Msingida
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,239
- 11,731
Hawa ni pacha kabisa.Kwahiyo Ulega Anaungana Na Da Joi Ndalichako Kwenye Ung'eng'e Wa Kimtindo
Put You In
Kuna kiboko yao waziri wa afya Da Jenister
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa ni pacha kabisa.Kwahiyo Ulega Anaungana Na Da Joi Ndalichako Kwenye Ung'eng'e Wa Kimtindo
Put You In
Wewe ni msema ukweli sana! Bravo!Ben saanane alipomuhoji magufuri kuhusu PhD yake, akaamua ampoteze, yaani kiingereza Cha magu kilikuwa ni hovyoo
Kiingereza cha waziri cha hovyo namna hiyo? Wamenunua vyeti nini?Mbona ni kiingereza kizuri tu (kwa standard zetu).
Mleta mada acha Nongwa
hakuna mahali nimesema luga ndio kipimo cha utendaji kazi wake..!! alafu mpira na uwongozi na utendaji ni vitu tofauti kabisa kufaninishaNa upumbafu unao kichwani! Lugha si kipimo cha utendaji wa kazi, hizi timu za mpira unakuta wapo wachezaji wa mataifa mbali mbali hawajui kingereza kocha anatumia kingereza na wanaelewana
Kuelewa masomo kunahitaji kuweza kusoma na kusikia, shida ya wasomi wa Tanzania sio kushindwa kuelewa kiingereza wanachosoma na kusikia ila ni shida ni kuweza kuongea vizuri kiufasaha.Kwa mtu aliyesoma Tanzania na hawezi kuwasiliana vizuri kwa kiingereza maana yake hata masomo ya kuanzia sekondari hakuyaelewa vizuri, kwa hiyo hayupo intelligent. Hao wajapani elimu yao hawakusoma masomo kwa kiingereza, ila kiingereza kinaweza kuwa ni somo moja tu, tofauti na Tanzania
Wachina wenyewe hawajui Kiingereza... Angeongea Kiswahili tu!
Mwisho jamani nafasi za Uwaziri ni kubwa sana. Hawa ni watu wanao negotiate deals kwa faida ya nchi. Wanaosimama kwenye international platforms kuwakilisha nchi. Jamaniii tuteue watu wenye uwezo hata wa kuzungumza hizi lugha kubwa za kigeni kama kiingereza kwa ufasaha.
Poleni Tanzania. Ni aibu
Lakini sasa ndo utoke kapa kuanzia primary hadi chuo? Kweli? No wonders hawataki kwenda kusafiri kushiriki multilateral platforms!Kingereza ni lugha kama kisambaa,kwa hiyo mtu asipozungumza kwa ufasaha siyo tatizo ni kuendelea kujifunza mpaka atakuja kuongea moja kwa moja.
Mheshimiwa huyu angeweka juhudi kwenye kiingereza kama anavyoweka juhudi kupaka piko mvi zake, hakika aibu hii isingemkuta
Kwa aibu niliyojiskia leo baada ya kusikiza Kiingereza cha Waziri Ulega akizungumza na Wakandarasi Wachina wanaojenga barabara ya mwendokasi huko Mwenge leo nakuomba tu Msemaji wa Serikali zungumza na Waandishi wa habari na waombe tu wasirushe zilr clips za Waziri wetu akizungumza kiingereza.
Kwa kifupi tu Waziri wetu kaharibu mbaya. Ile clip ikienda viral ni aibu sana 😅. Kile kiingereza kitatuaibisha sana kama Taifa. Ni broken isiyovumilika.
Mwisho jamani nafasi za Uwaziri ni kubwa sana. Hawa ni watu wanao negotiate deals kwa faida ya nchi. Wanaosimama kwenye international platforms kuwakilisha nchi. Jamaniii tuteue watu wenye uwezo hata wa kuzungumza hizi lugha kubwa za kigeni kama kiingereza kwa ufasaha.
Poleni Tanzania. Ni aibu
Mifugo ilimtoa jasho, huko ujenzi sijui.Kuna watu ukiwaangalia tu usoni unajua nini kiko kichwani... Aliwahi kurekodiwa anaongea upuuzi, nashangaa leo ni waziri bado.
Mi sijui tutatibu vipi hili tatizo kwa kweli. Mwanafunzi wa mwaka wa tatu chuo anashindwa kuunganisha sentensi tatu za kiingerezaWala hilo sio jambo la kucheka. Kuna wakati huwa najiuliza, hivi wale watoto ambao huwa wanaongea kiingereza kizuri wakiwa shuleni huwa wanaishia wapi? Manake hata huku vyuo vikuu, unakuta mtu hawezi kupresent kwa saa moja akiongea kiingereza safi. Na mtu huyo huyo ukifuatilia records zake, ni moja ya wale waliokua cream of the nation enzi hizo. Ni kiingereza huwa kina vapor au ni nini?
Kiingereza siyo lugha yetu. Acha ushamba wako
Kwa aibu niliyojiskia leo baada ya kusikiza Kiingereza cha Waziri Ulega akizungumza na Wakandarasi Wachina wanaojenga barabara ya mwendokasi huko Mwenge leo nakuomba tu Msemaji wa Serikali zungumza na Waandishi wa habari na waombe tu wasirushe zilr clips za Waziri wetu akizungumza kiingereza.
Kwa kifupi tu Waziri wetu kaharibu mbaya. Ile clip ikienda viral ni aibu sana 😅. Kile kiingereza kitatuaibisha sana kama Taifa. Ni broken isiyovumilika.
Mwisho jamani nafasi za Uwaziri ni kubwa sana. Hawa ni watu wanao negotiate deals kwa faida ya nchi. Wanaosimama kwenye international platforms kuwakilisha nchi. Jamaniii tuteue watu wenye uwezo hata wa kuzungumza hizi lugha kubwa za kigeni kama kiingereza kwa ufasaha.
Poleni Tanzania. Ni aibu
Ni janga.Mi sijui tutatibu vipi hili tatizo kwa kweli. Mwanafunzi wa mwaka wa tatu chuo anashindwa kuunganisha sentensi tatu za kiingereza