Waziri wa Elimu anasimamia asichokiamini? Mwanae anasoma English Medium

Duuuuuuuuuuuu,watoto wa aina hiyo wapo wengi.mtaka yupo sahihi Sana.
 
CCc
CCM oyeee, wanatupa mfumo mbovu wa elimu, watoto wao wanasoma nje ili waje kututawala
 
Mbuzi anakula kwa urefu wa kwamba yake.
 
Nadhani iwe kikatiba viongozi watoto wao wasome shule za umma pamoja na kutibiwa nchini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…