tunaendelea kusema na kushari kama tulivyo shauri hapo awali! gonjwa halina tiba wala kinga, bado tunaingiza watu nchini, bado uhamasishaji ni mdogo dhidi ya mikusanyiko,,,, mnataka tushauri vipi ndio tueleweke, hapa hatupigani wala hatushindani na mtu, wala hakuna siasa wala uchama, ni maslai ya watanzania wote na familia zetu, watoto wetu pia, tanzania tunajijua tulivyo lafu na wajuaji,kila mtu anataka kujifanya mjuaji,mikusanyiko,mikusanyiko bado tunakusanyika ni hatari.
ushauri kwa serikali: serikali ije na mbinu mbadala katika kupima nyumba kwa nyumba pia na kufunga safari zote za mikoani na nje ya nchi kwa muda, pasipo kufanya hivyo dalili sio nzuri, kabisa leo 14,kesho unakuta 26 mtondogo 200, hatutaki tufikie huko, this is secondary risk, avoiding one risk create another risk, tunajalibu kuepuka risk ya kudolola kwa uchumi lakini tunatengeneza risk ya maambukizi makubwa sana, kwa kuwaruhusu watu waendelee kukusanyika sokoni na mahala pengine,kama usafiri nk.
basi tuchague moja, tuumie kwa muda kudhibiti corona, au tujiachie nakuendelea kujichanganya itughalimu kama USA na ulaya? na hapa ndipo LEADERSHIP hupimwa!!!!!!!!!
asante.