Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuhusu bagamoyo ukweli unajulikana wenye mamlaka na elimu yankuwasaidia ndio wamewaumiza hao vijana huo ujinga kidogo nitumbukie kwa tamaa ya fedha za haraka nasukuru Mungu kanivusha hapo yani kuna watu wanajifanya wema kunbe wabaya marambili wanajua tatizo ljn wamekaa kimya a to z ya bagamoyo yanajulikana ola sasa nani afungue mdomo tuombe Mungu tu.Amani iwe nanyi wapendwa katika BWANA
Ukweli usemwe na uwekwe wazi
Wazazi wa bagamoyo malezi yamewashinda
Bas serikali jitaidini kuingilia kati hili suala
Vijana wanatekea wote ni mateja wote walevi
Inasikitisha sana
SAYUNI BOY
Vijana wa pwani ndivyo walivyo. Wakipewa kazi wanadai advance hata mara tatu.Binafsi mimi hapa advance nimesomea mlandizi pwani, kwa kweli vijana wa pale ni wavivu, malaya, hawataki shule wote wanataka wawe bodaboda,wanavuta bangi, walevi tena watumia vilevi vikali, vigodoro na kujifanya masela, me sikuwahi waelewa kabisa, kiufup hawana future yoyote wapo wapo tu kama majinga. kati ya mikoa ambayo itakuja kuwa na watu wazima wengi wa hovyo Tanzania huu miaka kama 15 ijayo basi wa kwanza ni pwani
Pole sana ndugu yanguKuhusu bagamoyo ukweli unajulikana wenye mamlaka na elimu yankuwasaidia ndio wamewaumiza hao vijana huo ujinga kidogo nitumbukie kwa tamaa ya fedha za haraka nasukuru Mungu kanivusha hapo yani kuna watu wanajifanya wema kunbe wabaya marambili wanajua tatizo ljn wamekaa kimya a to z ya bagamoyo yanajulikana ola sasa nani afungue mdomo tuombe Mungu tu.
Watu wa mwambaoo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Binafsi mimi hapa advance nimesomea mlandizi pwani, kwa kweli vijana wa pale ni wavivu, malaya, hawataki shule wote wanataka wawe bodaboda,wanavuta bangi, walevi tena watumia vilevi vikali, vigodoro na kujifanya masela, me sikuwahi waelewa kabisa, kiufup hawana future yoyote wapo wapo tu kama majinga. kati ya mikoa ambayo itakuja kuwa na watu wazima wengi wa hovyo Tanzania huu miaka kama 15 ijayo basi wa kwanza ni pwani