Waziri Ummy, Usipotoshwe maamuzi yako kuhusu ADDO na wafamasia mtawaumiza Watanzania

Waziri Ummy, Usipotoshwe maamuzi yako kuhusu ADDO na wafamasia mtawaumiza Watanzania

Nimekuambia wanayojifunza ni basics tu kwa ajili ya therapeutics na sito kubaini magonjwa. Kozi 99% imejikita kwenye utengenezaji na uhifadhi wa dawa. Kujipa kazi ya biashara ya dawa ni Tanzania tuu kutafuta ulaji ila kwa wenzetu haya hayapo.
Huo ni mtaala wa South Africa, fanya tafiti kuhusu mtaala wa Tanzania ndio utoe hoja yako. Naomba unitajie chuo unachofundisha huko South Africa tuone hiyo curriculum yao ya pharmacy
 
Yaani hapa ni kama ligi ya yai na kuku Nani katangulia? Nyie wafamacia mtambue kuwa daktari ana added advantage kuliko nyie! Daktari anaweza kufanya kazi zote za pharmacy ila sio vice versa! Niishie tu hapo
 
T.Levodopa/Carbidopa 10mg/100mg OD 2/52


Achen kulinganisha MDs na mambo yenu hayo !!.


Jambo pekee la kujivunia ni kwamba sote tunawajibika juu ya Afya .


Alichokisema Mkuu , ni sahihi, Watanzania wengi hawana kasumba ya kwenda Hosp, na tafiti nyingi zimeonyesha Watanzania wanatabia ya kujitibia wenyewe.


Unapolazimisha Mfamasia ndio akutane na Mtanzania aliyekuja Dukan kwako akilalama maumivu ya tumbo yanayosambaa kuelekea mgongon, lkn akiinama yanapoa , Homa ,kichefu na kutapika


Unategemea Mfamasia atampa nn Sasa ??. Huko ni kukoswa akili.
Kwa hiyo wewe hapo utampa nini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Naona baada ya hili bandiko Famasia na mafundi dawa wanaishia kutukana na kusonya bila kujibu hoja za msingi

Naendelea kukazia, Ikiwa kazi zao ni kutengeneza dawa na kemikali zingine kuzihifadhi na kuzisambaza je hii mandatory ya kutoa dawa kwa nini watu wanaohusika na wagonjwa wasizifanye?

Nawaheshimu wafamasia kweli akianza kukuchambulia paracetamol ilivyo kuanzia umbo,rangi hadi radha wako vizuri, nafikiri wanafaa kuingeneza zaidi kuliko kazi ndogondogo za kuigawa kwa wagonjwa.
Unajua maana ya kusinamia matumizi sahihi ya Dawa?? Unajua wewe Dr unaweza ukamuandikia Mgonjwa dawa na mimi nikaona sio sahihi namrudisha umbadilishie dawa????
 
Narudia tena ingawa sijui level ya elimu yako. Si kazi ya Mfamasia kutibu mgonjwa. Mfamasia amesomea kutengeneza,kutunza, kuhifadhi na kusambaza dawa.
Kuchoma sindano ni somo kabisa na ni pana. Kusoma Pathophysiology ni somo na nibpana. History taking ina utaratibu wake. Physical examination ina utaratibu wake mpaka Systemic Examination, huwezi kutoa dawa tu mpaka hayo uyajue.


Acheni kujipa vyeo kwa kujiita madaktari, ninyi ndio mnaoua wagonjwa. Hii ni taaluma ya watu!!
Kwa mtaala wa Tanzania this is not the only scope of a pharmacist fanya utafiti!
 
Acha upuuzi kijana kama hujui kitu nyamaza, kwa taarifa yako NHIF kadri unavyoandika dawa nyingi ndio unajiweka kwenye hatar ya kukatwa pesa zaidi.

Kada ya afya Kuna watu hawatak kuukubali uhalisia ila ukweli utabaki pale pale na ndio maana kuna wengine wanasoma miaka 6 na wengine mi4 kamwe hamtofanana.
Medicine degree miaka 5
Pharmacy degree miaka 4
Hii ndio Tanzania..internship mwaka mmoja kwa kila mmoja so ni miaka 6 kwa 5...Sio 6 kwa 4 kama ulivyoandika wewe! Fanya utafiti
 
Narudia tena ingawa sijui level ya elimu yako. Si kazi ya Mfamasia kutibu mgonjwa. Mfamasia amesomea kutengeneza,kutunza, kuhifadhi na kusambaza dawa.
Kuchoma sindano ni somo kabisa na ni pana. Kusoma Pathophysiology ni somo na nibpana. History taking ina utaratibu wake. Physical examination ina utaratibu wake mpaka Systemic Examination, huwezi kutoa dawa tu mpaka hayo uyajue.


Acheni kujipa vyeo kwa kujiita madaktari, ninyi ndio mnaoua wagonjwa. Hii ni taaluma ya watu!!
Kwa hiyo mnataka muwe mnakaa Kwenye Community Pharmacy[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mnataka mdispense pia baada ya Kusoma Addo.. Yani madaktari bhana mbona hamlili kusafisha vidonda...kulisha wagonjwaa kwani hayo hamyawezi???? Maana lengo la hizi kelele chanzo ni Kufungiwa Addo.. Dr HAUSIKI NA DAWA LIENII MKICHOKA MNYAMAZE.
 
Unaniuliza mimi tena[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Hilo swali linawahusu Prof wa Mchongo na nduguze wengine MD.
Vilazaa hao achana naoo.. Wamesoma MD kuja kushtukaaa mfamasia anakula hela kwa cheti rohoo zinawaumaa balaa..!! Sema warudi tu shulee vijana wanguu hawjaachelewaaa..[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Umemalizaaa... Mbona huwaga hawaingilii majukumu ya Manesiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kuna kipindi ilianzishwa programme ya Mfamasia kuingia Operation rooms ili kumanage use ya Sedatives kama Sevoflurane na Isoflurane maana zilikuwa zinaibiwa sanaa yani Ilee vitaa achaa tuu madoctor walimind hasaaaaa.. Ndo maan doctor huwezi kukuta anangangania majukumi ya Nesi ila sasa likiia siala la DAWAA wanaumiaa rohoo sanaaaa kuona mfamasia anahusika na management ya dawaaa...
Hii vita yote issue kubwa ni "Dawa". Dawa ndio yenye pesa. Na hapo ndio chanzo cha huu upunzani mkubwa kati ya MDs na Pharmacy.
 
Yaani hapa ni kama ligi ya yai na kuku Nani katangulia? Nyie wafamacia mtambue kuwa daktari ana added advantage kuliko nyie! Daktari anaweza kufanya kazi zote za pharmacy ila sio vice versa! Niishie tu hapo
Kazi mojawapo ya Mfamasia ni Drug design and development, au kazi ndogo tu ya Compounding

Muulize MD kama ana ABC eneo hili ili ujue kama kweli anaweza kufanya kila jukumu la mfamasia
 
Hapo ndipo huwa nawashangaa wanaosema eti Wafamasia hawajui magonjwa..bila kujua magonjwa utajuaje dawa na kuzitengeneza?.

Mfano ili utengeneze dawa kwa ajili ya kutibu Parkinson's disease ni lazima ujue yafuatayo(ambayo basically wafamasia tunayajua)

✓Parkinson's disease inasababishwa na kiwango cha dopamine kuwa chini kunakosababishwa na nerve cells zinazotengeza dopamine kufa..dopamine ni messenger kwenye brain kuco-ordinate body movements.

✓Sasa basi ili tuweze kutibu ugonjwa huu hatuna budi kuongeza kiwango cha dopamine kwenye ubongo...Watu wanaingia maabara wanatengeneza dopamine analog na kuitengeneza in a sense that itafika kwenye ubongo vizuri kupitia kizuizi cha brain blood(BBB)..wanaongeza na kitu kingine ili isiweze kuvunjwa kabla haijafika kwenye ubongo.i.e wanaiongezea carbidopa..

Na hapo tunakuwa tumetengeneza dawa ya Parkinson's disease.

Ni matusi makubwa watu kusema Wafamasia hawajui magonjwa au mwili wa binadamu unavyofanya kazi..Matusi makubwa.
@Darmian huu mchuano uendelee kwa masilahi ya nchi.
Umeongelea parkinson's nikakumbuka Kuna mathematician wa university huko UK katengeneza app ambayo inasoma mtu mwenye dalili za parkinson's kwa kusoma tembea yake.....
 
Utakuta Daktari kakutana na case ya mgonjwa anakohoa sana anakimbilia kuagiza vipimo vya X-ray, kumbe tatizo hilo(kukohoa sana) limesababishwa na matumizi ya dawa fulani kwa muda mrefu hadi ikasababisha maudhi(side effects).

Sasa Daktari kama huyu anayeshindwa kutambua maudhi ya dawa, eti analilia afanye kazi isiyo yake! majanga.
 
Well...katika Msingi wa Taaluma..Mfamasia ndiyo anatambua kuanzia dawa inavotengenezwa hadi inavyokuja kutumika kwa mtumiaji wa mwisho(mgonjwa)...kwa mantiki hiyo mchakato mzima hadi kwanini dawa fulani itumike kwenye Tatizo fulani la kiafya basi ni mfamasia anaweza toa maelezo sahihi zaidi ya kitaalam kuliko wataalam wengine wa afya.Hivyo fursa kwa wafamasia zinaanzia kwenye Viwanda vya dawa hadi Kwa watumiaji (hospitali na kwenye jamii)...Sasa hapa tunakuja kuwapata wafamasia ambao wanafanya kazi Viwandani....( Industrial Pharmacists).....wanaofanya kazi Hospitali ( Clinical and hospital Pharmacist)...waofanya kazi kwenye jamii ( Community Pharmacist)......... lakini pia wapo wafamasia wanaofanya kazi kwenye kampuni za Uingizaji na usambazaji wa dawa....bila kusahau wanao fanya kazi kwenye Mamlaka za udhibiti wa Ubora na ufanisi wa Dawa ... ...kulingana na mchanganuo huo majukumu huwa tofauti tofauti na ni sehemu ya taaluma pia !....Turudi Hospital & Community Pharmacy sasa ambako ndio kuna migongano ya ufanyaji kazi....Majukumu ya mfamasia ni haya
1)kuweka Kumbukumbu za dawa
2) Kuanisha mahitaji ya dawa kwa kipindi fulani mwaka au robo mwaka
3)kushirikiana na watu wa manunuzi katika kuagiza na kununua dawa sahihi kulingana na mahitaji ya hospitali/ Community Pharmacy
4) Kutoa dawa na vifaa tiba kwaajili ya kuhudumia wagonjwa hizi kazi utakutana nazo "Store za dawa"
5)"KUSIMAMIA MATUMIZI SAHIHI YA DAWA"" ...Daktari anapo prescribe dawa ...jukumu la kuangalia usahihi wa dawa kulingana na tatizo na dozi sahihi linabaki kwa "mfamasia"....Kifupi kazi ya kudispense ni ya watu wa famasi sio ya Daktari...na hapa ndio tatizo linapokuja Daktari anataka ""aprescribe yeye na kudispense yeye""" sio kazi ngumu lakini sio sehemu ya majukumu yake.
6) kutengeneza dawa hospitali /Community Pharmacy. ( compounding)
7)Kuelimisha watumishi wengine wote wa hospital juu ya matumizi ya dawa.
8)kutoa taarifa kuhusu madhara ya muda mfupi na muda mrefu yatokanayo na matumizi ya dawa....!
9) Kutambua muingiliano wowote wenye athari hasi kati ya dawa na dawa au dawa na chakula.

Kifupi ndio majukumu hayo hasaaa kwenye mazingira ya Hospital na Pharmacy za mitaani.
Kwa maelezo yako kipengele nam
Well...katika Msingi wa Taaluma..Mfamasia ndiyo anatambua kuanzia dawa inavotengenezwa hadi inavyokuja kutumika kwa mtumiaji wa mwisho(mgonjwa)...kwa mantiki hiyo mchakato mzima hadi kwanini dawa fulani itumike kwenye Tatizo fulani la kiafya basi ni mfamasia anaweza toa maelezo sahihi zaidi ya kitaalam kuliko wataalam wengine wa afya.Hivyo fursa kwa wafamasia zinaanzia kwenye Viwanda vya dawa hadi Kwa watumiaji (hospitali na kwenye jamii)...Sasa hapa tunakuja kuwapata wafamasia ambao wanafanya kazi Viwandani....( Industrial Pharmacists).....wanaofanya kazi Hospitali ( Clinical and hospital Pharmacist)...waofanya kazi kwenye jamii ( Community Pharmacist)......... lakini pia wapo wafamasia wanaofanya kazi kwenye kampuni za Uingizaji na usambazaji wa dawa....bila kusahau wanao fanya kazi kwenye Mamlaka za udhibiti wa Ubora na ufanisi wa Dawa ... ...kulingana na mchanganuo huo majukumu huwa tofauti tofauti na ni sehemu ya taaluma pia !....Turudi Hospital & Community Pharmacy sasa ambako ndio kuna migongano ya ufanyaji kazi....Majukumu ya mfamasia ni haya
1)kuweka Kumbukumbu za dawa
2) Kuanisha mahitaji ya dawa kwa kipindi fulani mwaka au robo mwaka
3)kushirikiana na watu wa manunuzi katika kuagiza na kununua dawa sahihi kulingana na mahitaji ya hospitali/ Community Pharmacy
4) Kutoa dawa na vifaa tiba kwaajili ya kuhudumia wagonjwa hizi kazi utakutana nazo "Store za dawa"
5)"KUSIMAMIA MATUMIZI SAHIHI YA DAWA"" ...Daktari anapo prescribe dawa ...jukumu la kuangalia usahihi wa dawa kulingana na tatizo na dozi sahihi linabaki kwa "mfamasia"....Kifupi kazi ya kudispense ni ya watu wa famasi sio ya Daktari...na hapa ndio tatizo linapokuja Daktari anataka ""aprescribe yeye na kudispense yeye""" sio kazi ngumu lakini sio sehemu ya majukumu yake.
6) kutengeneza dawa hospitali /Community Pharmacy. ( compounding)
7)Kuelimisha watumishi wengine wote wa hospital juu ya matumizi ya dawa.
8)kutoa taarifa kuhusu madhara ya muda mfupi na muda mrefu yatokanayo na matumizi ya dawa....!
9) Kutambua muingiliano wowote wenye athari hasi kati ya dawa na dawa au dawa na chakula.

Kifupi ndio majukumu hayo hasaaa kwenye mazingira ya Hospital na Pharmacy za mitaani.
Nashkuru kwa mchanganuo huu
Hii ndo maana ya usomi,umeandika bila mihemuko kama wachangiaji wengi walivyofanya
Okay kwa maelezo yako pointi namba tano ndo sehemu pekee ambayo daktari anaonekana kuingilia majukumu ya mfamasia kwenye sekta ya afya

Swali;kama jukumu hilo anaweza kufanya ADDO aliyepata mafunzo ya muda mfupi daktari atashindwa?
Ukijibu ndiyo au hapana ukiweza tolea maelezo itakuwa vyema
 
Yaani hapa ni kama ligi ya yai na kuku Nani katangulia? Nyie wafamacia mtambue kuwa daktari ana added advantage kuliko nyie! Daktari anaweza kufanya kazi zote za pharmacy ila sio vice versa! Niishie tu hapo
Huna unachojua
 
@Darmian huu mchuano uendelee kwa masilahi ya nchi.
Umeongelea parkinson's nikakumbuka Kuna mathematician wa university huko UK katengeneza app ambayo inasoma mtu mwenye dalili za parkinson's kwa kusoma tembea yake.....
Kwenye hiyo App hata walevi nao watakuwa na Parkinsonisim[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hapo ndipo huwa nawashangaa wanaosema eti Wafamasia hawajui magonjwa..bila kujua magonjwa utajuaje dawa na kuzitengeneza?.

Mfano ili utengeneze dawa kwa ajili ya kutibu Parkinson's disease ni lazima ujue yafuatayo(ambayo basically wafamasia tunayajua)

✓Parkinson's disease inasababishwa na kiwango cha dopamine kuwa chini kunakosababishwa na nerve cells zinazotengeza dopamine kufa..dopamine ni messenger kwenye brain kuco-ordinate body movements.

✓Sasa basi ili tuweze kutibu ugonjwa huu hatuna budi kuongeza kiwango cha dopamine kwenye ubongo...Watu wanaingia maabara wanatengeneza dopamine analog na kuitengeneza in a sense that itafika kwenye ubongo vizuri kupitia kizuizi cha brain blood(BBB)..wanaongeza na kitu kingine ili isiweze kuvunjwa kabla haijafika kwenye ubongo.i.e wanaiongezea carbidopa..

Na hapo tunakuwa tumetengeneza dawa ya Parkinson's disease.

Ni matusi makubwa watu kusema Wafamasia hawajui magonjwa au mwili wa binadamu unavyofanya kazi..Matusi makubwa.
Umejenga hoja vizuri sana. Unatengeneza vipi dawa bila kujua magonjwa kwa kina? Nafikiri huu mjadala utasaidia kuweka standards na kuondoa huu mkanganyiko.
 
Yaani hapa ni kama ligi ya yai na kuku Nani katangulia? Nyie wafamacia mtambue kuwa daktari ana added advantage kuliko nyie! Daktari anaweza kufanya kazi zote za pharmacy ila sio vice versa! Niishie tu hapo
Kwanini hamtaki kwenda Mahabara???? Yani kule mambo ndo rahisii kabisaaaa... Fungua mahabara yako mtaani kutumia zile Malaria kit...kupima UTI just simple ila hamtaki kwenda mahabara[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Mnataka dawaaaa.. Kama ulidhani kuna Utajiri kwenye Udaktari ulikosea njia kijanaa
 
Back
Top Bottom