paul sylvester
JF-Expert Member
- Mar 18, 2020
- 3,503
- 3,499
Nani afe?Leo hakuna waliokufa wala maambukizi mapya.
Unadhani wewe utasalimika kwa kutoambiwa maambukiziWewe una akili ndogo kwa hiyo unafurahia Waziri anapotangaza maambukizi mapya,unafkiri wanaoambukizwa wanataka?Acha ujinga,ndugu wenzako tunalia wanapotangazwa wameongezeka wewe unafurahia nadhani familia yako itakapopata ndio utajua adha yake,Waziri akitangaza waliopona anawapa hata wenye maambukizi kuondoa hofu na kujipa matumaini ya kupona
Sasa kwa nini tusifungue mashule ?Tumeshaushinda ugonjwa. Hakuna maambukizi tena. Bora kuwa mjinga maana kunakufanya uwe curious.Nani afe?
Nani aambukizwe?
Hata mtu mwenye akiri za Asili hawezi kuandika Ujinga huu uliotoka kwenye kichwa cha msomi! Jinga kabisa!!
Wewe hauaminiki sana naomba Tangazo la wizara ya afya uliattach. Maana wewe sio mzalendo.Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema hadi sasa jumla ya Wagonjwa waliopona ni 48 ambao ni kati ya Wagonjwa 108 waliothibitika kuwa na Ugonjwa huo, ila kwa sasa hawana dalili
Amesma, "Tuna vifo 10, na hivyo tukabakiwa na wagonjwa 274 na kati ya 11 tumeshawatolea taarifa kuwa wamepona. Ni kweli kama alivyosema Rais Magufuli katika watu 263 waliobaki, 108 hawana ugonjwa wowote"
Ameongeza, "Watua hao 108, hawana homa, kifua, kikohozi wala chochote, ila tuliwazuia katika vitua ili kusubiri vipimo vya mwisho na kuthibitisha kama hawana maambukizi kabla ya kuwaruhusu kwenda nyumbani."
Amesema leo wameruhusu watu 37, na kuwa vipimo vyao vimeonesha hawana maambukizi ya #COVID19. Ametoa wito kwa jamii kuwa isiwanyanyapae na kuongeza kuwa wengine 71 vipimo vyao vinasubiri siku 2-3 wataruhusiwa kurudi nyumbani
Mkuu, tuambiwe Tu hata kama hawapo?Unadhani wewe utasalimika kwa kutoambiwa maambukizi
Sijakupata nani jinga?Nani afe?
Nani aambukizwe?
Hata mtu mwenye akiri za Asili hawezi kuandika Ujinga huu uliotoka kwenye kichwa cha msomi! Jinga kabisa!!
Tulipofikia kwa kweli hali inasikitisha,yan watu wanaombea mabaya ili wapate kuponda tu!taarifa ya watu kupona kuna wengine hawataki hata kuisikia,walitaka wasikie maambukizi mapya 100!Tatizo watu hupenda kusikia vile tu vinavyofurahisha masikio yao,ingekuwa taarifa inasema wagonjwa wapya 99+ wapatikana ungeshangilia,pole sana ,jitahidi kubadilika mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Haiwezekani wasiwepo katika peak ya pandemic. Epidemiology inapingana na contention hiyo! Nitakubali kama akisema data za maambukizi baadaye. Lkn akitoa hiki kipande tu, hapana lazima wenye wahojiMkuu, tuambiwe Tu hata kama hawapo?
Juzi tu namba zilpokuwa zikipanda Kwa maambukizi, unazikumbuka comments za wadau hapa!
Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha, shikilia hii kitu mkuu
Umenena vyema, ila watanzania tulio wengi tuna ujinga mwingi sana zaidi ya neno lenyewe.Lilikuwa jambo jema angeanza kwa kutuambia kuwa hatuna maambujizi mapya, tunasubiria tu walioambukizwa kupona, na kwa wastani kila siku wanapona wagonjwa 37.
Baada ya wiki moja aitangazie Dunia, kuwa wagonjwa wote wamepona na hatuna maambukizi mapya. Tutakuwa nchi ya 3 Duniani kuwahi kupata maambukizi, na wagonjwa wote kupona, na kisha kutokuwa na maambukizi mapya.
Baada ya hapo maisha yaendelee. Ukibahatika kuendelea kuwepo, shukrani kwa Muumba wetu. Ukiondoka, ni mapenzi ya Mungu. Tunakuombea ili apate pumziko la milele.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee, fikilia kidogo tu mkuu, Leo ndio Kwanza wagonjwa wengi kutangazwa wamepona, Kwa hiyo wewe ulitarajia kianze kipi? Kati ya kufunguliwa shule na matumaini ya watu wengi kupona!!!Sasa kwa nini tusifungue mashule ?Tumeshaushinda ugonjwa. Hakuna maambukizi tena. Bora kuwa mjinga maana kunakufanya uwe curious.
Ngoja ufiwe na mzazi wako tuone utarudi kwa njia ipi awamu ijayoUmenena vyema, ila watanzania tulio wengi tuna ujinga mwingi sana zaidi ya neno lenyewe.
Mkuu, wewe tena, hapana, ni kweli hujanipata mkuu poleSijakupata nani jinga?
Mkuu, kumbuka pia watu waliomba Kwa MunguYani toka ugonjwa uingie mpaka ile juzi waliopona walikua ni 11 tu
Ila sasa toka juzi mpaka leo yani siku mbili tu waliopona ni 37 ! Ni maajabu haya
Ukweli ni kuwa kuna visa vipya,vifo na waliopona pia. Sema wameamua kuacha kukomunicate to the public visa vipya na vifo. Tumia akili.Aisee, fikilia kidogo tu mkuu, Leo ndio Kwanza wagonjwa wengi kutangazwa wamepona, Kwa hiyo wewe ulitarajia kianze kipi? Kati ya kufunguliwa shule na matumaini ya watu wengi kupona!!!
Funika basi huo uji....wako