Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Zile zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa CCM zilimla akili. JKM alikuwa mjinga na zuzu wa madaraka JMK yeye alikuwa mlafi na mwizi wa mali za umma, Rais ananyumba Marekani! Nitafutieni nyumba ya William Clinton hapa Tanzania,?Ndio ulevi na furaha yake ilikuwa hapo.
Fact.Ulisikia Nyerere ana nyumba nje ya nchi?
Mimi mwenyewe kuna boss wangu mmoja zamani alikuwa serikalini alishastaafu,lakini kuna nyumba anamiliki uingereza na SwedenJk nyumba ya marekani kaanza kumiliki toka akiwa waziri wa mambo ya nje, kitambo sana
Kabisa,wakati bongo obay,masaki nyumba $mln 3,mpk 7 unapataMarekani kuna nyumba bei rahisi kuliko za Tanzania
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Baadhi ya state, mfano mzuri Sacramento carlifonia, ndo kidogo nafuuMarekani kuna nyumba bei rahisi kuliko za Tanzania
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
"...Kwani Raisi Sasa, ni Nani?"Father jk tunakueshimu sana
.......
No one like you father hope ungekua rais tena.....
Ubishi apo uko wapi sasa, hujajua mtu anaweza akapiga picha mlima kilimanjaro na akasema yupo Everest na ukaaaminiAcha ubishi ndugu, amka toka usingizini. Ulitaka hadi umuone Joe Biden hapo kwenye makazi binafsi?
AY ana nyumba Marekani, msanii tu. Wanashangaa rais mstaafu na mwenyekiti wa mavitu gani sijui huko UN kuwa na nyumba US, JK ishi mzee, kwanza tunaokudiss hapa tupo bongo tunakatwa tozo, kelele zetu ni za chura tuNyumba ni kitu gani, mwenzako amekuwa Waziri kwa miaka mingi, amekuwa Rais kwa miaka 10, jamani mambo mengine ni madogo sana kuuliza au kushangaa.
Kinana alipozinguana na Hayati, Kesho yake Bashe akaitisha press conference akamsema sana Mzee Kinana, Hayati akamteua Bashe kwny Serikali yake immediatelyJK ana vijana wake wengi sana tangu kwenye serikali ya JPM na hadi sasa. JPM aliunganishwa na MAMLUKI wengi sana
Victoire Ingabire...mmoja wa watu wakongwe sana humu. Heshima yakoHata Samia kama hana atanunua nyumba London au New-York.
OMG bichwa komwe umetumia code ngumu mno. Nchi ina mazito hii. Yaani mpaka Mchonga khaaa?! Kumbe anaishi jamani? Na huenda akawa deep state member kwa sasaHUYU BENJA KAJIOZEA ZAKE HUKO MTWARA HALAFU KAACHA MAJUMBA YA KIFAHARI UGHAIBUNI.
YAANI VINGINEVYO HAWA WAHUNI WAWE NA UJUZI WA KIROHO WA KUHAMA MWILI MMOJA KWENDA MWINGINE BAADA YA KUFA- KAMA YULE MWENZAO WA MUSOMA.
ANAKUFA ANAHAMIA MWILI MWINGINE. QUANTUM IMMORTALITY. Hahahaa.
KWA SABABU BILA HIVYO, HUU UFISADI WOTE NI KWA FAIDA YA NANI HASWA?
JK mbona mtu mkubwa sana, nyumba Marekani hata Msukuma ana uwezo huo.Kumbukizi ya Siku ya Kuzaliwa Kwa Waziri wa Maji Jumaa Aweso amekuwa na wakati mwema wa kukata keki pamoja na Rais Mstaafu Dkt Jakaya Kikwete nyumbani kwake hapa New York Marekani.
NB. Watanzania chapeni kazi muondokane na kelele za maisha magumu, hakuna njia ya mkato ya kukuleteeni chakula mezani. Serikali haina shamba
View attachment 2565319
View attachment 2565320
View attachment 2565321