Masi Lambo
JF-Expert Member
- Apr 8, 2020
- 532
- 360
Cha kufanya ilikuwa ni kuchunguza hivyo vifaa vya upimaji badala ya kuwasimamisha kazi wakuu wa maabara, ilibidi wachunguze kama kweli hizo sampuli zina Korona.
Uongozi wa Tanzania umejaa ujinga na ubabe, Mungu yupo utaisha na kusahaulika lakini baada ya kutuacha kwenye madeni makubwa ya wachina hata nchi yetu kutaifishwa na Wachina.
Uongozi wa Tanzania umejaa ujinga na ubabe, Mungu yupo utaisha na kusahaulika lakini baada ya kutuacha kwenye madeni makubwa ya wachina hata nchi yetu kutaifishwa na Wachina.