Waziri Ummy Mwalimu: Maambukizi COVID-19 ya ndani kwa ndani yameanza, Watanzania wajiandae kwa maambukizi ya Jumuiya

Viongozi wenyewe mapopoma.mawazo kama hayo wataya toa wapi.
 
Na magufuri aache kujificha chato, aje dar asimame na wananchi kupambana na corona.
 
Sasa wewe umejuaje kuwa waliokufa ni wengine kama huna takwimu? Usilete unyumbu hapa! Pumbavu!
 
Kuna nzige wapya huko wanataka kuvamia East Africa,wana nguvu zaidi ya hawa wa sasa na wako wengi mno,miezi 9 wakiwa wanbreed tu huko wanakotokea.Umelipata hilo mkuu?Na tabia za aina hii za viongozi wetu katika emergence sijui tunafikaje aisee.Lazima tubadili fikra na utendaji wetu kuendana na mabadiliko ya kidunia yaliyopo.Tuamke na kujua tuna bahati mbaya ya kuishi wakati wa great changes za dunia na vilivyomo.
Baada ya hii corona kuna economic crisis kubwa,je tunajiandaa na hayo?!Au tunasubiri kama tulivyoisubiri corona?!
 
Mi nashauri serikali kwakuwa ni ngumu kufanya total lock down tufanye inter regional lockdown mikoa yote ifungwe.JWTZ wasimamie hili , kama upo Moro stay hapohapo ,kama dar the same ili kama mlipulo ukitokea at least tuokoe mikoa mingine isiguswe tukomae nalo kwenye infected zones.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo habari ya nzige ukiiwaza ni kama fursa mpya tusiyojua jinsi ya kuitumia mkuu 'kerubi afunikae'.
Hiyo ni 'protein' inayoelea tu bila ya matumizi sahihi.

Utadhani natania, lakini seriously, hatuwezi kupata njia nzuri ya kuivuna 'protein' hiyo amabayo inazalishwa bila ya gharama zozote, gharama pekee ni huko kuvuna na kutengeneza iwe katika hali bora ya matumizi?

Kama hatutaki kuwala, hata kuwalisha kuku wetu haiwezekani?

Anyway, tatizo letu ni hilo hilo, hatujifunzi chochote tokana na majanga haya na kujiandaa kujikinga pale yanapotokea tena.

Huo mstari wako wa mwisho, hapo ndipo penyewe akili zetu zinapotakiwa kuelekezwa. Lakini wapi, tutatoka hivi hivi.
 
Sawa na Wuhan, au sio?
 
Kwa taarifa hii ya leo iliyotolewa na waziri wa afya na maelezo yake kwamba sasa tunaambukizana sisi kwa sisi, na pia kwa kuona Dar ndo ina wagonjwa wengi, naomba kutoa maoni kwamba, safari za mabasi kutoka Dar na kuingia Dar zisimamishwe.

Kwa wastani kuna mabasi 200 yanayotoka Dar na kuingia Dar kwa siku. Ni mabasi yenye safari za zaidi ya masaa siyo chini ya 3 na mengine huchukuwa masaa zaidi ya 16. Kwa tabia ya ugonjwa wa Corona na maabukizi yake, ni rahisi mgonjwa mmoja kuambukiza zaidi ya nusu ya abiria ndani ya basi moja. Vituo vya mabasi havina ukaguzi wa wagonjwa na mazingira ya ndani ya mabasi huwa ni magumu sana.

Tupeane maoni na tusikilizane kwamba pamoja na shughuli zetu kuendelea, serikali tusidieni kwa kuzuia safari za mabasi ya mikoni ili kuinusuru nchi.
 
Nimesoma kimeti wewe!!!!
Imani + utaalamu.
Huwezi jua. Labda watu wameshapiga ramli kwa hiyo wanajua kila kitu.
Ninaacha komenti yangu namna hiyo ikiwa tungo tata. Mengenya upate maana mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dar kwa sasa inastahili kabisa lockdown

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…