Waziri wa Afya Oman: Asilimia 18% ya wasafiri wanaotokea Tanzania wamekutwa na maambukizi ya virusi vya corona, tunafikiria kusitisha safari za ndege

Waziri wa Afya Oman: Asilimia 18% ya wasafiri wanaotokea Tanzania wamekutwa na maambukizi ya virusi vya corona, tunafikiria kusitisha safari za ndege

Tanzania tunakiri corona ipo. Hata Abas kashaliweka sawa. Ila tunatofautiana namna ya kukabiliana nayo. Sisi kama nchi hatuko tayar kwa chanjo ambayo haijafanyiwa uhakiki wa kutosha. Hatuko tayar kwa lockdown. Sana sana tuongeze vifaa tiba kama oxygen na watoa huduma wa kutosha ikibid. Tuchukue taadhar za kawaida kama usafi, distancing na barakoa[barakoa si muhim sana]. Tupunguze mikusanyiko isiyo ya lazma[lakin ya kiuzalishaji iendelee]. Pia tuziamin dawa zetu za asili kama kufukiza na limao na tangawizi. na tule vyakula vya kuongeza virutubisho kinga. Tuone kama herd immunity pia itafanya kaz. Tusijiingize kwenye mbinu zinazotugharim kwa tija kidogo. Muhim zaid tupunguze hofu mana huu si ugonjwa wa kuisha leo. Tukabilane nao. Lawana na laana ziwaendee waliotengeneza hiyo virus kwa maslahi yao.
Kati ya Dr Hassan Abbas na wizara ya afya tumuamini nani? Naibu waziri wa afya kasema hakuna korona tz
 
Dunia kwa sasa inatakiwa kuwa makini sana na Tanzania kuliko hata corona, hebu fikilia hao ni wasafiri waliopimwa kabla ya kuondoka vipi walioko huko vijijini
Mbona Covid 19 ipo hatarishi sehemu zote za Dunia
 
Wenzetu wamepokea chanjo , kukabiliana na gonjwa hili linalotishia uchumi na usalama wa taifa

31 Jan 2021
Muscat, Oman


Sultanate receives 100000 doses of "Oxford AstraZeneca" vaccine as a gift from the Republic of India


The Sultanate receives 100,000 doses of the "Oxford AstraZeneca" vaccine against Corona Covid 19, presented as a gift from the friendly Republic of India, and it is produced by the Indian Institute of Serology and Vaccines.

Source : Omani MoH
 
Dunia kwa sasa inatakiwa kuwa makini sana na Tanzania kuliko hata corona, hebu fikilia hao ni wasafiri waliopimwa kabla ya kuondoka vipi walioko huko vijijini
Na itakua walivyoondoka Tanzania walitoa laki mbili wakapima wakaambiwa hawana corona
 
Tanzania tunakiri corona ipo. Hata Abas kashaliweka sawa. Ila tunatofautiana namna ya kukabiliana nayo. Sisi kama nchi hatuko tayar kwa chanjo ambayo haijafanyiwa uhakiki wa kutosha. Hatuko tayar kwa lockdown. Sana sana tuongeze vifaa tiba kama oxygen na watoa huduma wa kutosha ikibid. Tuchukue taadhar za kawaida kama usafi, distancing na barakoa[barakoa si muhim sana]. Tupunguze mikusanyiko isiyo ya lazma[lakin ya kiuzalishaji iendelee]. Pia tuziamin dawa zetu za asili kama kufukiza na limao na tangawizi. na tule vyakula vya kuongeza virutubisho kinga. Tuone kama herd immunity pia itafanya kaz. Tusijiingize kwenye mbinu zinazotugharim kwa tija kidogo. Muhim zaid tupunguze hofu mana huu si ugonjwa wa kuisha leo. Tukabilane nao. Lawana na laana ziwaendee waliotengeneza hiyo virus kwa maslahi yao.
Lini Abbas alikiri Tanzania kuna Corona?
 
View attachment 1703573
View attachment 1703577

Waziri wa Afya wa Oman amethibitisha takwimu za maambukizi ya Corona kwa wasafiri wanaotokea nchini Tanzania kuwa katika kiwango cha juu sana, ambapo asilimia 18 ya wasafiri wamekutwa na maambukizi ya virusi hivyo. Waziri huyo amesema wanafikiria kuzuia safari za ndege kutoka nchi zinazoonyesha kuwa na kiwango cha juu cha maambukizi ya virusi vya corona.
Mwaka jana tulipata kutoka kwao, hapa zenji hatukuwa nao kabisa
 

12 February 2021​

Covid-19 vaccines: Tanzanian government says the country has 'controlled' the virus.​


Image for post

Dr Hassan Abbas, Government Chief Spokesperson

Covid-19 vaccines: Tanzanian government says the country has 'controlled' the virus.Close

In a rare interview with the BBC, Tanzania's government spokesman Dr Hassan Abbas says the country has the Covid-19 pandemic under control and is focusing on using traditional herbal medicines.
Dr Abbas told the BBC Africa's Salim Kikeke that Tanzania could consider using internationally approved vaccines "once they have been clinically proved
Source: bbc news Africa
 
9 Feb 2021

Tanzania says it's free from COVID-19 and rejects vaccine​


Amit Thakker from the Africa Healthcare Federation discusses Tanzanian government’s insistence that the country is free from Covid-19.
 
Dunia nzima tujifunze kuishi na hivi vijimafua visivyo na madhara yoyote kwa binadamu, kuzuia watu kusafiri au lockdown haiwezi kuwa suluhisho make hivi vijimafua bado vipo vipo saaana tu!
Akiondoka mkeo au mamako au babako ndio utaelewa vijimafua vinafanyaje kazi.
 
Hapana B

Jamani wa Tanzania tumemkosea nini Mungu?? hivi wewe unaandika kabisa na kujiamini kuwa tunachofanya ni sawa?? Huu ugonjwa sio issue ya Tanzania ni duniani kote chanjo utapiga unataka hutaki ni lazima jeuri yako italeta majanga kwa watu wengine hii sio optional tena, adhabu ya kwanza zitapigwa ban ndege zote kutua hakuna nchi itakayochukuwa risk kuwapelekea ugonjwa mbaya zaidi kuruhusu virus kubaki katika mzunguko ni kuvipa njia ya kujiegeuza na kuunza upya hili halitakubalika. Israel wameshasema jana 71% wamepata chanjo na drop ya wagonjwa 94% na UK number zinashuka USA number zinashuka unataka prove gani, piga marufuku basi na chanjo zote za watoto maana huko ndio wangetupa kama wanatutaka waje kutufunga uzazi leo watu wenyewe hata kwa vumbi la congo huna faida. Dunia nzima wako serious ila sisi tu wenye nyimbo ya uchumi wa kati(fake) ndio tuko smart sana? Nailaumu CCM wanaipeleka hii nchi kubaya na tutafika huko kama ZANUPF. tutafika tu ila kurudi ndio kimbembe.


Wanajifanya makonki hawataki chanjo 🤣🤣🤣 mara utasikia Yesu ni mwokozi wetu...mpaka imefikia waomani kutamka ukweli na ndio itatufanya tuwe na tahadhari zaidi...lakini wamatumbi wanafikiri masikhara na ndio tu wasafiri hao, je walioko dar n.k!!!!
 

12 February 2021​

Covid-19 vaccines: Tanzanian government says the country has 'controlled' the virus.​


Image for post

Dr Hassan Abbas, Government Chief Spokesperson

Covid-19 vaccines: Tanzanian government says the country has 'controlled' the virus.Close

In a rare interview with the BBC, Tanzania's government spokesman Dr Hassan Abbas says the country has the Covid-19 pandemic under control and is focusing on using traditional herbal medicines.
Dr Abbas told the BBC Africa's Salim Kikeke that Tanzania could consider using internationally approved vaccines "once they have been clinically proved
Source: bbc news Africa
Kiinglishi cha PhD Abbas bhana!
 
Unajua kabla nilikua very against mh. Rais ila katika swala la Corona Niko nae bega kwa bega... Na hichi ulichoelezea ndio logic yake ambayo natamani wapinzani wenzangu waelewe waache ushabiki, hatuwezi iga Kila kitu especially vitu ambavyo hatujaona mafanikio yake.
Ndo madhara ya kuamini katika ushirikina na imani mfu hii hapa. Wenzenu wanaamini katika process na ndyo sayansi mnataka mtu aseme twende lockdown na tuvae barakoa corona ipotee paap. Na waliokufa wafufuke. Wenzenu wanaamin katika facts na sio kumjaribu jaribu Mungu 2 na midhambi yenu afu mnataka msaidiwe. Wenzi waliweka vizuizi kwanza ili wapunguze rate ya maambukizi kutokana na muda na wanaeza sema wamefanikiwa kwa hilo kwasbabu rate imepungua badala ya kuongezeka kama walivoacha
 
Hiyo ni kweli kabisa aisee, bimkubwa kasafiri juzi kwenda huko na alipofika tu alikutwa na corona. Ajabu yeye alikua hajihisi chochote yaan anajiona yupo mzima kabisa, siku moja kabla ya safari alienda kupima baabara kuu ya taifa pale ubungo na majibu yametoka mzima hana corona.

Jiwe bado hayuko serious aisee.
 
Dunia nzima tujifunze kuishi na hivi vijimafua visivyo na madhara yoyote kwa binadamu, kuzuia watu kusafiri au lockdown haiwezi kuwa suluhisho make hivi vijimafua bado vipo vipo saaana tu!
Naona umeamua kutumia makalio badala ya akili
 
Akiondoka mkeo au mamako au babako ndio utaelewa vijimafua vinafanyaje kazi.
Mamangu katangulia tangu 2015 RIP mom, hao wengine pamoja na mie hatuna kinga ya kifo sisi ni mavumbi siku moja mavumbini tutarejea, siku yakinikuta itakuwa kwa Sababu ingine na si hivi vijimafua!!!
 
Back
Top Bottom