Masi Lambo
JF-Expert Member
- Apr 8, 2020
- 532
- 360
Uko sahihi RNA inayoangaliwa ni ya Virus sio antibody ya binadamu...inaweza kudetect virus popote kama alikuwepo...Maabara ya taifa wanatumia PCR. Sioni ajabu RNA ya Coronavirus kukutwa kwenye mbuzi,papai ama fenesi. Yatakuwa yalikuwa contaminated. Otherwise ili kuleta confirmation walitakiwa same sample wapeleke kwenye maabara tofauti hata tano. Hizo information moja tu haiwezi kukonclude kwamba mashine ni mbovu au wapimaji walikosea. The data is not sufficient kuwatuhumu watu.
Hao hao, hata huyo mdudu naye ametoka kwenye maabara zao, au ulikuwa hujuiKwa hiyo wamehongwa na mabeberu siyo ?Mabeberu hawa hawa wanaowapa ARV za bure ?
IS IT?Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kuwasimamisha kazi Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii, Jacob Lusekelo na Meneja uthibiti na ubora ili kupisha uchunguzi.
Sasa wameanza kushughulika na wataalam badala ya kudeal na Corona
View attachment 1439553
Mimi nilishangaa pale aliposisitiza kwa hiyo mapapai yote yana Coronavirus. Kwa hiyo mbuzi wote wana Coronavirus .Nilishangaa kwani binadamu mmoja akikutwa na Coronavirus maana yake binadamu wote wana Coronavirus ?Unajua Rais hataki kuamini hiyo number kubwa ya cases.Sina mashaka Mh. Raisi kaingizwa mkenge. Kina Mchembe wamemsoma mawazo yake na wakampa anachokitaka, hawakumshauri kitaalamu. Majibu aliyotoa Mh. ni ya kawaida na yanaelezeka kwa mtaalamu yeyote wa afya anayeijua taaluma hiyo. Hakuna cha ajabu katika majibu yale. Kiukweli nilisikitika sana nilipoona Raisi wangu mpendwa anaongea kama mtu ambaye hakusoma
Ni sawa "kusimamishwa" kupisha uchunguzi ni taratibu za kawaida duniani Kote nadhani.
Hawajafukuzwa hawa watumishi....
Hivyo tuwape muda watuletee majibu.
Nusu yao WAchagga ila hateui hata siku moja maana ana kinyongo nao, inasemekana katika kukaa kwake UDSM kuna dem wa kilimanjaro ....."Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kuwasimamisha kazi Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii, Jacob Lusekelo na Meneja uthibiti na ubora ili kupisha uchunguzi.
Sasa wameanza kushughulika na wataalam badala ya kudeal na Corona
View attachment 1439553
Kuna usemi katika kiswahili ,"kichaa kapewa rungu"
Namshauri Dr. Nyambura Moremi asepe upesi sana akafanye kazi W.H.O kama yule boss wa NIMRI. Kwa jiwe hakuna dili!Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kuwasimamisha kazi Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii, Jacob Lusekelo na Meneja uthibiti na ubora ili kupisha uchunguzi.
Sasa wameanza kushughulika na wataalam badala ya kudeal na Corona
View attachment 1439553
Kwamba anatumika na mabeberu au sio?
Hivi kwanini amekuwa obsessed na mabeberu kiasi hicho?
Endelea kupambanaKwahiyo hatupambani tena na corona sasa?
Shughuli za upimaji zinaendelea kwa vifaa vile vile vya mabeberu na wapimaji wale wale ambao tayari wameonekana kuwa upande wa mabeberu. Je tutegemee majibu gani toka upimaji huo?Nimeona hapo mwisho wanasema shughuli za upimaji zinaendelea.
Ila hili lingetokea tu baada ya speech ya jana.Nilifahamu lazima uchunguzi upite.
Hata sifahamu kuna kosa gani hapo sasa.
Kwani virusi akituaIla swab kuweza kutofautisha kwa macho kuwa haikutoja kwa binadamu Ni vigumu Sana,,maana kunakuwa na unyevu tu kwenye pamba.
Macho hayawezi kudetermine kuwa huu unyevu umetoka kwenye mbuzi ama papai.
Kuna testing Aina tatu katika kudetermine infection,
1molecular test-ambayo hi ndo wanatumia kipimo Cha PCR,,wanaangalia RNA ya virus,wanaconvert into DNA kuweza kubaini uwepo wa virus,bacteria.
2,Culture testing- hii vipimo vinakuwa cultured ili kukuza bacteria,virus.
3,Antibodies test-hii wanapima damu ili kuweza kubaini antibodies dhidi ya ugonjwa huska,
So sielewi Hawa wataalamu vipi walishindwa kutofautisha RNA ya virus na ile ya maji ya papai
Wakosoaji/watukanaji wa JPM kazi mnayo mwaka huuPumbavu sana kama corona hakuna Rudisha Watoto Shule, Ligi Zianze toka chato Njoo Dodoma Tupambane, Taifa La Kipumbavu Sana.
Hahaha WHO wana kazi zao tofauti kabisa na kuhakiki ubora wa vifaa tiba.Kwani hakuna utaratibu unaotumika kupima ubora wa machine hizo kwa kutumia wataalam wenye mamlaka hiyo wanaotambuliwa na WHO kuliko kuleta siasa kwenye hilo jambo. Wengine bado tunakumbuka ile kamati iliyochunguza makinikia na kusema tunadai zaidi ya trillion 400 kumbe zilikuwa siasa tu hakuna kitu.
Kama machines hazifanyi kazi au waliopo hajui kupima, taarifa mbovu zitakuwa na faida gani kwa umma?!
Ungeona kwamba hii ni step moja kutusaidia umma kupata accurate and precise information.
Hatutaki uongo, na wanaenda kurekebisha tupate ukweli na uhakika, what's wrong with that?!
Tuwape muda wafanye kazi yao, naamini haitachukua muda mrefu tutaambiwa what was wrong na labda baada ya marekebisho tunaweza kuwa na visa vingi au kupungua kana sio kuisha kabisa.
What if wote tulioambiwa ni negative walikuwa positive, na what if tuliambiwa ni positive walikuwa negative.
Hii hatua ni muhimu na nzuri, waaacheni wachape kazi.
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kuwasimamisha kazi Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii, Jacob Lusekelo na Meneja uthibiti na ubora ili kupisha uchunguzi.
Sasa wameanza kushughulika na wataalam badala ya kudeal na Corona
View attachment 1439553