Waziri wa Afya Ummy Mwalimu, aagiza kusimamishwa kazi kwa Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii na Meneja udhibiti na ubora

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu, aagiza kusimamishwa kazi kwa Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii na Meneja udhibiti na ubora

Cha kufanya ilikuwa ni kuchunguza hivyo vifaa vya upimaji badala ya kuwasimamisha kazi wakuu wa maabara, ilibidi wachunguze kama kweli hizo sampuli zina Korona.

Uongozi wa Tanzania umejaa ujinga na ubabe, Mungu yupo utaisha na kusahaulika lakini baada ya kutuacha kwenye madeni makubwa ya wachina hata nchi yetu kutaifishwa na Wachina.
 
Maabara ya taifa wanatumia PCR. Sioni ajabu RNA ya Coronavirus kukutwa kwenye mbuzi,papai ama fenesi. Yatakuwa yalikuwa contaminated. Otherwise ili kuleta confirmation walitakiwa same sample wapeleke kwenye maabara tofauti hata tano. Hizo information moja tu haiwezi kukonclude kwamba mashine ni mbovu au wapimaji walikosea. The data is not sufficient kuwatuhumu watu.
Uko sahihi RNA inayoangaliwa ni ya Virus sio antibody ya binadamu...inaweza kudetect virus popote kama alikuwepo...

Kuna uwezekano hizo samples zilikuwa contaminated kwenye process za handling.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuna rais wa ajabu. Tumbua Tumbua aliyoingia nayo, sasa anaitumia kwa kumalizia. Anafikiria itampa kiki tena. Hovyo kabisaaaaaaa!
 
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kuwasimamisha kazi Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii, Jacob Lusekelo na Meneja uthibiti na ubora ili kupisha uchunguzi.

Sasa wameanza kushughulika na wataalam badala ya kudeal na Corona

View attachment 1439553
IS IT?
1. Failure of clinical procedures
2. Falure of sample handling(inawezekana pia maabara pia kuna corona)
3. Failure of Testing equipments?
4. Deliberate or cooked results?

Watanzania walioko kwenye sehemu nyeti za maabara mmezoea business as usual.
Sasa mmeingia mkenge wa Joni Pombe Goldilocks!
 
Sina mashaka Mh. Raisi kaingizwa mkenge. Kina Mchembe wamemsoma mawazo yake na wakampa anachokitaka, hawakumshauri kitaalamu. Majibu aliyotoa Mh. ni ya kawaida na yanaelezeka kwa mtaalamu yeyote wa afya anayeijua taaluma hiyo. Hakuna cha ajabu katika majibu yale. Kiukweli nilisikitika sana nilipoona Raisi wangu mpendwa anaongea kama mtu ambaye hakusoma
Mimi nilishangaa pale aliposisitiza kwa hiyo mapapai yote yana Coronavirus. Kwa hiyo mbuzi wote wana Coronavirus .Nilishangaa kwani binadamu mmoja akikutwa na Coronavirus maana yake binadamu wote wana Coronavirus ?Unajua Rais hataki kuamini hiyo number kubwa ya cases.
 
Ni sawa "kusimamishwa" kupisha uchunguzi ni taratibu za kawaida duniani Kote nadhani.

Hawajafukuzwa hawa watumishi....

Hivyo tuwape muda watuletee majibu.

Kwani hakuna utaratibu unaotumika kupima ubora wa machine hizo kwa kutumia wataalam wenye mamlaka hiyo wanaotambuliwa na WHO kuliko kuleta siasa kwenye hilo jambo.

Wengine bado tunakumbuka ile kamati iliyochunguza makinikia na kusema tunadai zaidi ya trillion 400 kumbe zilikuwa siasa tu hakuna kitu.
 
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kuwasimamisha kazi Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii, Jacob Lusekelo na Meneja uthibiti na ubora ili kupisha uchunguzi.

Sasa wameanza kushughulika na wataalam badala ya kudeal na Corona

View attachment 1439553
Nusu yao WAchagga ila hateui hata siku moja maana ana kinyongo nao, inasemekana katika kukaa kwake UDSM kuna dem wa kilimanjaro ....."
 
Kuna usemi katika kiswahili ,"kichaa kapewa rungu"
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kuwasimamisha kazi Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii, Jacob Lusekelo na Meneja uthibiti na ubora ili kupisha uchunguzi.

Sasa wameanza kushughulika na wataalam badala ya kudeal na Corona

View attachment 1439553
Namshauri Dr. Nyambura Moremi asepe upesi sana akafanye kazi W.H.O kama yule boss wa NIMRI. Kwa jiwe hakuna dili!
 
Kwamba anatumika na mabeberu au sio?

Hivi kwanini amekuwa obsessed na mabeberu kiasi hicho?

Kwa nni usijiulize hao mabeberu hata jambo kidogo tu wao wanapiga kelele kuhusu tanzania wakati sehem zingine wananyamaza tu?
 
Nimeona hapo mwisho wanasema shughuli za upimaji zinaendelea.
Ila hili lingetokea tu baada ya speech ya jana.Nilifahamu lazima uchunguzi upite.
Hata sifahamu kuna kosa gani hapo sasa.
Shughuli za upimaji zinaendelea kwa vifaa vile vile vya mabeberu na wapimaji wale wale ambao tayari wameonekana kuwa upande wa mabeberu. Je tutegemee majibu gani toka upimaji huo?
 
Ila swab kuweza kutofautisha kwa macho kuwa haikutoja kwa binadamu Ni vigumu Sana,,maana kunakuwa na unyevu tu kwenye pamba.

Macho hayawezi kudetermine kuwa huu unyevu umetoka kwenye mbuzi ama papai.

Kuna testing Aina tatu katika kudetermine infection,
1molecular test-ambayo hi ndo wanatumia kipimo Cha PCR,,wanaangalia RNA ya virus,wanaconvert into DNA kuweza kubaini uwepo wa virus,bacteria.

2,Culture testing- hii vipimo vinakuwa cultured ili kukuza bacteria,virus.
3,Antibodies test-hii wanapima damu ili kuweza kubaini antibodies dhidi ya ugonjwa huska,

So sielewi Hawa wataalamu vipi walishindwa kutofautisha RNA ya virus na ile ya maji ya papai
Kwani virusi akitua
Pumbavu sana kama corona hakuna Rudisha Watoto Shule, Ligi Zianze toka chato Njoo Dodoma Tupambane, Taifa La Kipumbavu Sana.
Wakosoaji/watukanaji wa JPM kazi mnayo mwaka huu
Kwa sababu mnaemkosoa hakosoleki
Wananchi mnaowatetea hawana hata habari
 
Kwani hakuna utaratibu unaotumika kupima ubora wa machine hizo kwa kutumia wataalam wenye mamlaka hiyo wanaotambuliwa na WHO kuliko kuleta siasa kwenye hilo jambo. Wengine bado tunakumbuka ile kamati iliyochunguza makinikia na kusema tunadai zaidi ya trillion 400 kumbe zilikuwa siasa tu hakuna kitu.
Hahaha WHO wana kazi zao tofauti kabisa na kuhakiki ubora wa vifaa tiba.
Ubora wa vifaa tiba vingi uhakikiwa na MSD nadhani, lakini navyo kama wao ndio wamevisambaza. Vingine uhakikiwa na vendors wenyewe ambao pia ni wengi.
Validation ndiyo hufanywa na watumiaji wenyewe.

Wizara inao biometrical engineers sijui kama wamehusishwa, hilo lao wenyewe wanajua wanachokifanya naamini.
Sijui hapo siasa ni ipi, ummy kutangaza tume au rais kuagiza uchunguzi?
 
kuna jamaa yangu amesema yafuatayo

1. kupitia namba za wagonjwa na vifo kupaishwa bila mpango basi labda kuna hujuma na kuna tag of war madokta wakitaka kutuaminisha raia kuwa ugonjwa umeenea sana na ni hatari sana bila lockdown tutakwisha na sote tuko njiani kuelekea kaburini na maambukizi ni makubwa sana na hapa lengo lao madokta ni wao wa ‘shine’

kila mtu awasikilize wao na huu ndo muda wao kupiga hela za posho za overtime na kutamba kwa profession yao!wanataka sote tukae chini tufuate wanayosema na wajue si wabongo wa kuwaendesha hivyo! madokta msitutishe hata sisi tuna macho na hao wagonjwa mamia mmewatoa wapi mbona huku mitaani hutawaoni?

2. aidha kuna wagonjwa wengi wanaumwa na kupona Corona bila kupimwa au hakuna maambukizi yoyote jibu ni mojawapo sababu raia hawapimwi huwezi kujua jibu sahihi hadi upimwe kwa wale wenye dalili au kwa wale walio kwenye ‘mnyororo’!

3.serikali inapenda tusiwe na hofu tuchape kazi tuzoee Corona na inapambana kuweka mambo sawa kuondokana na maambukizi na kuepusha lockdown kwa gharama yoyote (the wish of the father) versus DJ na genge lake wanaotaka chaos hata mda huu kupitia lockdown wapae kisiasa na kujipoza machungu ya kukamuliwa mamilioni ya faini ya Akwilina na kuvunjwa mikono na kulala Segerea ambako walilimishwa kunde!!

4. labda mashine za kupima Covid19 ni feki ndo maana zikatoa majibu feki ya papai na fenesi na hapa uchunguzi mkubwa sana ufanyike kila kitu kijulikane kuhusu hizo mashine na wahusika ( hujma kujaza namba za wagonjwa na ufisadi)

5. yawezekana mashine za maabara ni nzima waliotumwa wakazitest samples si waaminifu walicontaminate samples kabla hazijaingia maabara ili kumuaminisha Mkulu assumption yake kuwa watu au vifaa vya maabara ni hopeless

6. yawezekana sample zilikuwa sahihi na mashine ni nzima ila mule mule ndani Maabara mchezo ulifanyika kwa watumishi wasio waaminifu kuzicontaminate sample kabla hazijapimwa na bila mabosi wao kujua ili zilete majibu yanayotakiwa huko nje na wahusika wakuu watumbuliwe watu wapya wapate ulaji!!

katika hayo hapo juu kuna ukweli mmojawapo ni kazi ya tume kuunasa!! ‘sometimes research respondents please the researcher and give him statements of what they know he want or expect to hear!!’ hapa kuna kulishana matango pori tu!!

Guys just thinking outside the box! tujikinge na Coronavirus, tufungue mashule sasa kuepusha mimba za utotoni na kuokoa uchumi! Wahusika just think kuwaokoa Corona girls!!
 
Kama machines hazifanyi kazi au waliopo hajui kupima, taarifa mbovu zitakuwa na faida gani kwa umma?!
Ungeona kwamba hii ni step moja kutusaidia umma kupata accurate and precise information.
Hatutaki uongo, na wanaenda kurekebisha tupate ukweli na uhakika, what's wrong with that?!
Tuwape muda wafanye kazi yao, naamini haitachukua muda mrefu tutaambiwa what was wrong na labda baada ya marekebisho tunaweza kuwa na visa vingi au kupungua kana sio kuisha kabisa.
What if wote tulioambiwa ni negative walikuwa positive, na what if tuliambiwa ni positive walikuwa negative.
Hii hatua ni muhimu na nzuri, waaacheni wachape kazi.

Kama kweli nia ni kwenda kurekebisha Sasa mbona wanasema wanaendelea kupima wananchi tunaziaminije hizo mashine ambazo zimeonekana hazitoa matokeo sahihi. 7

Basi sample kwa sasa zingepelekwa hata nchi Jirani kwenye mashine zenye ubora. Kuliko watu waendelee kupimwa na mashine zinazotiliwa shaka ubora wake.
 
H
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kuwasimamisha kazi Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii, Jacob Lusekelo na Meneja uthibiti na ubora ili kupisha uchunguzi.

Sasa wameanza kushughulika na wataalam badala ya kudeal na Corona

View attachment 1439553


Hii dalili mbaya sana naona huu mwaka kama Ni ndoto nyakati za mfalme Herode nadhani kafika mwisho, niseme tu bye bye Herode is next mwendazake, Mungu tusimchezee tukiwa vitani
 
Back
Top Bottom