Mkuu majibu ya Glucose level si chap kwa haraka sas insulin unayo... una NS fluid ipo why usianze management chap!! Maana hyperglacemia na dehydration zinaenda sambambaa...DKA is important lakini utakaa tu unasubiri results bila ya ku stabilise hali ya mgonjwa? Hatua zipi unadhani zinafaa za awali.
Besides inaweza isiwe DKA ana dalili zingine pia ambazo zinafanana na DKA ambazo Dr ndio anadhani ndio tatizo; clue hizo umewekewa either way stabilisation ya kisukari ndio priority yako matibabu yepi ungependekeza au taste gani zingine za haraka ili uanze immediate intervention?
Heshima gani Wakati Kila mtu ana eneo lake...???Whatever the case , medicine Dr ndo commanding officer.... Pharmacy ana eneo lake, medical Lab ana eneo lake , nurse ana eneo lake , radiation ana eneo lake Ila wote hao wamemzunguka kumsaidia daktari..na sio kwamba daktar anawasaidia wao ( ni kweli wanafanya kazi Kwa kutegemeana Ila daktari apewe heshima yake tafadhali)
Umemalizaaa... Mbona huwaga hawaingilii majukumu ya Manesiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kuna kipindi ilianzishwa programme ya Mfamasia kuingia Operation rooms ili kumanage use ya Sedatives kama Sevoflurane na Isoflurane maana zilikuwa zinaibiwa sanaa yani Ilee vitaa achaa tuu madoctor walimind hasaaaaa.Heshima gani Wakati Kila mtu ana eneo lake...???
Kila mtu apewe heshima Kutokana na eneo alilopo na siyo kuingilia majukumu!
1 out of 3 fluid sawa but what about your ABC measures to ensure she protected from acute deterioration kwa sababu huna hakika kama ni DKA as yet or what.Mkuu majibu ya Glucose level si chap kwa haraka sas insulin unayo... una NS fluid ipo why usianze management chap!! Maana hyperglacemia na dehydration zinaenda sambambaa...
Kupanda kwa sukari inawezekana sababu kuu mbili..1 out of 3 fluid sawa but what your ABC measures to ensure he protected from acute deterioration kwa sababu huna hakika kama ni DKA as yet or what.
Kwa kumalizia given the same note kitu gani kingine kingeweza sababisha sukari kupanda kwa mujibu wa Dr?
Duuh..wewe utakua sio mgonjwa..mgonjwa ni kama mtu anaye harisha hachagui tundu la choo.Mim nataka nihudumiwe na MD na sio pharmacist
Imekwisha hiyo
Kutokana na hiyo handover note hapo umefeli Dr anadhani Diarrhoea and Vommiting (D&V) ya mgonjwa msingi wake ni gastroenteritis virus, nothing major.Kupanda kwa sukari inawezekana sababu kuu mbili..
Mwili kushindwa kuzalisha insulin au insulin reistance of which ni diabetic case..
Kindey malfunction au liver failure all possible.
Hayo yote ukipata majibu ya mkojo na physical examination with symptoms kama edema unaweza kudiagnose.
Umemalizaaa... Mbona huwaga hawaingilii majukumu ya Manesiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kuna kipindi ilianzishwa programme ya Mfamasia kuingia Operation rooms ili kumanage use ya Sedatives kama Sevoflurane na Isoflurane maana zilikuwa zinaibiwa sanaa yani Ilee vitaa achaa tuu madoctor walimind hasaaaaa.. Ndo maan doctor huwezi kukuta anangangania majukumi ya Nesi ila sasa likiia siala la DAWAA wanaumiaa rohoo sanaaaa kuona mfamasia anahusika na management ya dawaaa...
Yaah na mimi najua kila mtu ana mipaka Yake ya kufanya kazi shida leo Dr anataka akae na yeye famasi afanye majukumi ya kifamasia kisa kasoma Pharmacology.Kutokana na hiyo handover note hapo umefeli Dr anadhani Diarrhoea and Vommiting (D&V) ya mgonjwa msingi wake ni gastroenteritis virus, nothing major.
Lakini ugonjwa wowote kwa mtu mwenye kisukari sio mzuri ata mafua; kwa sababu mwili ukiona umevamia tu unaachia ‘cortisol hormones’ kama first line of defence na wenyewe jukumu lao ni kuupa mwili nguvu kwa kuachia glucose; sasa kama unakisukari halafu mwili ukaongezewa glucose ni shida nyingine inapanda ghafla.
Sasa tena D&V pia zinaweza kuwq dalili za DKA ndio maana akashauri hiyo test nayo ifanywe just in case before ruling out.
Ni hivi Dr na pharmacists wote ni clinicians but are not the same.
Iko hivyoo... na ndivyo inavyo takiwa iwe.Maana kila mtu ana jukumu lake na heshima Kwa Kila mtu ichukue mkondo wake.Hakuna haja ya kuona mtu ni mkubwa zaidi ya mwingine.Mnasagiana kunguni!
Toka tuwe wadogo tunaona Dr anakuandikia dawa unaenda kupeleka cheti kwa mfamasia anakupa dawa!
Nesi yupo wodini pamoja na Mambo mengine anachukuaga vyeti vya wagonjwa na kuchukua dawa kwa mfamasia na kuwagawia wagonjwa na wenye kudungwa sindano wanadungwa!
Sasa ww unatakaje??
Hujaumwa wewe... Usiombe!!! Mkuu.Mim nataka nihudumiwe na MD na sio pharmacist
Imekwisha hiyo
Afya ni teamworking Dr anaweza kosea ata kwenye operation nurse tu akashtuka dokta akadharau matokeo yake akaua mtu.Yaah na mimi najua kila mtu ana mipaka Yake ya kufanya kazi shida leo Dr anataka akae na yeye famasi afanye majukumi ya kifamasia kisa kasoma Pharmacology... Kuna case mgonjwa alikuwa na hyponatremia laki tayari ana edema ya kutosha na Dr akaagiza apewe 3% ila hospital hatukuwa nayo mimi nkaona niongeze Tolvaptan maana ilikuwepo famasi ila 3% hatuna na case ile mgonjwa ingefaa sana ila Dr alikuja race hukoo balaaa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Nkamwambia bhasi katafute wew 3% maana mimi nimekuoa alteenative ila unaona kama unajua zaidii jamaa akapoaa. So kuna changamoto bado ya kuchukuliana poaaa ni shida kubwaaa.. Dr anadharau kuona yeye ndio kila kitu ila wapo wachache wanaojielewaaa.
Kwenye diagnosis ya mgonjwa hizo courses ulizotaja zinamchango mdogo kabisa"Professor" naona hauna mtaala wa kozi ya Ufamasia katika makarabrasha yako!! Ufamasia ni zaidi ya ulivyoelezea hapo.
General Pathology
Anatomy
Physiology
Biochemistry
Microbiology
Basic Pharmacology
Hizo course hapo juu vyuo vingi kwa semester 2 au 3 za mwanzo huwa zinatolewa kwa wanafunzi wote wanaosoma udaktari na Ufamasia na zote zina maudhui ya kumpa mtu msingi wa maarifa kuhusiana na mwili wa binadamu na magonjwa.
Ni ajabu kusema kuwa Mfamasia hajui dalili zozote za magonjwa ya binadamu na wala hawezi kujua chochote kuhusu uhusiano wa dawa na ugonjwa husika.
"Professor" katika kada ya afya kuna majukumu na miiko na kila Mwana taaluma wa afya anatakiwa kuheshimu. Daktari, mfamasia, nesi, mtu wa maabara, wataalamu wa mionzi na hata watu wa physiotherapy wote hao wanapaswa kushirikiana na kila mtu atimize majukumu yake ili kuweza kutoa huduma bora.
Zama za kulazimisha majukumu ya kada fulani yabaki kwa kada isiyo husika zimepita. Nchi yetu kwa sasa kuna wataalamu wa afya wengi wanazalishwa kila uchao na Waziri ametoa Takwimu bungeni kwa kada ya Famasi ambayo ndio ina wajibu wa Kusimamia mambo yote yanayohusu Dawa na vifaa tiba.
Professa wa mchongo huyo..apuuzwe...ndio walewale mapeofesa wa ripoti ya bonde la mto mara..kuwa mto umechafuliwa na vinyesi vya ng'ombe. absurdMimi nadhani labda "Professor" anatumia curriculum ya South Africa. Inabidi afanye mchakato wa kupitia upya mtaala wa Famasi wa Tanzania kisha ajiridhishe na hoja zake kuhusu majukumu ya Mfamasia katika Hospital setting hapa Tanzania
Madakitali njaa wa michongo hao..wamesoma miaka mingi wakiamini wametusua maisha wakija kitaa md hailipi..wanaanza kuvamia fani za watu ili wapate japo kumudu maisha.Umemalizaaa... Mbona huwaga hawaingilii majukumu ya Manesiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kuna kipindi ilianzishwa programme ya Mfamasia kuingia Operation rooms ili kumanage use ya Sedatives kama Sevoflurane na Isoflurane maana zilikuwa zinaibiwa sanaa yani Ilee vitaa achaa tuu madoctor walimind hasaaaaa.. Ndo maan doctor huwezi kukuta anangangania majukumi ya Nesi ila sasa likiia siala la DAWAA wanaumiaa rohoo sanaaaa kuona mfamasia anahusika na management ya dawaaa...
Huu mjadala ukiendelea bila kuainisha kazi za mfamasia kwenye sekta ya afya hasa hasa hospitalini ntawaona wote mnajikweza bila sababu ya msingiMadakitali njaa wa michongo hao..wamesoma miaka mingi wakiamini wametusua maisha wakija kitaa md hailipi..wanaanza kuvamia fani za watu ili wapate japo kumudu maisha.
Tatizo kubwa ni njaa na ufinyu wa akili...na washauri wakae kutulia na waheshimu kada za wengine.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu mjadala ukiendelea bila kuainisha kazi za mfamasia kwenye sekta ya afya hasa hasa hospitalini ntawaona wote mnajikweza bila sababu ya msingiKwenye diagnosis ya mgonjwa hizo courses ulizotaja zinamchango mdogo kabisa
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Mkuu, duniani kote kuko hivyo hii haipo Tanzania pekee. Huu ni muundo wa kikazi ulivyo popote duniani.Hujamuelewa Pro. Koboko.
Yeye yupo Sahihi,
Tabibu ikiwa yeye ndiye anafanya Diagnosis Kwa magonjwa, kisha baada ya majibu kutoka maabara anamuandikia Dawa, iweje azuiewe kuuza Duka la dawa au kuwa na Famasi?
Tabibu amesoma kozi ya Pharmacology iweje mpaka apewe kozi nyingine ya ADDO Ndipo aruhusiwe kuuza kwenye Duka la Dawa au Famasi?
Unajua MD Kwa sehemu kubwa anaweza kufanya kazi ya Mfamasia lakini mfamasia hawezi kufanya kazi za MD?