johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Namsubiri waziri wa afya Zanzibar alhaj Hamad Rashid!Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema wagonjwa 37 wa corona wamepona na kuruhusiwa na sasa waliopona wamefikia 48, wagonjwa hao ni kati ya 108 waliothibitika kuwa na corona ila kwa sasa hawana dalili, wengine 71 wanasubiri vipimo vya mwisho na wataruhusiwa.
Wewe una akili ndogo kwa hiyo unafurahia Waziri anapotangaza maambukizi mapya,unafkiri wanaoambukizwa wanataka?Acha ujinga,ndugu wenzako tunalia wanapotangazwa wameongezeka wewe unafurahia nadhani familia yako itakapopata ndio utajua adha yake,Waziri akitangaza waliopona anawapa hata wenye maambukizi kuondoa hofu na kujipa matumaini ya kupona
Hizo taarifa haziwahusu, ni kama mtoto hatakiwi kujua madeni ya baba cha muhimu ale chakula ashibe na kulalaLeo hakuna waliokufa wala maambukizi mapya.
Ulitamani kusikia watu elfu 2 wameongezeka kuumwa?Nilijua ummy anaujasiri kiasi cha kuweza kujiuzuru. Huu ni wkt wa kuonesha professionalism yake. Kwa nn apangiwe watu wa kutangaza?
SHAMEFUL NATION.... FAILED PRESIDENT!
This doesn't make any sense...Why..why..people are dying then inakuja hii..huu ni unyama sanaWaziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema wagonjwa 37 wa corona wamepona na kuruhusiwa na sasa waliopona wamefikia 48, wagonjwa hao ni kati ya 108 waliothibitika kuwa na corona ila kwa sasa hawana dalili, wengine 71 wanasubiri vipimo vya mwisho na wataruhusiwa.
Hiyo namba ni wale waliokuwa karantini STAFF WA TBC, wameachiwa jana na pia waliokuwa hostel za udsm wameachiwa, Ummy utajibu nini kwa Mungu?Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema hadi sasa jumla ya Wagonjwa waliopona ni 48 ambao ni kati ya Wagonjwa 108 waliothibitika kuwa na Ugonjwa huo, ila kwa sasa hawana dalili
Amesma, "Tuna vifo 10, na hivyo tukabakiwa na wagonjwa 274 na kati ya 11 tumeshawatolea taarifa kuwa wamepona. Ni kweli kama alivyosema Rais Magufuli katika watu 263 waliobaki, 108 hawana ugonjwa wowote"
Ameongeza, "Watua hao 108, hawana homa, kifua, kikohozi wala chochote, ila tuliwazuia katika vitua ili kusubiri vipimo vya mwisho na kuthibitisha kama hawana maambukizi kabla ya kuwaruhusu kwenda nyumbani."
Amesema leo wameruhusu watu 37, na kuwa vipimo vyao vimeonesha hawana maambukizi ya #COVID19. Ametoa wito kwa jamii kuwa isiwanyanyapae na kuongeza kuwa wengine 71 vipimo vyao vinasubiri siku 2-3 wataruhusiwa kurudi nyumbani
Walikuwa wanafukizwa hospitalini?Tuwe na kiwango cha ujinga,kikizidi sana ni tatizo!
Zimekuwa hazituhusu baada ya Rais kusema. Wanataka wawawekee mazingira kuwa Covid haiui na wala hakuna maambukizi mapya.Hizo taarifa haziwahusu, ni kama mtoto hatakiwi kujua madeni ya baba cha muhimu ale chakula ashibe na kulala
Mleta mada naye ni msaga sumu mkubwa. Halali kazi kusaka habari za corona.
Leo hakuna waliokufa wala maambukizi mapya.
Prince Charles mwenyewe kafukizwa, jiulize walimfukiza wapi.Walikuwa wanafukizwa hospitalini?Tuwe na kiwango cha ujinga,kikizidi sana ni tatizo!