Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu: Wagonjwa 37 wamethibitishwa kupona virusi vya Corona na wameruhusiwa kwenda nyumbani

hao ni kweli mmewaruhusu au ndio wale walijifanya wanamkimbiza likwidi ili wamshangae kwa kuwa hawajawahi kumuona tangu wazaliwe kumbe ndio wanabonyea nae moko kwa moko!ila Likwidi na wenzio mlichotufanyia Maulana anawaona!😂😂
 
Wewe nawe bure kabisa. Unaamini propaganda za Uganda za kila siku madereva wa Tanzania wana corona?Hii CORONA mtu anapiga gia Dar to Uganda, corona kweli hii?Au kuna corona mbili?

Senti bai yuzingi tecno T301
 
Wanaopoana wanapewa dawa gani??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…