Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu: Wagonjwa 37 wamethibitishwa kupona virusi vya Corona na wameruhusiwa kwenda nyumbani

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu: Wagonjwa 37 wamethibitishwa kupona virusi vya Corona na wameruhusiwa kwenda nyumbani

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema wagonjwa 37 wa corona wamepona na kuruhusiwa na sasa waliopona wamefikia 48, wagonjwa hao ni kati ya 108 waliothibitika kuwa na corona ila kwa sasa hawana dalili, wengine 71 wanasubiri vipimo vya mwisho na wataruhusiwa.
Namsubiri waziri wa afya Zanzibar alhaj Hamad Rashid!
 
Wewe pia ubongo wako haufikirii hata kidogo...hujui maana ya kupata taarifa za maendeleo ya ugonjwa ?? Unataka tusiambiwe kasi ya maambukizi mpya ili iweje ? Hebu relax mzee punguza mihemko
Wewe una akili ndogo kwa hiyo unafurahia Waziri anapotangaza maambukizi mapya,unafkiri wanaoambukizwa wanataka?Acha ujinga,ndugu wenzako tunalia wanapotangazwa wameongezeka wewe unafurahia nadhani familia yako itakapopata ndio utajua adha yake,Waziri akitangaza waliopona anawapa hata wenye maambukizi kuondoa hofu na kujipa matumaini ya kupona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema wagonjwa 37 wa corona wamepona na kuruhusiwa na sasa waliopona wamefikia 48, wagonjwa hao ni kati ya 108 waliothibitika kuwa na corona ila kwa sasa hawana dalili, wengine 71 wanasubiri vipimo vya mwisho na wataruhusiwa.
This doesn't make any sense...Why..why..people are dying then inakuja hii..huu ni unyama sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema hadi sasa jumla ya Wagonjwa waliopona ni 48 ambao ni kati ya Wagonjwa 108 waliothibitika kuwa na Ugonjwa huo, ila kwa sasa hawana dalili

Amesma, "Tuna vifo 10, na hivyo tukabakiwa na wagonjwa 274 na kati ya 11 tumeshawatolea taarifa kuwa wamepona. Ni kweli kama alivyosema Rais Magufuli katika watu 263 waliobaki, 108 hawana ugonjwa wowote"

Ameongeza, "Watua hao 108, hawana homa, kifua, kikohozi wala chochote, ila tuliwazuia katika vitua ili kusubiri vipimo vya mwisho na kuthibitisha kama hawana maambukizi kabla ya kuwaruhusu kwenda nyumbani."

Amesema leo wameruhusu watu 37, na kuwa vipimo vyao vimeonesha hawana maambukizi ya #COVID19. Ametoa wito kwa jamii kuwa isiwanyanyapae na kuongeza kuwa wengine 71 vipimo vyao vinasubiri siku 2-3 wataruhusiwa kurudi nyumbani
Hiyo namba ni wale waliokuwa karantini STAFF WA TBC, wameachiwa jana na pia waliokuwa hostel za udsm wameachiwa, Ummy utajibu nini kwa Mungu?
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lilikuwa jambo jema angeanza kwa kutuambia kuwa hatuna maambujizi mapya, tunasubiria tu walioambukizwa kupona, na kwa wastani kila siku wanapona wagonjwa 37.

Baada ya wiki moja aitangazie Dunia, kuwa wagonjwa wote wamepona na hatuna maambukizi mapya. Tutakuwa nchi ya 3 Duniani kuwahi kupata maambukizi, na wagonjwa wote kupona, na kisha kutokuwa na maambukizi mapya.

Baada ya hapo maisha yaendelee. Ukibahatika kuendelea kuwepo, shukrani kwa Muumba wetu. Ukiondoka, ni mapenzi ya Mungu. Tunakuombea ili apate pumziko la milele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom