mbili.What is language?
Language is medium of communication?
When communication is said to be complete?
When the speaker and receiver understands each other
Did the Chinese Contractor understood the Minister's message?
Yes,
Then what is your problem Mr hypocrite (Lord denning )?!
My problem is no reforms no election.....!
Vipi Ndalichako?Huwez ukawa educated mpaka masters, tena kwa mitaala ya kingereza haalf hujui kingereza, else utakuwa kilaza