Waziri Ummy, Usipotoshwe maamuzi yako kuhusu ADDO na wafamasia mtawaumiza Watanzania

Nimekuambia wanayojifunza ni basics tu kwa ajili ya therapeutics na sito kubaini magonjwa. Kozi 99% imejikita kwenye utengenezaji na uhifadhi wa dawa. Kujipa kazi ya biashara ya dawa ni Tanzania tuu kutafuta ulaji ila kwa wenzetu haya hayapo.
Acheni uhuni mnawivu mnataka wauze sura za namazenu, nyie mende mmeroga sana sasa imefika mwisho.
 
Hili swala ni kwa maslahi binafsi naona.

Mgawanyo wa majukumu upo wazi kabisa, daktari atamuona mgonjwa, mgonjwa ataenda kuchukua dawa famasi(mfamasia) kisha mgonjwa atapatiwa dawa chini ya usimamizi wa manesi, sasa nyinyi mnataka kazi zote za hospital mfanye nyinyi?

Mbona hamuongelei ultrasound , x rays na lab investigation ? Kwanini huwa mnaoder vipimo hakapime mtu mwingine hamjasomea lab nyinyi semister nzima? Tufanye mzunguke na mgonjwa basi, anza naye chumba cha consultation, nenda ukampime, urudi umwandikie dawa na uende naye diapensing ukampe dawa
 
Huna unachojua Kuhusu pharmacist
 
Huyu kaandika Kwa kifupi tuu...ila kapitie carriculum ya pharmacist ipoje

Alafu usiende direct kwenye conclusion,Nenda kaangalie

Responsibilities of Pharmacist in Hospital setting......ukijua HUTAKAA UONGEE UJINGA HUU
Huyu ni mchawi wivu umewajaa hawa hawataki ushindani au kupitwa kitu chochote mende hawa
 
Wana wivu wa kichawi ukoloni wao unaexpire wana hofu ya maisha
 
Unajua kwamba pharmacist anasoma CLINICAL PHARMACY......

Nakuomba nenda kaangalie contents ya hii kozi pharmacist almost anasoma for 4 semister
 
Hiki ndicho mnajifunza zaid katika semester zenu
 
Kwa kiwango hiki cha professional rivalry mitandaoni huko mahospitalini sijui hali ikoje; sector ambayo bila ya interprofessional working mafanikio hayawezakani.

Hiyo wizara inabidi apewe mtaalamu wa management ya afya ambae ni qualified MD.

Kwa kusoma madaa inaonekana ata hao pharmacists awaelewi kazi ya MD, yaani pharmacists atoe dawa kama ni ivyo vipimo vya mgonjwa vingekuwa vinapelekwa kwao.

Majigambo yasiyo na kichwa wala miguu; ni daktari tu mwenye mamlaka ya kuandika dawa. Pharmacists kama ana wasi wasi na prescription kutokana na condition ya mgonjwa anaweza kuomba verification kama anadhani sio sahihi ata kwa Dr mwingine lakini hana mamlaka ya kubadili dawa kwa maamuzi yake.

Afya ni team working na wataalamu wote wanatakiwa kuwa on the same mission; lakini kwa hii professional rivaly ya hii mada sijui itakuwaje tukiumwa tusio na ndugu wafanyakazi mahospitalini ni mungu tu ndio atakuwa mlinzi wetu.
 
Hivi kwanini watu wengi mnadhani pharmacy ni pharmacology tu. Huwezi kujitapa unajua dawa kwa kusoma pharmacology tu.
 
Kwamba mtu mwenye malaria kwa dalili zake inahitaji Degree kujua na kuwa huyu ana malaria? Mtu anakuja na flu unataka aende Laboratory kupimwa kama ana mafua?

Physical examination ni suala ambalo anaweza kufanya kila mtuu yani usijione special kumuandikia Carbimazole mtu mwenye Goitre labda uniambie Suala la oparations ila sio Kuandika mtu afanyiwe vipimo flani ili kuconfirm Ugonjwa wake then Ujione special.

Dr hajui mtu anaumwa nini ila anajua dalili na Maabara ndio wanathibitisha mtu anaumwaa nini sasa ukiona umeweza kujua anaumwa nini mfamasia hashindwi kujua.. Kingine kuchoma sindano jambo dogo sana kijanaa yani hata teja anajichomaaa..
 

Kila kitu kina sheria na miongozo yake, alifanya vema kufanya bar.”
 
Wewe naye ni fake tu, daktari asijue namna dawa inayotolewa wakati ndiye anayejua ugonjwa na wadudu wake na kutoa Orders kwa Mfamasia atoe dawa leo unasemaje hajui?
Kwa hiyo mtu aliyesoma pharmacy kama degree, unamlinganisha na mtu aliyesoma somo la basic pharmacoloy kwenye uelewa wao kuhusu taaluma ya madawa, you are not serious.....
 
Narudia tena ingawa sijui level ya elimu yako. Si kazi ya Mfamasia kutibu mgonjwa. Mfamasia amesomea kutengeneza,kutunza, kuhifadhi na kusambaza dawa.

Kuchoma sindano ni somo kabisa na ni pana. Kusoma Pathophysiology ni somo na nibpana. History taking ina utaratibu wake. Physical examination ina utaratibu wake mpaka Systemic Examination, huwezi kutoa dawa tu mpaka hayo uyajue.

Acheni kujipa vyeo kwa kujiita madaktari, ninyi ndio mnaoua wagonjwa. Hii ni taaluma ya watu!!
 
Kwa hiyo mtu aliyesoma pharmacy kama degree, unamlinganisha na mtu aliyesoma somo la basic pharmacoloy kwenye uelewa wao kuhusu taaluma ya madawa, you are not serious.....
Hakuna anayekataa kua Mfamasia amesomea dawa. Daktari amesomea Magonjwa na namna ya kuyatibu. Mfamasia yeye akae dirishani asubirie cheti cha daktari.
 
Huu ni utaratibu wa dunia, Internal Standards, international structures. Dactarin ni Administrator wa Clinical setting yeyote ile. Huu si utaratibu wa Tz ni wa kidunia! Ukienda wilayani utakutana na DMO, Mkoani RMO, Na mahospitalini DGs wote na Incharges ni madaktari.

Sasa kwanini wengine wanajitutumua kutaka kujifananisha na vitu visivyowahusu?
 
Mkuu rikiboy mjadala ni mrefu lakini sijaona aliyeainisha kazi ya mfamasia kwenye sekta hii kulingana na alivyosomea chuoni
Embu weka wazi kazi zenu wafamasia kwenye sekta ya afya kabla mjadala haujaendelea
Mf:daktari akishaandika prescription ni nini role ya mfamasia baada ya hapo

Mtazunguka sana lakini bila kuweka wazi kazi za mfamasia mjadala hauwezi kuwa na maana yoyote(ni batili)

Na mkishaweka hizo kazi hapo mseme ni nini daktari hawezi kufanya na anachoweza kukifanya
 
Umenena vyema Prof
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…